Rostam alikimbia nchi, Seth, Rugemalila et al walikaa Gerezani; matajiri hawa wamejifunza nini kuhusu mfumo mbovu wa siasa Tanzania?

Rostam alikimbia nchi, Seth, Rugemalila et al walikaa Gerezani; matajiri hawa wamejifunza nini kuhusu mfumo mbovu wa siasa Tanzania?

Kwa yale mateso hata ingekuwa wewe.
Hakujua saikologia ya jiwe.
Yule mzee ilitakiwa unampa heshima yake unajifanya mjinga unajishusha unamsifia Sana anaridhika halafu unaishi nae ndo wajanja walivyocheza na saikolojia yake bila kuathirika. kwa visasi na ligi utoweza .
Akishakunyoosha kuwa mpole mwambie mzee nimekubali then mnakuwa mabest dili zote unapewa wewe unampa hesabu yake. Ndo kina GSM na matajiri wengine kwani waliishije. Huwezi kimbia afrika watawala kote wanafanana. Muhimu kucheza na saikolojia yao utakuwa salama.
 
Huwa natafakari Sana kuhusu thamani ya Watu wasio waadilifu, upanda ghafla na kushuka ghafla. Safari ya utajiri wa Rugemalila na Seth unifanya nijiulize haya yote twajilimbikizia ya Kazi Gani kama ayawezi kutumika kutulinda?

Rostam afadhali yeye alikimbia nchi, akakamatwa ndugu yake na rundo la silaa ikabidi arejee kuja kukabidhi channel ten na miradi yake Mingine. Kwa umafia akaamua kujifanya mjinga mara paap akapewa Dili la Taifa gas Tena Kwa kukabidhiwa na aliyemkimbiza nchi. For this regime he is safe and he can recovery loss ambazo zilijitokeza. Ila Bado apaswi kuuamini huu mfumo usipomtesa yeye utawatesa ndugu yake.

Kuna kuwa tajiri ukaishi kama tajiri na Kuna kuwa tajiri ukaishi kama digidigi, na hii utokea afrika pekee ambapo tajiri ni mwanasiasa aliyepo madarakani, miobaki ni watumwa kwake regardless ya amount ya fedha uliyonayo.

Usipokuwa mwanasiasa na ukapishana na mwanasiasa kimapenzi, kiuchumi, kiitikadi na kisera wewe utakuwa maskini kama maskini wengine. Utakuwa na fedha ila utazila Kwa shida.

Tujiulize safari ya utajiri wa Seth na Rugemalila Ndo ikawa mwisho 2015? Safari ya familia ya akina Mo na wengine ndo itegemee mwanasiasa pamoja na kusota kwao kote kutafuta fedha na Mali? Kwamba Sasa ni matajiri ila wanaogopa kutoka ndani kuingia uwanjani kuuongeza utajiri wao Kwa sababu ya mwanasiasa? Kwamba wanakula Kwa mawazo?

Kwanini awakuona ubovu wa mfumo wakatumia fedha zao kuzalisha mfumo ambao utawapa uhakika wa kusimamia utajiri wao mbele ya jamii na mbele ya mahakama? Kwamba waseme utajiri wangu Mimi nimeupata Kwa shida na nitaulinda daima!

Kwanini matajiri wetu wanaochipukia wanashindwa kujilinda na maadui? Lazima wafungamane na wanasiasa? For what? Bado wanaamini awamu ya Tano ikirudi watabaki salama?

Nawakumbusha muda ni Sasa, ufe mfumo mbovu uzalishwe mfumo madhubuti unaoheshimu haki ya Kuishi, kumiliki Mali, kuwakilishwa kwenye vyombo vya maamuzi na kulinda utu au ubaki mfumo uliopo unaowafanya wawaze nani kesho atatawala?

Walikuwa na fedha azikuwasaidia, angalau tungekuwa na katiba imara, taasisi imara na sheria madhubutu wasingeishia kuzeeka Kwa fedhea wanayopata Sasa.

Tafakuru ya kiuchusiasa(ecopolitics

Hao uliowataja, utajiri wao ulitokana na siasa chafu za rushwa na wizi mkubwa kupitia mikataba ya hovyo na kuibia nchi billions, so kuanguka au kusimama kwao kutategemeana na walipopata mali zao ambazo zilipatikana kwa wizi wizi tu. Hivyo hakuna anayepata mali kihalali alafu wanasiasa waanze kumsumbua au huyo tajiri aanze kukimbia nchi au ashikwe na kuwekwa gerezani.

Utajiri wa wizi au grand corruption mwisho wake ni mbaya sana.
 
Ila tu ni kwa kuwa nchi hii haipo serious na mambo makubwa. Hao uliowataja wote hakuna msafi ni wazee wa pesa chafu, Ila hata huko serikalini nani msafi? Shida ndio ipo hapo
 
Ndo maana matajri wa Tanzania hawawezi kukuandikia kitabu kinachoelezea jinzi walivyotajirika na nini kiliwatajirisha
 
Kama unakubali kuna mapungufu lakini bado unapinga katiba bora baso wewe hauko tayari kwa mabadiliko.

Mfano mzuri tu kuna wakurugenzi wa vitengo hawako tayari kuungana na wadhalimu. Mfano Ndugai asingeungan na Samia kukopa kukopa bila mpangilio. Au CAG Assad asingeficha makosa ya serikali, au Jaji Mkuu na wengine kama akina Jaji Mtungi wasingekuwa wana boronga kama wangekuwa na uhuru kikatiba. Ila wanalazimika.kufata matakwa ya mabosi wao.

Haya yanaweza kupungua kama sio kuisha kama hizi taasisi zingekuwa independent kikatiba.

Swala lingine kama kesu ya Mbowe isingetumia pesa nyingi na resources za serikali mabilioni kwa mambo ya mtu binafsi. Ingepigwa stop na mahakama ndani ya mwezi mmoja tu ya kuanza.

Chunga sana

Kama unakubali kuna mapungufu lakini bado unapinga katiba bora baso wewe hauko tayari kwa mabadiliko.

Mfano mzuri tu kuna wakurugenzi wa vitengo hawako tayari kuungana na wadhalimu. Mfano Ndugai asingeungan na Samia kukopa kukopa bila mpangilio. Au CAG Assad asingeficha makosa ya serikali, au Jaji Mkuu na wengine kama akina Jaji Mtungi wasingekuwa wana boronga kama wangekuwa na uhuru kikatiba. Ila wanalazimika.kufata matakwa ya mabosi wao.

Haya yanaweza kupungua kama sio kuisha kama hizi taasisi zingekuwa independent kikatiba.

Swala lingine kama kesu ya Mbowe isingetumia pesa nyingi na resources za serikali mabilioni kwa mambo ya mtu binafsi. Ingepigwa stop na mahakama ndani ya mwezi mmoja tu ya kuanza.

Chunga sana

Nakubaliana na wewe [emoji817]
Na Mimi Pia nahitaji mabadiliko ila hiyo nguvu wanaotumia hao mamluki ni kubwa sana
Inatakiwa wanaopinga wawe wengi zaidi ya CAG na Ndungai
Inatakiwa kuchagua watu ambao hawayumbi hata wakipewa hela za aina gani la sivyo tutapata wawili wa kupinga na watazimwa
Imagine watu wanaiba ila utasikia kiongozi anaita takukukuru wamchukue ila baada ya hapo Mabilioni yamepotea na hatuambiwi tena zimerudi au wamegawana wao kwa wao na Sisi tumepigwa changa la macho

IMG_6656.jpg
 
Back
Top Bottom