Kampun ya kuchimba Tanzanite kule mbughuniTanzaniteone ni kampuni ya nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kampun ya kuchimba Tanzanite kule mbughuniTanzaniteone ni kampuni ya nini
Mgodi wa kuchimba tanzaniteTanzaniteone ni kampuni ya nini
Kwa iyo vibali vyote vimepitia kwa Nape?Rostam Aziz na Kampuni ya Madagascar, Axian Group Ltd ni wamiliki wapya wa @Tigo_TZ baada ya kukamilika biashara ya mauziano na wamiliki wa awali Millicom International Cellular SA (NASDAQ-TIGO) na dili hilo limehusisha US$100M.
Katika taarifa ya Millicom International kwa umma. Hivyo, sasa Rostam anakuwa mwenyekiti wa Kampuni tanzu, MIC Tanzania.
Pia kwa pamoja na Axian Group Ltd wanamiliki kampuni ya Mawasiliano ya simu ya ZANTEL.
Imethibitishwa na CEO wa Millicom, Mauricio Ramos
Afadhali huyu hana njaa sana atapumguza gharama za vifurushi.Rostam Aziz na Kampuni ya Madagascar, Axian Group Ltd ni wamiliki wapya wa @Tigo_TZ baada ya kukamilika biashara ya mauziano na wamiliki wa awali Millicom International Cellular SA (NASDAQ-TIGO) na dili hilo limehusisha US$100M.
Katika taarifa ya Millicom International kwa umma. Hivyo, sasa Rostam anakuwa mwenyekiti wa Kampuni tanzu, MIC Tanzania.
Pia kwa pamoja na Axian Group Ltd wanamiliki kampuni ya Mawasiliano ya simu ya ZANTEL.
Imethibitishwa na CEO wa Millicom, Mauricio Ramos
Kutakuwa na tatizo la rushwa kubwa sana nchini kwetu. Hisa alizochukua kwenye mgodi wa Mwadui ingekuwa nchi za wenzetu zingemtia matatani na waliompa kandarasi ya kutoa huduma mgodini kwa inflated rates.Huyu Muirani ana ma akili ya kukamata fursa. Halafu yeye hana makeke kama ya Mwamedi.
Duh! Voda aliuza mara kaibukia huku kwa hawa Kanjubai
Familia ya Rostam kama familia zingine za wenye asili ya Asia zimetajirika zamani hata kabla ya nchi kupata uhuru. Ni wafanya biashara wazuri. Wengi walikimbia Azimio la Arusha walihamia UK, Canada maana Nyerere alitaifisha biashara na mali zao baadaye zikamshinda. Kikwete enzi zile alienda Canada, US, UK kuwaomba warudi kama yule Museveni alivyowaomba WaAsia waliofukuzwa na Idi Amin warudi.
Uhusiano wa Nape na Rosam ukoje tangu alipoachana na siasa za majitaka za kujivua gamba?Kwa iyo vibali vyote vimepitia kwa Nape?
Zantel inamilikiawa na Tigo.Ana hisa zina nguvu hadi kuwa mwenyekiti wa kampuni mama ya Tigo. Hatujui nguvu yake huko Zantel. Kiufupi halijakaa kiushindani.
Hicho ni kikosi cha kuitafuna nchi ya Tanzania
Kwa iyo vibali vyote vimepitia kwa Nape?