Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Mh.Tukae mkao wa kula au kupigwa machanga ya macho. Make usishangae kusikia kuwa kutakuja big news lakini si chochote zaidi ya kumsafisha. Na tungoje tuone
 

Mwanzo mzuri na nina hakika kuwa hili suala la RA kubaniwa nafasi ya kutoa duku duku lake ndani ya Bunge litaweza kuibua siri nyingine ambazo hazikutegemewa.

Sisi yetu macho manake siasa yetu imefikia mahali patamu panapoweza kuboresha Demokrasia.

Cha muhimu iwepo fair Play, kutoana macho hakuna haja. Mtu akishindwa atoke akajipange upya kama EL anavyopanga mashambulizi yake kimya kimya. Tutegemee kushuhudia mengi mpaka ifikapo 2010 siri itakuwa hadharani kuhusu nani Adui na nani Rafiki wa kweli kwa Tanzania na Watanzania.
 
Sasa nimeanza kuelewa kwa nini Nyrere alikuwa anaweka watu kizuizini hata kama walikuwa marafiki. Ni mambo kama haya ya kujuana na kutishiana maisha, JK anatakiwa kuwasweka RA na EL nadani mara moja. Otherwise watamsumbua sana

Hahahaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!! JAMANI JAKAYA AFANYE NINI NDIO MUMUELEWE,NI SISI WA KUMLINDA NA MADHIRA,TUSISAHAU KUWA 2005 TULIFUNGA NA KUOMBA KWA AJILI YAKE,TUOMBE SASA ILI AREJEWE NA NGUVU ZILE KABALA YA KUINGIA IKULU,KUMLAUMU HAISADII ,TUTIMIZE WAJIBU WETU
 
Habari ndiyo hiyo,ila Mwanakijiji kwanini haukukaa kimya kwanza??au ulishazoea speculation??

Je Gazeti litatoka?

Mzee Ruhinda??kuna thread moja kuna nimeweka picha ta Ruhinda na Rostam..
 


hata akijipanga vipi hatumchagui sababu ni moja kubwa,Yeye si kwa ajili ya maslahi ya nchi yetu na zaidi ya yote tunamuomba ajibu swali la Marehemu Baba wa taifa,Utajiri wote alionao ameutoa wapi na aliupataje?
 
Amani haiji ila kwa ncha ya upanga, hili nimeliona pale kenya na kwingineko duniani, mfano mwingine ni pale Mkoani Mara wilayani Tarime,wote tunaufahamu mgodi wa North Mara, wale jamaa(wakulya)kila kukicha wanachukua kilichochao, na yoyote anayejipendekeza halali yao, sasa kama Viongozi wanataka tufike huko tutafika tuu,kisha tujiulize kuishi kwetu sisi kuna maana gani kama watoto wako na wajukuu wako watateseka huku watoto wa viongozi wakila neema? Iko siku itatimu na si Kitambo
 
kuna mtu alikuwa anauliza leo kufunuliwa kama anaumbuliwa au kuelezea alichokuwa anataka kusema? Kesho magazeti yanasubiriwa kwa hamu kama unayosema ni kweli au ni zile "stori" zako.

thanks, and I'm out.. time is up
 
Sitegemei hiyo issue kutoka , kwa sababu , alichosema Kijiji, kitasababisha hiyo story kuzuiwa kistaarabu kwa watu kupewa pesa yao , kwa usalama wa taifa, na kama ikitoka itakuwa imepunguzwa makali.
 
FUMBA MACHO ALAFU USOME


""""""""RAIA MWEMA""""""""""
 
kuna mtu alikuwa anauliza leo kufunuliwa kama anaumbuliwa au kuelezea alichokuwa anataka kusema? Kesho magazeti yanasubiriwa kwa hamu kama unayosema ni kweli au ni zile "stori" zako.

thanks, and I'm out.. time is up

Be senti 50,

Achaneni na huyu Rostam maana atawaharibia chama. The guy ni mchafu sana na hawezi kusafishika hata kwa damu ya kigagula toka Bagamoyo!

Ni ushauri tu .....
 
http://www.raiamwema.co.tz/08/04/09/mihangwa.php
 
Sasa mimi sioni habari nyingine na leo ni jumatano hapa Bongo. Mimi ndo nimeshafungua ka hardware kangu natafuta weee sioni.

Mwanakijiji ni PM basi mzee mwenzangu.
 
Habari iko katika Gazeti la Mwanahalisi ,litafute..Ni kuhusu Rostam kutishia kamati ya uongozi kwamba kama wasipomruhsuu atoe hoja yake Bungeni basi anajiuzuru Ubunge.

wakati Rostam akitoa maneno hayo Mhe. Spika alimwambia jiuzuru sasa hivi na Mhe. Pinda ambaye kwa sasa ndiye amri jeshi mkuu akamuunga mkono Mhe. Sitta.

Habari ndiyo hiyo.RA alitaka asafishwe na Mwenyeketi wa kamati ya kuchunguza mkataba wa RDC,Dr. MWakyembe na inasemekana kuna baadhi ya wabunge wa viti maalum CCM walikuwa wameongwa ili wakati RA anatoa Hoja yake wampigie makofi.

Now i understand why and why Jk left Chenge and he is still let RA do his own bussines,alishawapa meno spika na Pinda na nina uhakika yule mkaramba atawapeleka puata kwa sasa.

No more Ufisadi and pesa infront of PINDA na ndio maana laisema kama mtu akimuona au kuhusu kwamba yeye ni fisadi Mungu amchukue,alikuwa anaa maanisha

Mungu Mbariki Mizengo k. Pinda,Mungu ibariki Tanzania,Mungu Tuepeushe na Mafisadi wasio na huruma nasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…