Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Itahoji na kuzuia investments za Matapeli kama hizi.Katiba mpya itazuia investments?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itahoji na kuzuia investments za Matapeli kama hizi.Katiba mpya itazuia investments?!
Kuna siku uliandika kitu kizuri Sana kuhusu hawa watu kutoka Asia kwamba wanachofanya wanakusanya mitaji huko wanakuja kuwekeza kama wazawa wakati kiuhalisia wanatumia mitaji ambayo inatoka nje hivyo kutokuwa na mizania katika ushindani....Watanzania wooote kwa sasa wamekuwa wanasiasa, kutwa kucha kupambana na wanasiasa na mategemeo yao kwa 100% wameyaweka kwa wanasiasa....
Tanzania ni nchi iliyojaa fursa saana, tukomae tuache kulilia wanasiasa na kuamini matatizo yetu yanasababishwa na wanasiasa ilihali kuna jirani yako hapa hapa anamiliki 2bil kwenye account huku wewe unashangilia kuitwa mnyonge...
Tusitegemee saaana maendeleo huku Africa yaje leo, chanzo ni mifumo ya muda mrefo inayosababishwa na mambo meeengi ikiwemo athari zilizoachwa na wakoloni, siasa za kisasa za mabeberu, uchanga wa mataifa yetu, nk..
Kupambana na hizo athari kunahitaji kujitoa na vita ipiganwe vizazi na vizazi na sio Urais wa miaka 10 basi umasikini na unyonge uishe..
Kingmaker kazini
Tuwasubiri mpaka lini ?watu wanatumia opportunity, tuendelee kusubiri wanasiasa waweke mambo sawa na sisi tuwe matajiri maana tunaamini kwa wanasiasa..
Huyu mhindi ni hatari na nusuTajiri Rostam Azizi ndio Mmiliki wa Sasa wa Kampuni za Tigo na ZantelView attachment 2177203
Muacheni mama afungue nchi.
Tunamshukuru mama anaupiga mwingi sana
Sky vipi tena, tunajadili habari ya watu 'kuuziana tigo' wewe unazungumzia katiba? [emoji23][emoji23][emoji23]
Tuwasubiri mpaka lini ?
Kuna kipindi ulikuwa unawalalamikia wafanyabiashara wenye asili ya Asia ila leo unawapongeza....haya bhana tumekuelewa.
Huyu Muirani ana ma akili ya kukamata fursa. Halafu yeye hana makeke kama ya Mwamedi.
Ok,betterMgodi wa kuchimba tanzanite
Jambo zuriKampun ya kuchimba Tanzanite kule mbughuni
Basi wenye roho za kimaskini wanaumiaaa. Wanasahau watoto wao wameajiriwa huko. 😂😂😂😂Tajiri Rostam Azizi ndio Mmiliki wa Sasa wa Kampuni za Tigo na ZantelView attachment 2177203
Siyo ugeni na uzawa. Kiushindani si sawa mtu kumiliki kampuni mbili zinafanya kazi moja. Ni kama mtu umiliki Simba na Yanga.Zantel inamilikiawa na Tigo.
Na Rostam Share zake Voda ambayo ni kampuni kubwa Kuliko Tigo zilikuwa ni asilimia 30, kuna maajabu gani Akimiliki Tigo?
Na kwako Ushindani ni mgeni mmoja kama Millicom Toka Luxembourg amiliki Kampuni Tanzania lakini kampuni hio hio hapaswi kumiliki Mzawa?
Anataabika vipi mwezako ana Shule inaitwa J K Nyerere ipo Tanki mbovu, ana Gazeti la Rai na biashara nyingi tu.Sasa walau ampe kibarua mzee Jenerali Ulimwengu maana anataabika sana hapa Duniani.