Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

NIMEKUTANA NA BWANA MTIKILA JIONI HII PALE HAIDERLY PLAZA KATIKA MGAHAWA WA KAHAWA KUONGEA NAE MACHACHE KUHUSU KAULI ZAKE HIZI KWA HAKIKA ANAONEKANA ANATUMIWA NA BAADHI YA WATU KUZUSHA MAMBO

NI VIZURI BWANA MTIKILA ATOE UDHIBITISHO WA HIVYO VYETI VYA URAIA WA ROSTAM AU AINA NYINGINE YOYOTE YA UDHIBITISHO KWAMBA KWELI YEYE SIO RAIA

WATANZANIA TUMECHOKA NA KAULI TATA AMBAZO HAZINA UKWELI NA ZINAZOKUJA WAKATI WATU WAKO BUSY KUJIPANGA NA MAMBO MENGINE TUNATAKA WANASIASA AMBAO NI WAZALENDO NA WASEMA UKWELI .

MTIKILA TUNAOMBA UTULETEE UDHIBITISHO WA KARATASI ZA URAIA WA ROSTAM AZIZ NAAMINI UTAKUWA NAZO AU UNAJUA ZILIPO

Mtikila akifanya kazi ya kuthibitisha uraia wa mtu na wizara ya mambo ya ndani au ya usalama wa raia au hao usalama wa taifa kazi yao itakuwa nini?

Uraia wa Rostam una utata mkubwa na ni mpira uko kwa Rostam kuprove uraia wake kabla hajafunguliwa mashitaka ya kufoji na kufilisi nchi kwa ulaghai!
 
Shy,

Swali rahisi tu kwako,

je unajua kwa hakika Rostam Azizi alizaliwa wapi hapo Tanzania?
Unaweza kutaja jina la hospitali au kwa kungwi ambako Rostam Azizi alizaliwa? Je unaweza kwa hakika kutaja tarehe yake ya kuzaliwa?

Haya ni maswali muhimu sana na hayana ubaguzi hata kidogo. Hili ni swali ambalo mtu yeyote anaweza kuulizwa hapo Tanzania anytime

SWALI LAKO NI RAHISI SANA INATEGEMEA ALIZALIWA WAPI NA WAKATI GANI WAKATI HUO KULIKUWA NA NINI KUNA WENGINE WALIZALIWA VIJIJINI SANA WAZAZI WAO HAWAKUWA WANAJUA HILI WALA LILE KUHUSU KUSAJILI WATOTO WAO KAMA WEWE ULIVYOSAJILIWA WAKATI UNAZALIWA NA SIO KILA RAIA WA TANZANIA ANA VYETI NA UDHIBITISHO HUO WENGI WAO HIVI VITU WANAFORGE .

LAKINI KWA HUYU TUNAWEZA KUFUATILIA MASUALA YAKE MENGINE KUHUSU ELIMU YAKE NA WAKATI GANI HASWA AMEHAMIA TANZANIA NDIO TUJUE SASA KAMA KWELI MASWALI YAKO YANAWEZA KUJIBIKA NA HAPO MPAKA TUDHIBITISHE KWAMBA YEYE NI WAKUJA

SASA HATUJADHIBITISHA KAMA YEYE WA KUJA KWAHIYO MENGINE HATUWEZI KUJADILI AU KUENDELEZA MJADALA

MIMI MWENYEWE BABA YANGU HATA VYETI VYA KUZALIWA NA NI MPIGANAJI AMEPIGANA VITA YA KAGERA NA VITA NYINGI ZA KUKOMBOA BAADHI YA MAENEO YA AFRIKA LAKINI VYETI HANA NA ALIENDA JESHINI WAKATI HUO ANAZALIWA VIJIJINI HAKUKUWA NA HUDUMA HIZO NDIO MAANA ILISHINDIKANA

SO AS ROSTAM MANAKE NAONA UMRI WAO UNALINGANA TU KIDOGO
 
Mtikila akifanya kazi ya kuthibitisha uraia wa mtu na wizara ya mambo ya ndani au ya usalama wa raia au hao usalama wa taifa kazi yao itakuwa nini?

Uraia wa Rostam una utata mkubwa na ni mpira uko kwa Rostam kuprove uraia wake kabla hajafunguliwa mashitaka ya kufoji na kufilisi nchi kwa ulaghai!

