Rostam Aziz: Historia ya Dkt. Slaa haimpi uhalali wa kujifanya anajali maslahi ya Mtanzania. Kampuni zangu hazihusiki na uwekezaji wa DP World

Sidhani. Ingawa anachosema Dr. Slaa ni kweli lakini sidhani kama ataweza kumjibu Rostam Aziz. Hawa watu wawili kati yao hakuna aliye msafi. Wanajuana sana. Anayoyasema Rostam anayafahamu.

Na kuna anayoyafaham Dr. Slaa kuhusu Rostam. Naye akiyaweka Mezani.... Huu mgogoro utaenda enda mwishowe utakuwa ni vita ya hawa wawili watahama kutoka kwenye DP World na Watanzania watasahau watabaki kusubiria episodes za watu hawa huku siku zikiendelea mbele.

Kama ungekuwa mshauri wa Dr. Slaa kitaalamu. Je ajibu au Anyamaze?
 
Watatoka sana mapangoni 🤣🤣🤣!! Alietenda kosa haimaanishi hapaswi kukosoa mapungufu flani!!
 
Dalili ya hatari na nchi kuangamia ni pale mafisadi papa wanapopata nguvu ya kuongea na kujiita watakatifu. Hii ni ishara kua ufisadi umekubuu, hii ni sawa na mwizi sugu aliezoea kuiba inafika mda haibi tu bali hata anabaka mkeo, watoto na haitoshi anataka kukubaka na ww, hvyo anachofanya Rostam ni kutubaka kitu ambacho hatutakiwi kukubali. Mafisadi sasa wameota pembe.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
THAT PART OF AN EYE THAT DISTINGUISHES THE COLOUR ITSELF HAS NO COLOUR.SIO LAZIMA UWE NA RANGI ILI KUONA NA KUTAMBUA RANGI. KUTOKUWA MUADILIFU, HAKUKUZUII KUTOWAONA WASIO WAADILIFU. TUJIBU HOJA, ILA TUSIKWEPE KUJIBU HOJA ETI KWA KUWA ALIYESEMA SI MUADILIFU.
 
Mbona mambo mengine haongeleagi, why hili la bandari tu? Huyu asibishe.. hapa ana mkono wake.
 
Mi naelewa hivi JAL 2 ndio Hii ishaanza kutekelezwa mission!!

SASA nadhani Pengo kamtuma Dr.achokoze nyuki kwenye mzinga sio!? halafu nyuki waanze kushambulia wakutane na Moshi na moto mkali wafe!!

Hii move kama ipo hivyo bas the state wamechanga karata vizuri SANA!!

Ni kama lile gazeti la uhuru mnakumbuka!!?

Eti "mama hatogombea 2025" mama si akajibu!!?si ndio operation ya kumkwamisha ikaanza arasmi Ili HADI 2025 awe amepoteza mvuto !!?

Mawazo huru haya ya mlipa kodi asiekwepa!

Mungu IBARIKI Tanzania nchi yetu niipendayo SANA!
 
Rastam katoa utetezi dhaifu sana wa wawekezaji.

Kajibu maswali ambayo hayajaulizwa, wakati maswali yaliyoulizwa hajayajibu.

Kajaza ad hominem attacks, logical non sequitur na false dichotomies kwenye utetezi wake.
Hicho kithungu thatha dha
 
Kimeumana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…