Rostam Aziz mmiliki mpya wa tiGO Tanzania na Zantel

Rostam Aziz mmiliki mpya wa tiGO Tanzania na Zantel

Zantel inamilikiawa na Tigo.

Na Rostam Share zake Voda ambayo ni kampuni kubwa Kuliko Tigo zilikuwa ni asilimia 30, kuna maajabu gani Akimiliki Tigo?

Na kwako Ushindani ni mgeni mmoja kama Millicom Toka Luxembourg amiliki Kampuni Tanzania lakini kampuni hio hio hapaswi kumiliki Mzawa?
Shida sio uzawa, shida ni Rostam.
Huyo anaepinga umuambie basi tutamzuia Rostam asinunue tutakuuzia wewe, uone atakavyotoa macho kama kamuona Ziraili.
Chuki tu za masikini kwa waliojaaliwa kuwa nacho.
 
Manji naona ndio byebye yake tayari maana ndio kampuni aliyokuwa amebaki nayo Tanzania..
 
U
Mkuu Trillion, utapeli wa Rostam uko wapi kwenye hii transaction? Rostam mtu binafsi ameinunua Tigo/ Zantel ambayo ilikuwa inamilikiwa na Milicon International Cellular ya Luxembourg. Wala hajanunua TTCL
Uliwahi kuona mikataba ya MAFISADI wa CCM hata siku moja?!
jiongeze basi. Nchi yetu hii lazima tuipiganie kwa wivu mkubwa sio kuiuza kidalali dalali na KIFISADI.
 
Siyo ugeni na uzawa. Kiushindani si sawa mtu kumiliki kampuni mbili zinafanya kazi moja. Ni kama mtu umiliki Simba na Yanga.
Alishauza Voda zamani tu, alimuuzia Marehemu Mfuruki. Na Zantel na Tigo ni kampuni moja. Brand tofauti. Aliezifanya Zantel na Tigo kuwa kampuni moja si yeye, bali ni Milicom ambao waliinunua Zantel na Tigo pamoja. Rostam amezikuta tayari ni kampuni moja, kosa lake lipo wapi?
 
Tanzania ni nchi yenye ardhi kuubwa sana ambayo iko tupu kabisa na inarutuba, mito inayotiritika nk...

sasa hivi kila kijana, Mzee na watoto wote wanasiasa kutwa kuta kujadili siasa, Man U , Madrid nk....gharama za usajili wa hivyo vilabu, na taarifa zake zote...Ila sasa muulize huyo mtanzania bei ya mahindi alipo, au namna anaweza hata kulika mchicha tuta tatu...

Uvivu unatufanya tuamini hawa wanasiasa watakomboa maisha yetu....wakati unaishi Dar yenye wakazi zaidi ya 3mil na unashindwa kufikiri kupitia hii population unajikomboaje? au hapo mtaani kwenu kwenye wakazi 1000 wanawezaji kila siku kukupa tsh 100?
Kuna 40mi
Tanzania ni nchi yenye ardhi kuubwa sana ambayo iko tupu kabisa na inarutuba, mito inayotiritika nk...

sasa hivi kila kijana, Mzee na watoto wote wanasiasa kutwa kuta kujadili siasa, Man U , Madrid nk....gharama za usajili wa hivyo vilabu, na taarifa zake zote...Ila sasa muulize huyo mtanzania bei ya mahindi alipo, au namna anaweza hata kulika mchicha tuta tatu...

Uvivu unatufanya tuamini hawa wanasiasa watakomboa maisha yetu....wakati unaishi Dar yenye wakazi zaidi ya 3mil na unashindwa kufikiri kupitia hii population unajikomboaje? au hapo mtaani kwenu kwenye wakazi 1000 wanawezaji kila siku kukupa tsh 100?
Kuna hekari milioni arobaini zinazofaa KWA kilimo.
Population ya 60 sth million citizens.
Kuna uhitaji wa tani laki 3 za mafuta ya kupikia.

Ni hayo tuu KWA uchache
 
Alishauza Voda zamani tu, alimuuzia Marehemu Mfuruki. Na Zantel na Tigo ni kampuni moja. Brand tofauti. Aliezifanya Zantel na Tigo kuwa kampuni moja si yeye, bali ni Milicom ambao waliinunua Zantel na Tigo pamoja. Rostam amezikuta tayari ni kampuni moja, kosa lake lipo wapi?
Rest easy Ali Mafuruki.
 