MWAFRIKA WA KIKE USIWE UNAONGEA VITU AMBAVYO HUNA UHAKIKA NAVYO UNAVYOSEMA AMEFILISI NCHI KWA ULAGHAI SEMA NI ULAGHAI GANI NA SEMA KWA MAPANA , ROSTAM ANA KAMPUNI INAITWA CASPIAN MOJA YA TENDA ZAKE KUBWA NI KUJENGA MTAMBO WA UMEME UBUNGO INA MAANA ULE MTAMBO NI ULAGHAI KWA MFANO ? KWANINI ALIPEWA TENDA ILE BILA KUDHIBITISHWA INA MAANA WALIOMPA TENDA ILE NI MBUMBUMBU HAWAKUFANYA UCHUNGUZI WOWOTE ? -- TAFADHALI USILETE VIHOJA INGA UNA UHURU WA KUONGEA CHOCHOTE

UNAPOSEMA URAIA WA MTU UNA UTATA UNAMKOSEA MTU HUYO HESHIMA NA KUMDHALILISHA MBELE YA JAMII KWA NAFASI ALIYONAYO WATU WALIMPA DHAMANA ILE SIAMINI KAMA WALIKUWA WAMEKOSEA WALIFANYA UCHUNGUZI KABLA YA HATUA HIYO KUFIKIWA .

SASA MWAFRIKA WA KIKE -- HATUPENDI KUJADILI MADA AMBAZO ZINAANZISHWA KWA MAKUSUDI MKAWAPE BABA ZENU WAKAPATE VYA KUJADILI WAKIWA KATIKA VIKAO VYA NDANI

NAAMINI CCM NI CHAMA MAKINI NA KIMEKUWA MAKINI WAKATI WOTE WA MAISHA YAKE NA SIAMINI KAMA CCM KWA UMAKINI HUO KINAWEZA KUTEUWA WATU WENYE URAIA WA UTATA

AHSANTE
 
nina hofu kwamba atasema alisikia toka kwa mtu fulani !Na hapo ndipo cred. yake itakapokuwa kwenye free fall. lakini hili suala la kusema kila mtu achunguzwe asilia yake, nadhani raia kamili "tutabaki" wachache !

KADA MTIKILA SIO MCHUNGUZI NA SIO MDADISI NAAMINI KABLA YA MWAKA HUU KUISHA MTASIKIA JAMBO KUHUSU MTIKILA NILIVYOONANA NAE AKAWA ANANICHEKEA AS IF NAENDA KUMTONGOZA
 
KADA MTIKILA SIO MCHUNGUZI NA SIO MDADISI NAAMINI KABLA YA MWAKA HUU KUISHA MTASIKIA JAMBO KUHUSU MTIKILA NILIVYOONANA NAE AKAWA ANANICHEKEA AS IF NAENDA KUMTONGOZA

Uwiii... we shy maneno gani hayo kwa Mchungaji "... KUMTONGOZA" nani? mtikila? shit, damn to hell.
 
Ndio Tunataka Watu Walio Serious Watu Ambao Wanaposema Jambo Wawe Tayari Kulitetea Na Kutoa Ufafanuzi Wake
 
SWALI LAKO NI RAHISI SANA INATEGEMEA ALIZALIWA WAPI NA WAKATI GANI WAKATI HUO KULIKUWA NA NINI KUNA WENGINE WALIZALIWA VIJIJINI SANA WAZAZI WAO HAWAKUWA WANAJUA HILI WALA LILE KUHUSU KUSAJILI WATOTO WAO KAMA WEWE ULIVYOSAJILIWA WAKATI UNAZALIWA NA SIO KILA RAIA WA TANZANIA ANA VYETI NA UDHIBITISHO HUO WENGI WAO HIVI VITU WANAFORGE .

LAKINI KWA HUYU TUNAWEZA KUFUATILIA MASUALA YAKE MENGINE KUHUSU ELIMU YAKE NA WAKATI GANI HASWA AMEHAMIA TANZANIA NDIO TUJUE SASA KAMA KWELI MASWALI YAKO YANAWEZA KUJIBIKA NA HAPO MPAKA TUDHIBITISHE KWAMBA YEYE NI WAKUJA

SASA HATUJADHIBITISHA KAMA YEYE WA KUJA KWAHIYO MENGINE HATUWEZI KUJADILI AU KUENDELEZA MJADALA

MIMI MWENYEWE BABA YANGU HATA VYETI VYA KUZALIWA NA NI MPIGANAJI AMEPIGANA VITA YA KAGERA NA VITA NYINGI ZA KUKOMBOA BAADHI YA MAENEO YA AFRIKA LAKINI VYETI HANA NA ALIENDA JESHINI WAKATI HUO ANAZALIWA VIJIJINI HAKUKUWA NA HUDUMA HIZO NDIO MAANA ILISHINDIKANA

SO AS ROSTAM MANAKE NAONA UMRI WAO UNALINGANA TU KIDOGO

Hii sio case hapa maana Rostam anadai kuwa ana passport ya Tanzania. Swali je alipataje passport kama hana kumbukumbu ya alikozaliwa?
 
