Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Taarifa iliyopo ni kwamba Rostam Aziz amekubaliana na Yanga kununua share 29% halafu GSM wao kununua 20% na wananchi kubakiwa na 51%.
Walikuwa wanaona simba inapotea kumpa Mo 49%,nao pia wanafanya kitu kile kile .
Tatizo hawa wenzetu wanabeza wanayofanywa na simba mwishoni wanaiga na kuja navyo bila aibu ila mwanzoni kujifanya wajuaji na kupinga.
===========
Updates
Rostam Akanusha: Rostam Aziz akanusha kununua hisa Yanga
Walikuwa wanaona simba inapotea kumpa Mo 49%,nao pia wanafanya kitu kile kile .
Tatizo hawa wenzetu wanabeza wanayofanywa na simba mwishoni wanaiga na kuja navyo bila aibu ila mwanzoni kujifanya wajuaji na kupinga.
===========
Updates
Rostam Akanusha: Rostam Aziz akanusha kununua hisa Yanga