Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Mimi naona tuendelee kuwa makondoo tu, kwani tutafanya nini?

Rostam ndio amemweka JK madaralani... Kwa hiyo serekali ameiweka mfukoni mwake.. Cha msingi watanzania tuendelee Kumwomba Mungu amwuue, Chenge, Rostam, Lowasa, Karamagi, Sitta, Mkapa.. kwani naona kila kukicha hutuachi kusikia haya majina kwenye vyombo vya habari mara Fisadi.... Wakishakufa walau tutapumua tutafuta historia za maisha yao mahali popote zilipoandikwa Tanzania.. Tutawasahau kabisa. Watakuwa ni majivu tuu
 
Na kwa kuzingatia ukaribu wa watatu hao (Kikwete, Lowassa na Rostam) kisiasa na kifamilia,

Mimi nilifikiri hao watatu wana uhusiano wa kisiasa tu, kumbe kuna na familia involved, how? Hapa nahisi kuna kitendawili hapo,

1. yaani Lowassa na muungwana wana uhusiano wa kifamilia? no way, mmoja Mmeru, mwingine Mkwere, hawaoleani kwa hiyo sio hawa.

2. muungwana na Rostam, uhusiano wa kifamilia sijawahi kusikia, au kuna more zaidi kwenye uhusiano wao mpaka kufikia kifamilia?
 

Mkuu Tanzania unajua siyo kenya.

Uhusiano wa kifamilia Tanzania unaweza kuunganisha makabila Tofauti. Na hii naona mimi ni hatari kwa maendeleo ya taifa ambapo unakuta familia ya karamagi na Rostamu ni marafiki sana.

Tuombe mungu yasitukute haya huuu ni utapeli.

Hii story inatukumbusha mbali CCM inatakiwa kujipanga upya kutoka midomoni mwa mamba.

Suala hili ni mtihani wa mkubwa kwa watanzania na CCM kwa ujumla hila cha maana wale walio wazuri ndani ya CCM hawana budi kuanzisha CCM B yao.
 
I am sure most of us we still have the question lingering in our mind as to how this man RA become so familar with dirty deals and how and when he managed to forge relationship with Tanzanian top most leader.

He RA with the help of another prominent member EL he became an adviser,trouble-shooter and financer during the election process,he engeneered 'dirty' smear campaign as well as illegal funds to help Jakaya clinch the CCM's nomination.

They went on, they grabed funds illegally from external debt payment account popularly known as EPA,the account supposedly created by the president himself when he was a finance minister in Ruksa government.Other deals used to sweep funds from national treassure mentioned includes but not limited to TANGOLD,MEREMETA & Deep Green

Through this funds and from many other illegal deals like IPTL and mining contracts when he was energy minister,he was propelled to power. This was a land slide victory which they call 'Ushindi wa tsunami' . Indeed RA was a Kingmaker.

As usual if the lion tests human blood will not stop from geting another human flesh.Using the pretext of power blackout they designed Richmond and continued to bleed already highly impoverished country.

Now things seems not to be going well.Whistles are now blown everywhere and very close allies have been recently sacrificed to cover the dead.The fact is clear you cannot cover the dead with flesh hoping that you will prevent the dead to give a disturbing smell because that will be just a temporary measure,as flesh will soon decompose too and add to the smell.

With this nation in dilema,he the president is expected to take action.The people pretend to present themselves as if they know nothing with the involvement of the commander in-chief in dirty deals.They present faith in their face with dismay in their heart.They demand action from the presida on financial worms who stole funds from public coffers.

This is an extremely bitter pill for the bwagamoyo man to swallow let alone to chew.Recent statement by his left handman the PM wa kupinda can prove this.He said the culpits of BoT are untouchable.He simply said the truth.Because he know for sure that the government can do nothing.

Indeed they are untouchable because if you touch them whether it is RA or EL they will have no choice other than to spill the beans!.This certainly will be suicidal to the government.

With this fact now it is clear the King maker now has turned to be the Hangman's noose.No one will dare to put his neck there,I insist no one.

What does this imply?.Possibly you have your own answer but mine is that the fate of the country now lie in the hands of wananchi not the sirikali.
Think about it Mabibi na Mabwana
 
Mtu mzima,

Ina maana Mfalme anatembea kwenye joho jipya kumbe yupo uchi?
 
Mimi sioni mantiki yoyote kumzuia huyu Bwana kutoa maelezo yake mbele ya Bunge otherwise kama kuna jambo ambalo 6 na wenzake hawataki livuje nje ya CCM.

