Rostam Aziz mmiliki mpya wa tiGO Tanzania na Zantel

Rostam Aziz mmiliki mpya wa tiGO Tanzania na Zantel

Watanzania wooote kwa sasa wamekuwa wanasiasa, kutwa kucha kupambana na wanasiasa na mategemeo yao kwa 100% wameyaweka kwa wanasiasa....

Tanzania ni nchi iliyojaa fursa saana, tukomae tuache kulilia wanasiasa na kuamini matatizo yetu yanasababishwa na wanasiasa ilihali kuna jirani yako hapa hapa anamiliki 2bil kwenye account huku wewe unashangilia kuitwa mnyonge...

Tusitegemee saaana maendeleo huku Africa yaje leo, chanzo ni mifumo ya muda mrefo inayosababishwa na mambo meeengi ikiwemo athari zilizoachwa na wakoloni, siasa za kisasa za mabeberu, uchanga wa mataifa yetu, nk..
Kupambana na hizo athari kunahitaji kujitoa na vita ipiganwe vizazi na vizazi na sio Urais wa miaka 10 basi umasikini na unyonge uishe..
Wanasiasa ndiyo wanaamua fursa ziweje na nani apate.
 
Hivi Rostam hakuwahi kuwa na Hisa pale Vodacom kisha akaamua kuziuza?
 
Huyu Muirani ana ma akili ya kukamata fursa. Halafu yeye hana makeke kama ya Mwamedi.
Kila mtu ana hulka yake mama. Maana sisi waswahili tukiwa maskini huwa tunaumia tu na kila anachofanya Tajiri. Mwangalie Elon Musk ... Tajiri Mkubwa DUNIANI. but anapenda sana social media. Haya mambo ni mpaka uwe na uelewa otherwise unaweza jikuta unamchukia tu mtu sababu ya PESA ZAKE NA ALIVYOCHAGUA KUISHI.😁
 
Familia ya Rostam kama familia zingine za wenye asili ya Asia zimetajirika zamani hata kabla ya nchi kupata uhuru. Ni wafanya biashara wazuri. Wengi walikimbia Azimio la Arusha walihamia UK, Canada maana Nyerere alitaifisha biashara na mali zao baadaye zikamshinda. Kikwete enzi zile alienda Canada, US, UK kuwaomba warudi kama yule Museveni alivyowaomba WaAsia waliofukuzwa na Idi Amin warudi.
Hawazipatagi kwa uhalali! Wafanya biashara ni wanjajawajanja sana! Watu wenye akili kama Nyerere alishawaona kuwa ni matapeli
 
Nasikia 20% ya manunuzi ya zile ndege tulizonunua jamaa alipiga huo mkwanja kwa msaada wa vibwanyenye flani vya serikalini.
 
Piga kazi mama tumecheleweshwa mnooo kama taifa.
Kwa vyovyote wewe ni mmojawapo wa uv-ccm kwani ndio wanaunga mkono kila kitu hadi utopolo!
Nani alichelewesha? sometimes unatakiwa upigane sana ukiitwa Uv-ccm
 
Zantel ndio Tigo; Kitambo kampuni mama ilishainunua..., Company mergers has been happening since begging of Time; Hata ulikuwa ukiweka line ya Zantel Bara inasoma mnara kwa Tigo
Sikujua kama Tigo walinunua Zantel. Habari ilieleza kama ni vitu tofauti.
 
Back
Top Bottom