Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
Hakuna abwabwajae ila wewe, hakuna ateteae ufisadi hata kidogo, bali kwenye ukweli ni ukweli tu. JK anafanya kazi zake vyema kabisa na zinaonekana mpaka IMF na kwa Bush na mafisadi wanashughulikiwa kisheria na si kwa kukurupuka na waambie wakae mkao wa kula JK anakuja systematically. JK unanikuna mpaka ndani ya loho.
Wakati viongozi wengi duniani wanakwepa hata kuhusisha majina yao na kichaka na IMF wewe ndio unayaleta hapa! naona inabidi mafisadi watafute mtetezi mwingine mwenye kisomo kidogo!