Rostam Aziz alivyoihonga CCM Channel Ten kumnusuru mdogo wake asifungwe na Hayati Magufuli

Kuna kila dalili wewe si riziki
 
Aliyegawia hawara nyumba za serikali kwa sasa ni kioo cha jamii
Kwani huyo hawara alikuwa muarabu ? Je wahuni wa sa100 ambao wanaoza nchi kwa muarabu kwa kuua watanzania tusemeje
 
CCM Chanel ten ni ya kwao kabisa toka zamani Tu
 
Mmeambiwa acheni kumpost ili aache kutrend; hivi nyie hamsikii?
Asante kwa kutushtua. Bandari yetu!

 
Na vyeo alivyokuwa anahonga vilikuwa vya nani ?
Rais ni kama baba anpo exercise dominion ya mali nyumbani anampa anayemtaka , Mimi nilipewa kama wewe ni toto tukutu unakula jeuri yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…