Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Naona una mihemuko binafsi. Sasa hapa CCM inaingia vipi wakati mwenye fedha zake ananunua biashara inayouzwa. Wivu wa hivyo ni WA KIJINGA tu.U
Uliwahi kuona mikataba ya MAFISADI wa CCM hata siku moja?!
jiongeze basi. Nchi yetu hii lazima tuipiganie kwa wivu mkubwa sio kuiuza kidalali dalali na KIFISADI.
Je MTN au Orange wangenunuanTIGO ndiyo ungeshangilia kwa mfano