Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Kwa mujibu wa ripoti ya benki ya dunia ya mwaka 2004...Gavana wa benki yetu alikuwa Abdala kigoda na alternate alikuwa Grey Mgonja...Sasa hapo vipi mbona mnatuchanganya?
Ama ndio dili lenyewe hilo kuwa Ballali alikuwa gavana famba na maamuzi yalifanywa na kigoda na Mgonja?
 
mada imepoteza muelekeo? au kwa makusudi inapotezwa? naona toka post yangu hapo juu kama imeanza kupoteza muelekeo. Au nimekosea wandugu?
 
mada imepoteza muelekeo? au kwa makusudi inapotezwa? naona toka post yangu hapo juu kama imeanza kupoteza muelekeo. Au nimekosea wandugu?

Mada hapa ni Rostam Aziz..Tunaomba pia tuwekewe Aliases zake..Maana lazima ana majina mengine kama sikosei.

Mada haijatoka nje kabisa kwasababu huyo jamaa ana nguvu kuliko Rais mwenyewe na kwahiyo tukianza kumzungumzia ni lazima tu refresh memories...Na kwa kuanzia tunaangalia na timu yao ya wana mtandao ili kuweza kujuwa wana agenda gani.

Mara nyingi kamati ya uchaguzi ina reflect agenda za mgombeaji..Sasa wasome hao watu na ujiulize toka hiyo kamati ya uchaguzi ya kampeni ya JK iteuliwe hadi sasa ni mangapi yametokea na wajumbe wake akiwemo RA...wana husika vipi kwa mambo yote yaliyoigubika serikali ya JK na kwa jinsi mtu huyu alivyo na nguvu za kupindukia kwenye Taifa letu.

Kwanza bado tumeanzia juu juu tu.

Rostam ni eneo la huko Iran...Lina maana yake na ni la kihistoria...Hivyo huwezi kutenganisha Rostam na PRIDE YA MUIRAN...Huyo ni MUIRANI NA INTEREST ZAKE NI ZA IRAN NA SI TANZANIA.

Hilo liko wazi na HAKUNA KUMTETEA HAPA BILA YA KULETA MAELEZO YA KUTOSHA KUWA HUYU MTU NI NANI!

Huyu mtu aliyekuwa na biashara kwenye Taifa letu wakati babu yangu akimpiga mwarabu.

Tena labda alikuwa ni babu yake...Historia iwekwe wazi hapa...Na kama anataka kutawala Tanzania kwa misingi ya chuki za kidini na kikabila..Basi ajihadhari sana...Na nilishamwambia aachane na siasa.
 


WeWE na hao mafisadi wenzako mnaoiba halafu mnajifanya kusema mwenye ushahidi aupeleke mahakamani kuna siku isiyo jina inakuja... chunga sana!!!!
 
Nakuonea huruma sana. Labda hujui historia. Infact hata mimi nilikuwa natafakari sana kuhusu biashara ya mwaka 1852 uhalali wake. Sote tunajua Tabora ndo ilikuwa njia kuu ya Biashara ya watumwa. Kwa vile sina uwezo lakini Huyu RA hastaili kuendelea kuishi TZ. Ndugu yangu unahitaji ukombozi na unahitaji uende shule iujue historia ya nchi yako mkuu!
 

I like this! Umeenda shule na unaijua historia. Unajua kuanalyse! Cheers!
 

Sidhani kama kuandika nakala kunahitaji kwenda kwenye hivyo vyuo unavyosema! wala makosa hayatokani na ulisoma au hukusoma, makosa ni kutokujua ndio maana unaweza ukasoma na bado usijue!

Kuwa yuko upande gani nakushauri soma nakala zake zote zilizopita ndio ufikie conclusion yako kuwa anaandika kuwapendeza wakubwa wake!! ukiona asilimia 90 ni kama usemavyo jua kuwa uko sahihi.

Si kila kitu kinachoandikwa sasa kinaifaa jamii ya sasa mengine ni kwa vizazi 100 vijavyo hata kama sasa hujaelewa.Kwa hiyo ukiona haina maana ujiuliza wewe ndio umeachwa au padri kaachwa.Any way ulianza vizuri ila umekosea kumaliza na conclusio ambayo inatia kichefuchefu,Nakala ya ya nani utaikubali basi? ya anayeandikia hewani?? maana zote hutoka gazetini at? yenye wamiliki tofauti.

Kwa kiasi kikubwa sijakubaliana na Padri kwa yeye kugeneralise mambo, lakini ana haki ya kuspeculate.Tatizo lake ni sawa na waandishi wengi huandika habari za RA bila vithibitisho, hatuna watu wa kaundika habari za kichunguzi.Pengine wangeenda huko tabora wangekutana na mengi kuliko haya.
 
I like this! Umeenda shule na unaijua historia. Unajua kuanalyse! Cheers!
Originally Posted by jmushi1
Mada hapa ni Rostam Aziz..Tunaomba pia tuwekewe Aliases zake..Maana lazima ana majina mengine kama sikosei.

Mada haijatoka nje kabisa kwasababu huyo jamaa ana nguvu kuliko Rais mwenyewe na kwahiyo tukianza kumzungumzia ni lazima tu refresh memories...Na kwa kuanzia tunaangalia na timu yao ya wana mtandao ili kuweza kujuwa wana agenda gani.

