Rostam Aziz: Historia ya Dkt. Slaa haimpi uhalali wa kujifanya anajali maslahi ya Mtanzania. Kampuni zangu hazihusiki na uwekezaji wa DP World

Kati ya majizi yanayojianda kunufaika na ufedhuri wa huu mkataba wa hovyo wa bandari, Rostam ndiye kiongozi wao. Ni swala la mda tu majina yatawekwa hadharani
 
Binafsi siwezi msikiliza Dr Mihogo na Njaa zake badala yake nitamsikoliza na kumpa attention Rostam Kwa sababu kwanza ni mlipa Kodi na Mwajiri ila huyo mwingine ni njaa zinamsumbua ni WA kupuuzwa ,ameshazeeka hana jipya Kwa umri wake..

---

“Huyu ndugu yangu Dkt. Slaa sijui nimjibu nini maana historia yake haimpi heshima wala uhalali wa kujifanya ni mtu wa kujali maslahi ya Watanzania, siku zote amejijali yeye binafsi na maslahi yake binafsi.” – Mfanyabiashara Rostam Aziz

 
Aahaaaaaa,shikamoo Rostam
 
Mfanyabiashara mkubwa nchini Rostam Aziz amezungumza na waandishi wa habari Juni 26, 2023 ambapo ameeleza mambo mbalimbali ikiwemo sakata la bandari ya Dar na kuhusika kwake kwenye uwekezaji huo mkubwa...
Rostam amerudia tena enzi za Mengi? Si aliita siasa zetu ni uchwara akasusa na ubunge akakimbia? Nani kazitakasa siasa zetu hadi zikamvutia kurudi?

Au ndo ule utatu umerudi rasmi? Hata hivyo Huyu ni gabacholi asiye na madhara kwenye siasa zaidi ya wizi.

Samia hatufai yule mwanamke tayari ametekwa!! TZ tuna state capture!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…