Roselina John ,strong woman in Tanzania

Roselina John ,strong woman in Tanzania

Nimemkataa mbaba wa central bank na bihela byake,
Ametuma 500,000 tigo pesa nikamrudishia,
Anapiga sipokei aliendelea usumbufu namsemea kwa mkewe,

Alafu mke wake mzuriii sijui anatafta nini kwangu
We si unajifanyaga mnyaruanda simjui mbirundi.. Tigopesa inafika mpaka huko?
 
Kwahiyo lengo lako tukija tuanzie 600,000 na kuendelea?
 
Nimemkataa mbaba wa central bank na bihela byake,
Ametuma 500,000 tigo pesa nikamrudishia,
Anapiga sipokei aliendelea usumbufu namsemea kwa mkewe,

Alafu mke wake mzuriii sijui anatafta nini kwangu
Hujui anatafuta nini kwako??, si ni Kitumbua.
 
Isijekuwa wakati muamala wa Pedeshee unaingia bwana wako ndio akawa mtu wa kwanza kusoma Ujumbe kwenye simu yako...
Kutokana na mambo kuwa moto ukaamua kuua soo ikabidi urudishe mkwanja.

Nitakutumia 10k nione kama utarudisha nakuja PM
Kweli aisee, maana kwa usawa huu, eti pesa irudishwe, aah! wapi.
 
Back
Top Bottom