Ndengaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,831
- 14,259
Wanakula vizuriMbona Wana vitambi[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakula vizuriMbona Wana vitambi[emoji16]
Kuna kila dalili wewe si riziki2017
Hayati JPM anaunda timu kuhakiki mali za Chama cha mapinduzi chini ya Bashiru Ally
Kakurwa.
Kunagundulika matatizo katika hisa za CCM na Rostam ndani ya African Media Group.
Wamiliki wa Chanel 10 na magic Fm
Rostam anapigwa mkwara anakomaa.
2018
Toyota landcruiser iliyotumiwa na Nape kufanya kampeni mwaka 2015 inakamatwa na kurudishwa ofisi za CCM, Nape alishajimilikisha gari hilo utadhani CCM ni mali yake.
October 31 DSM
Mdogo wake Rosta Aziz aitwae Akram anakamatwa maenep ya Oyterbay na kufunguliwa kesi ya kuhujumu uchumi, kutakatisha pesa, kukamatwa na nyara za serikali, kukamatwa na risasi na bunduki, nyama ya nyati, pembe za ndovu kadhaa,jumla mashtaka 75.
Nov 13, 2018 DSM
Rais Magufuli anakutana na Rosta Aziz Ikulu,nwalichojadili sasa. Anakabidhi Chanel Ten kwa CCM kimya kimya.
Dec 22, 2018 DSM
Mahakama ya hakim mkazi kisutu inamuhukumu Akram Aziz kifungo cha miaka 20 jela au kulioa faini milioni 259.5, pesa inaenda kuchukuliwa fasta na anaachiwa huru.
February 2019 tunatangaziwa kuwa Chanel Ten na Magic FM ni mali ya CCM.
Kwani hiyo Chanel 10,umesikia ni mali ya family yake.Sema tu baada ya kifo cha Magufuli mnataka kumuuzia tena Lostam hiyo Chanel na redio,hapa mmekuja kupima upepo.Kuhongwa chanel ten sio ufisadi?
Kwani huyo hawara alikuwa muarabu ? Je wahuni wa sa100 ambao wanaoza nchi kwa muarabu kwa kuua watanzania tusemejeAliyegawia hawara nyumba za serikali kwa sasa ni kioo cha jamii
Lowasa si ni Rostam wanna be..........Issue ya Chanel 10 ilimuhusisha Lowasa 2018
CCM Chanel ten ni ya kwao kabisa toka zamani Tu2017
Hayati JPM anaunda timu kuhakiki mali za Chama cha mapinduzi chini ya Bashiru Ally
Kakurwa.
Kunagundulika matatizo katika hisa za CCM na Rostam ndani ya African Media Group.
Wamiliki wa Chanel 10 na magic Fm
Rostam anapigwa mkwara anakomaa.
2018
Toyota landcruiser iliyotumiwa na Nape kufanya kampeni mwaka 2015 inakamatwa na kurudishwa ofisi za CCM, Nape alishajimilikisha gari hilo utadhani CCM ni mali yake.
October 31 DSM
Mdogo wake Rosta Aziz aitwae Akram anakamatwa maenep ya Oyterbay na kufunguliwa kesi ya kuhujumu uchumi, kutakatisha pesa, kukamatwa na nyara za serikali, kukamatwa na risasi na bunduki, nyama ya nyati, pembe za ndovu kadhaa,jumla mashtaka 75.
Nov 13, 2018 DSM
Rais Magufuli anakutana na Rosta Aziz Ikulu,nwalichojadili sasa. Anakabidhi Chanel Ten kwa CCM kimya kimya.
Dec 22, 2018 DSM
Mahakama ya hakim mkazi kisutu inamuhukumu Akram Aziz kifungo cha miaka 20 jela au kulioa faini milioni 259.5, pesa inaenda kuchukuliwa fasta na anaachiwa huru.
February 2019 tunatangaziwa kuwa Chanel Ten na Magic FM ni mali ya CCM.
Usiniambie wote hawa hawapo!!keiHapa Mwendazake alipoitembelea Ch10, walinzi wote hawa no wonder aliambukizwa gonjwa lisilojulikanaView attachment 2474316
Asante kwa kutushtua. Bandari yetu!Mmeambiwa acheni kumpost ili aache kutrend; hivi nyie hamsikii?
Acha ujuha alirudisha Mali za CCM ,MAGU hakuvichukua viwe vyake ni vya chama .Tunashukuru kwa uthibitisho kwamba Jiwe alilamba rushwa kutoka kwa Rostam
Na vyeo alivyokuwa anahonga vilikuwa vya nani ?Acha ujuha alirudisha Mali za CCM ,MAGU hakuvichukua viwe vyake ni vya chama .
Rais ni kama baba anpo exercise dominion ya mali nyumbani anampa anayemtaka , Mimi nilipewa kama wewe ni toto tukutu unakula jeuri yakoNa vyeo alivyokuwa anahonga vilikuwa vya nani ?