Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Kingmaker kaziniFununu tanzaniteone nayo kachukua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kingmaker kaziniFununu tanzaniteone nayo kachukua
Anaitafunaje wakati kawekeza hela zake?Hicho ni kikosi cha kuitafuna nchi ya Tanzania
Unaathirika vipi na yeye kuwa mmiliki wa tiGO? Mbona aliwahi miliki 35pc ya Vodacom Tz?Tushachoka kwanza...
Watufanye vyovyote
Zantel ilishauzwa kwa tiGO muda sasaTume ya ushindani inasemaje? Mtu mmoja anawezaje kumiliki Zantel na Tigo!
Nyie wanaharakati mna tatizo, Katiba haikueleti pesa, wala chakula mezani#KATIBA MPYA#
Roho mbaya yakuandamaAna hisa zina nguvu hadi kuwa mwenyekiti wa kampuni mama ya Tigo. Hatujui nguvu yake huko Zantel. Kiufupi halijakaa kiushindani.
Natamani watanzania walio busy kudai Katiba na walalamikaji mitandaoni wakisikie na wakuelewe. Miaka mitatu iliyopita nikitumia likizo yangu vizuri nilienda Lindi, nikaona fursa ya ardhi nikafuatilia nikapata acre 120 kwa bei ndogo saaana. Nikajenga banda la mtunza shamba na kuanza kulisafisha. Hadi sasa acre 60 nimeshapanda mikorosho na ndani take nimepiga ufuta kwa msimu huu. Kwa picha za video nazotumiwa, kila kitu kinaenda poa. Tulio mbali tunaziona fursa lakini wenyeji kazi ni kulialia tu.Tanzania ni nchi yenye ardhi kuubwa sana ambayo iko tupu kabisa na inarutuba, mito inayotiritika nk...
sasa hivi kila kijana, Mzee na watoto wote wanasiasa kutwa kuta kujadili siasa, Man U , Madrid nk....gharama za usajili wa hivyo vilabu, na taarifa zake zote...Ila sasa muulize huyo mtanzania bei ya mahindi alipo, au namna anaweza hata kulika mchicha tuta tatu...
Uvivu unatufanya tuamini hawa wanasiasa watakomboa maisha yetu....wakati unaishi Dar yenye wakazi zaidi ya 3mil na unashindwa kufikiri kupitia hii population unajikomboaje? au hapo mtaani kwenu kwenye wakazi 1000 wanawezaji kila siku kukupa tsh 100?
As long as hajaiba, katoa pesa hakuna ubayaFununu tanzaniteone nayo kachukua
Wizarani ilishapita zamani, ilibakia FCCKwa iyo vibali vyote vimepitia kwa Nape?
Hujaona hapo Avia's Group?Tume ya ushindani inasemaje? Mtu mmoja anawezaje kumiliki Zantel na Tigo!
Kiherehere cha Voda tu, wengine waliona watulie maana haina faida kwaoJanja sana.... Vodacom walilegea wakaingia kwenye soko DSE, jamaa akaona hakuna tena biashara huko. Kaamia zake Tigo, na ule mpango wa kulazimisha hizi kampuni za simu kwenye DSE sidhani kama bado upo.
CaspianWho owns TCL, which controls all Barrick Tanzania supplies?
Masikini na wapinzani wana roho mbayaZantel inamilikiawa na Tigo.
Na Rostam Share zake Voda ambayo ni kampuni kubwa Kuliko Tigo zilikuwa ni asilimia 30, kuna maajabu gani Akimiliki Tigo?
Na kwako Ushindani ni mgeni mmoja kama Millicom Toka Luxembourg amiliki Kampuni Tanzania lakini kampuni hio hio hapaswi kumiliki Mzawa?
Umeongea la maanaTigo aka MIC group, Taifa gas, Primefuel, Caspian ltd, Hisa Mwadui diamond mine, Tancoal mine..... Mzee wa Caspian sea anachanja mbuga tu.....
Wanyonge tukomae tutoboe tuache kulialia....
Ukiwa masikini akili nayo inakuwa masikini, kila mafanikio ya mtu unayaona kama kakuibiaMtu masikini ni hatari sana always think is failure its due to the success of others
Yani watu wanasifia ujinga hadi kero.Uuzwaji wa Makampuni napo kuna kumshukuru huyo bibi!
Emu acheni basi kumpa sifa ambazo hastahili
Awamu hii hakuna anayejali.Ana hisa zina nguvu hadi kuwa mwenyekiti wa kampuni mama ya Tigo. Hatujui nguvu yake huko Zantel. Kiufupi halijakaa kiushindani.