Kama Rostam atashindwa kutoa maelezo yake Bungeni suala bado ni rahisi; aende Maelezo na aweke wazi mambo yote kwa waandishi wa habari na ujumbe utafika.
 


Mkuu Nadhani kwenye Redhapo hukumaanisha hivyo nadhani ulitaka kuandika kuna.

Vinginevyo taarifa vinzuri assumption nyingi na uzuri ,umeshauri tushubiri tuone zipi kati ya hizo zita work.

Maelezo yako ambayo ni marefu umefanya vyema kuyaweka yote kwa kuwa yametoa mwanga ya jambo hilo amblo kwa kifupi ni mchezo mchafu tu.

Ni juu yetu to reverse haya .
 

Duh!
Surely but as 80% wananchi are just sitting down and complaining who's to decide the fate of this Peaceful Country Tanzania???
 
Nakumbuka kazi aliyoifanya RA wakati ule JK anaonesha nia ya kugombea urais, RA alikuwa akitoa mapesa mengi katika matawi ya chama na pale tabora aliwahi kutoa zaidi ya milioni 10 alitoa hizi kama mtu binafsi anayechangia chama. Sasa naelewa kwanini jamaa hawezi kuguswa japokuwa usanii wake unajulikana mpaka chumbani

MUGABE MALIZIA KAZI ULIYOTUMWA NA WANANCHI
 


sawa point zako ni nzuri, sasa ulikuwa na haja gani ya kuquote dude lote hili kama si kuleta uvivu na kutumia memori vby
 

Kuna rafiki yangu mmoja niliwahi kumwambia mara tu baada ya uteuzi wa mgombea wa ccm mwaka 2005 kuwa ataongoza miaka mitano tu na kuukabidhi uongozi kwenye upinzani ambao bado haujaundwa ila utakuwepo tukikaribia 2010.Tuombe uzima kuona hayo yatakapotokea kwani hakika yatatokea.lakini lazima watu wajitoe mhanga wanahitajika wazito kama kumi tu wataungwa mkono na uma wa watanzania waliochoka kudanganywa lakini hawana jinsi imebaki yao ni macho tu.
 
Sasa nimeanza kuelewa kwa nini Nyrere alikuwa anaweka watu kizuizini hata kama walikuwa marafiki. Ni mambo kama haya ya kujuana na kutishiana maisha, JK anatakiwa kuwasweka RA na EL nadani mara moja. Otherwise watamsumbua sana
 
Sasa nimeanza kuelewa kwa nini Nyrere alikuwa anaweka watu kizuizini hata kama walikuwa marafiki. Ni mambo kama haya ya kujuana na kutishiana maisha, JK anatakiwa kuwasweka RA na EL nadani mara moja. Otherwise watamsumbua sana

Hata mimi nimekuwa nafikiria hili karibuni. Option nyingine ni kuwaweka pale mnazi mmoja na kuwachapa risasi za miguuni toka kwa shap shutaz kama mia moja huku TV zote zikionesha live!

Na baada ya hapa inabidi Rostam awe deported kwenda kwao Iran maana imeanza kuthibitika kuwa uraia wake ni wa kufoji!
 
Duh!
Surely but as 80% wananchi are just sitting down and complaining who's to decide the fate of this Peaceful Country Tanzania???

You are absolutely right.This is our immediate challenge we are facing but we need solution and a way forward urgently.

IMPOSSIBLE CAN BE MADE POSSIBLE IF AND ONLY IF YOU HAVE THE WILL AND COURAGE,DESPAIR AND GIVING UP HAVE NO CHANCE IN THE WAR IF YOU ARE FOR THE VICTORY.
 
kale ka nzi ka kijijini kamepata fununu kuwa siri haiwezi kuwa ni siri ya watu wawili kamwe... hivyo nasikia mojawapo ya magazeti itafunua siri ya Rostam kesho.. Ningependa kukutajia gazeti gani..lakini it won't be fair to others... so come wednesday angaza angaza macho!!
 



Umh! afadhali tujue kitakachojiri maana nilidhani hii ishu ya RA ndio imeshazimika like a candle in the wind. Toa hata hint tu Mwana, ni gazeti linalopatikana mtandaoni?
 

Tunasuburi mkuu ingawa sina imani kama anaubavu wa kujifunua mwili mzima
 
Umh! afadhali tujue kitakachojiri maana nilidhani hii ishu ya RA ndio imeshazimika like a candle in the wind. Toa hata hint tu Mwana, ni gazeti linalopatikana mtandaoni?

Bora asitaje ka gazeti kenyewe maana RA anaweza kuka-Kabenea na TINDIKALI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…