Uuzwaji wa Makampuni napo kuna kumshukuru huyo bibi!

Emu acheni basi kumpa sifa ambazo hastahili
Lazima wajinga wamshukuru samia kwa kuiuza nchi na kuirudisha mikononi mwa walaji ambao Tanzania ndiyo biashara zao
Leo Tanzania imeshuka kutoka kuwa nchi ya uchumi wa kati ambao mliingia mapema kabla ya muda mliokadiriwa hamjui kisa ni Samia kuruhusu na kurudisha wapigaji wote wa kati na wa kimataifa kina Azizi na wengine,,, Wanasema Samia kaifungua nchi huo usemi ni kweli kwani ameifungua na anaifungua nchi deilee kwa wapigaji huko ndiyo kuifungua nchi,,,,
Kungekuwa na upinzani credible safari ya 2025 CCM mazishi tu lakini upinzani wa kudai katiba na siyo matatizo ya wananchi bado ccm itashinda ila wanyonge tunaoumia sasa kwa mambo lukuki kama bei za mbolea na bidhaa muhimu wakulima hatutapiga kura
Samia kazi kuimba taarabu za kumkejeli na kumdhihaki Magufuli wakati kipindi cha Magufuli hakukuwa na tozo, kukatika kwa umeme na mbolea mfuko sh 56 leo laki moja na ushe hivi nani ampe kura Samia au mnatuchukulia poa??
Kishindo cha Samia ni mbolea bei juu, umeme wa mgao, utendaji wa mazoea hakuna barabara hata ya nusu maili hicho kweli kishindo!!!!!
 
Katiba mpya itazuia investments?!
itazuia CCM kuiuza nchi wakakavyo !! Miaka 60 ya huru bado tunahangaika na madawati shule za msingi... sasa tutarusha lini hiyo Satellite yetu.
 
Tanzania ni nchi yenye ardhi kuubwa sana ambayo iko tupu kabisa na inarutuba, mito inayotiritika nk...

sasa hivi kila kijana, Mzee na watoto wote wanasiasa kutwa kuta kujadili siasa, Man U , Madrid nk....gharama za usajili wa hivyo vilabu, na taarifa zake zote...Ila sasa muulize huyo mtanzania bei ya mahindi alipo, au namna anaweza hata kulika mchicha tuta tatu...

Uvivu unatufanya tuamini hawa wanasiasa watakomboa maisha yetu....wakati unaishi Dar yenye wakazi zaidi ya 3mil na unashindwa kufikiri kupitia hii population unajikomboaje? au hapo mtaani kwenu kwenye wakazi 1000 wanawezaji kila siku kukupa tsh 100?
Ukweli mchungu huu
 
Kiherehere cha Voda tu, wengine waliona watulie maana haina faida kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani kwa wakati ilikuwa ni Statutory Requirement hizi kampuni za simu zote ziwe listed DSE. Kwa bahati mbaya mwenendo wa hisa za Voda haukwenda vizuri uliingiliwa na Siasa matokeo yake Zikaangukia pua. Hii ikasaidia kampuni nyingine ziishie njiani
 
Kuna 40mi

Kuna hekari milioni arobaini zinazofaa KWA kilimo.
Population ya 60 sth million citizens.
Kuna uhitaji wa tani laki 3 za mafuta ya kupikia.

Ni hayo tuu KWA uchache
Hiyo mvua iko wapi au unaishi mbinguni?
 
Familia ya Rostam kama familia zingine za wenye asili ya Asia zimetajirika zamani hata kabla ya nchi kupata uhuru. Ni wafanya biashara wazuri. Wengi walikimbia Azimio la Arusha walihamia UK, Canada maana Nyerere alitaifisha biashara na mali zao baadaye zikamshinda. Kikwete enzi zile alienda Canada, US, UK kuwaomba warudi kama yule Museveni alivyowaomba WaAsia waliofukuzwa na Idi Amin warudi.
Haya ni majangili tupu hakuna lolote
 
Zantel inamilikiawa na Tigo.

Na Rostam Share zake Voda ambayo ni kampuni kubwa Kuliko Tigo zilikuwa ni asilimia 30, kuna maajabu gani Akimiliki Tigo?

Na kwako Ushindani ni mgeni mmoja kama Millicom Toka Luxembourg amiliki Kampuni Tanzania lakini kampuni hio hio hapaswi kumiliki Mzawa?
But Rostam ni tajiri kupita kiasi
 
Back
Top Bottom