Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanadandia magari sio manenoPoint kubwa sana Lusajo.
Wahariri wengi wako kwenye payroll ya mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata Rostam Azizi. Kinachofanyika hapa ni mazingaombwe until wakifanya kwa vitendo wanachokisema.
Watu wanadandia magari sio maneno
nnaamini raia mwema walipima upepo kabla ya kuamua, walishauriana na watu wa sheria na nnaamini walihadharishwa na hatari ilio mbele yao.
kwa hio waliamua kufata msemo wa kiswahili usemao "bora lawama kuliko fedheha"
Hivi wajibu wa Mbunge kwa kiapo chake unaweza kufunika makosa anayoyafanya? Ni kweli kwamba wabunge uongea ili kulipwa fadhira tofauti na kiapo (kama kupata uwaziri au kuchota pesa EPA)?Joseph Wambura Aprili 23 said:...Kilichonisikitisha zaidi, mwandishi wa makala hiyo naye ameangukia katika mkumbo. Anamwagia matope Rostam, bila kuchunguza na wala sijui kilichomtuma afanye hivyo.
- Mwaka 1994 ...
- Mwaka 1977 Rostam alikuwa...
- Mwaka 1999 Rostam huyu huyu...
- Mwaka huo huo, kwa ujasiri mkubwa, Rostam
- Rostam huyo huyo anayebezwa, mwaka 2001, ...
- mwaka 2004 Rostam alimbana vilivyo aliyekuwa Waziri wa Uchumi na ...
- Akataka uwepo udhibiti wa hali ya juu ili shilingi isiporomoke ...
- Sipendi kuendelea zaidi ya hapo. Natumaini mwenye macho haambiwi tazama.
Katika hili, huyu Bw. Wambura ndio hakumtendea haki RA kwa kumuweka katika kundi la wabunge ambao hutekeleza wajibu wao Bungeni ili fadhira ziwarudie!Kwa vyovyote iwavyo, Mwananzela hakumtendea haki Rostam.
Hapa nashindwa kuelewa nani analipotosha Taifa, Wambura anayeshawishi uozo wa RA ufunikwe (na wajibu aliofanya Bungeni), au Mwananzela aliyehoji RA kutopewa nafasi ya kufichua mengi zaidi?Uandishi wa aina hii ni hatari kwa ustawi wa Taifa. Ninashauri bora kutoandika pale tusipokuwa na taarifa sahihi, vinginevyo tunaishia kujiumbua na kulipotosha Taifa.
Nimjuavyo Rostam Aziz, kwa ujasiri aliouonyesha ni kweli angetikisa nchi.
http://raiamwema.co.tz/08/04/23/23.php
Ngurumo Ni Fimbo Ya Mbali Anapiga Kelele Weee Halafu Mwaka 2010 Atakuja Hapa Kuomba Uanachamahalafu Mwaka 2011 Tutampa Ukuu Wa Wilaya Au Aendeshe Kipindi Fulani Katika Tbc