Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
Kwa hiyo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahhahahah wewe ni nomaaaaaaLinapokuja suala lahela unazungumza kiswahili kumbe,??0
Najuaga hujui kiswahili
Kwa hakika pesa haina mchezohahahahhahahah wewe ni nomaaaaaa
hela ni kitu ingine ujue
mamboKwa hakika pesa haina mchezo
Unataka ngapMwambie aitume kwangu
Au amebadilisha maisha ya watu wawili watatu kuendelea....Nilivyoona strong woman nikajua umefanya jambo la kishujaa au umeingia kwenye list ya kina Folorunsho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Au amebadilisha maisha ya watu wawili watatu kuendelea....
Folorusho ndio nan hapa Tz?Nilivyoona strong woman nikajua umefanya jambo la kishujaa au umeingia kwenye list ya kina Folorunsho.
Hayuko Tanzania. Ni tajiri namba moja au mbili kwa wanawake Africa.Folorusho ndio nan hapa Tz?
Yule binti mfupi anakaa Moshi? Anajiita tu awe Folorusho kweli atambe.Okay,nilidhani kuna binti namuonaga inst anajiita hilo jina,nilipokutana na comment yako nikajiuliza kumbe yule binti ni mtu mwenye kujulikana ktk jamii ya watz!?...
Namba moja kwa wanawake si ni mtoto wa aliyekua rais wa Angola ,Dos Santos, ISABELLA DOS SANTOS ?Hayuko Tanzania. Ni tajiri namba moja au mbili kwa wanawake Africa.
Nahisi kati ya hao wawili mmoja wapo ndo anaongoza. Ila miaka kama miwili mitatu nyuma Folorunsho ndo alikua anaongozaNamba moja kwa wanawake si ni mtoto wa aliyekua rais wa Angola ,Dos Santos, ISABELLA DOS SANTOS ?
Huyo huyo anajiita yy ni mutu ya KenyanYule binti mfupi anakaa Moshi? Anajiita tu awe Folorusho kweli atambe.
Huyo naemsemea anakaa Moshi sema alisomaga chuo NairobiHuyo huyo anajiita yy ni mutu ya Kenyan
Ndio huyo huyo anaishi Moshi,kumbe Nairobi alisomaga tuHuyo naemsemea anakaa Moshi sema alisomaga chuo Nairobi