Mara nyingi kamati ya uchaguzi ina reflect agenda za mgombeaji..Sasa wasome hao watu na ujiulize toka hiyo kamati ya uchaguzi ya kampeni ya JK iteuliwe hadi sasa ni mangapi yametokea na wajumbe wake akiwemo RA...wana husika vipi kwa mambo yote yaliyoigubika serikali ya JK na kwa jinsi mtu huyu alivyo na nguvu za kupindukia kwenye Taifa letu.

Kwanza bado tumeanzia juu juu tu.

Rostam ni eneo la huko Iran...Lina maana yake na ni la kihistoria...Hivyo huwezi kutenganisha Rostam na PRIDE YA MUIRAN...Huyo ni MUIRANI NA INTEREST ZAKE NI ZA IRAN NA SI TANZANIA.

Hilo liko wazi na HAKUNA KUMTETEA HAPA BILA YA KULETA MAELEZO YA KUTOSHA KUWA HUYU MTU NI NANI!

Huyu mtu aliyekuwa na biashara kwenye Taifa letu wakati babu yangu akimpiga mwarabu.

Tena labda alikuwa ni babu yake...Historia iwekwe wazi hapa...Na kama anataka kutawala Tanzania kwa misingi ya chuki za kidini na kikabila..Basi ajihadhari sana...Na nilishamwambia aachane na siasa)
Nani asiyemjua RA?Padre anamjua RA lakini hakuna kitu anaweza fanya.Wengi wanamjua RA lakini vivyo hivyo hawawezi fanya kitu.RA anatujua sisi vizuri and he knows how to handle us.It the old game and it will be played now and then....
 
Jmushi nimestushwa sana na report ya world bank/2004 kuwa Governer wa bank kuu alikuwa "Abdalah Omar Kigoda",

nimeisoma tena kwa makini angalia page 34 kuna haka kajisenti "IDA secondary Education Development Sector - $250m" jamani hizi shule situmechngishwa hela na kandoro kwa nguvu, sasa hii pesa yote iko wapi? halafu tizama maturity date ni 2044! yallah!

Swali hawa jamaa nani aliwatuma wakakope hizi pesa? hivi kweli hatukuwa na njia mbadala ya kupata? Bunge liliridhia huu mkopo au ndio mikataba ambayo ni siri!
 
ROSTAM AZIZ NI NANI?
Hoja hii kwa Watanzania makini ni nzito sana na mwandishi aliyejiuliza swali hili amezama kwenye mada kwa umakini mkubwa. Nataka tu kumsaidia kusema kuwa kwa sisi tunaomjua Rostam Aziz kwa karibu sana, usitake kujua kwa vipi, huyu bwana ni mtoto mdogo sana lakini fedha aliyoitwaa kwetu sisi wajinga imemlewesha na anatuona wote wapumbavu, watumwa ambao babu yake alikuwa akiwanunua na kuwauza huko Tabora kama alivyokiri mwenyewe.
Mimi nimeishi Mkoa wa Tabora kwa miaka mingi kidogo. Baba yake Rostam tulimjua kwa jina la Aziz Mchele, jina hilo la pili linatokana na kazi aliyokuwa anafanya baba yake. Alikuwa mchuuzi wa mchele, anasomba kwa gari yake kutoka Shinyanga kuja Dodoma hadi Dar es Salaam. Hakuwa tajiri, maana tajiri hakeshi usiku kucha akihangaika na malori akichuuza mchele.
Yeye mwenyewe Rostam na kaka zake alikuwa mchuuzi wa ngozi. Maisha magumu kwelikweli alikuwa nayo. Neema ameipata kipindi cha Mwinyi na Mkapa kwa kufunguliwa milango ya Hazina ya Taifa, kama ilivyofanyika kwa Manji.
Baba yake na mama yake Rostam Aziz wako nchini Iran. Ni raia wa huko. Ndugu zake karibu wote wako Iran, vilevile. Huyu ndo kada wa kuaminika wa CCM! Lazaros
 
Nimepitia sana makala hii yenye mabishano mengi na vikorombwezo visivyoisha kuhusu Rostam Aziz, nakubali kuna wanaompata huyu Shetani na wenye hasira sana juu yake. Mimi nauliza tu swali moja na la msingi;

Je kupiga kwenu kelele kunamtisha Rostam? Kama kelele zenu hazimtishi basi fanyeni ambalo litamfanya aone Tanzania ni chungu maani hii yote inamfanya azidi kuona Tanzania ni tamu, mwenyewe anasema ukila wanapiga kelele tuuu... baadaye shwari...! tena ukiwapa kofia na vitenge ndio basi tena.
 
Fairplayer,

1852 kulikuwa na biashara mbili hapo maeneo ya Igunga ya sasa nayo ni Watumwa na Pembe za ndovu. Kama wasemavyo wenzetu, si vizuri kupenda kurusha mawe kama unaishi kwenye nyumba ya vioo.

Adili
 
Kwa jeuri yake huyu fisadi, eti the "King Maker",nimejaribu kupata jibu fupi na kurahisisha, nimeishia hapo:
Rostam = Kikwete
 
Rostam hana ukingmaker wala nini ! zaidi ya ufisadi hana haliwezalo ndo maana hata press release aloitoa kempinsky aliandikiwa na lowassa. Upeo wake mdogo and most of the times he lacks original ideas ni mtu wa kukopakopa mawazo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…