MWAFRIKA WA KIKE USIWE UNAONGEA VITU AMBAVYO HUNA UHAKIKA NAVYO UNAVYOSEMA AMEFILISI NCHI KWA ULAGHAI SEMA NI ULAGHAI GANI NA SEMA KWA MAPANA , ROSTAM ANA KAMPUNI INAITWA CASPIAN MOJA YA TENDA ZAKE KUBWA NI KUJENGA MTAMBO WA UMEME UBUNGO INA MAANA ULE MTAMBO NI ULAGHAI KWA MFANO ? KWANINI ALIPEWA TENDA ILE BILA KUDHIBITISHWA INA MAANA WALIOMPA TENDA ILE NI MBUMBUMBU HAWAKUFANYA UCHUNGUZI WOWOTE ? -- TAFADHALI USILETE VIHOJA INGA UNA UHURU WA KUONGEA CHOCHOTE

UNAPOSEMA URAIA WA MTU UNA UTATA UNAMKOSEA MTU HUYO HESHIMA NA KUMDHALILISHA MBELE YA JAMII KWA NAFASI ALIYONAYO WATU WALIMPA DHAMANA ILE SIAMINI KAMA WALIKUWA WAMEKOSEA WALIFANYA UCHUNGUZI KABLA YA HATUA HIYO KUFIKIWA .

SASA MWAFRIKA WA KIKE -- HATUPENDI KUJADILI MADA AMBAZO ZINAANZISHWA KWA MAKUSUDI MKAWAPE BABA ZENU WAKAPATE VYA KUJADILI WAKIWA KATIKA VIKAO VYA NDANI

NAAMINI CCM NI CHAMA MAKINI NA KIMEKUWA MAKINI WAKATI WOTE WA MAISHA YAKE NA SIAMINI KAMA CCM KWA UMAKINI HUO KINAWEZA KUTEUWA WATU WENYE URAIA WA UTATA

AHSANTE

Hawa watu unaowaita makini ndio wametuletea Buzwagi, IPTL, Kiwira, wameiba BoT, wamesababisha kupanda kwa bei ya umeme na sementi, wanaacha watoto wakisomea kwenye mavumbi, wameshindwa kuunganisha Kigoma na sehemu zingine za Tanzania!

Umakini wao upo wapi?

Hili swala la Rostam Azizi na uraia wake wa utata inabidi lishughulikiwe haraka sana na wizara ya mambo ya ndani, usalama wa taifa, na ikiwezekana jeshi la ulinzi wa Tanzania.

Wezi na watu hatari kama Rostam Azizi wanatishia usalama wa Tanzania na ni lazima wadhibitiwe haraka sana iwezekanavyo!
 
Sasa Unavyosema Hivyo Wewe Kama Nani ?

Kama Raia Kamili Wa Tanzania Mzalendo ? Naamini Ungekuwa Mzalendo Na Una Uhakika Wa Uraia Wako Hata Wewe Usidhihata Dhubutu Kuficha Jina Lako Na Kuleta Vitu Vya Uwongo Ambavyo Havina Ushahidi Wowote

Naomba Kumaliza Hapa Kwa Leo

Naheshimu Maoni Na Mawazo Yako Lakini Kama Mawazo Hayo Huna Udhibitisho Nayo Kwa Kawaida Nitakopy Na Kuweka Katika Archieve Kwa Sababu Huwezi Kufanyia Kazi Kitu Ambacho Hakina Ushahidi Hata Chembe

Sasa Na Wewe Tuambie Kuhusu Uraia Wako
 
Sasa Unavyosema Hivyo Wewe Kama Nani ?

Kama Raia Kamili Wa Tanzania Mzalendo ? Naamini Ungekuwa Mzalendo Na Una Uhakika Wa Uraia Wako Hata Wewe Usidhihata Dhubutu Kuficha Jina Lako Na Kuleta Vitu Vya Uwongo Ambavyo Havina Ushahidi Wowote

Naomba Kumaliza Hapa Kwa Leo

Moto umekuwakia unaanza kukimbia.... hii kazi mwachie Rostam na mawakili wake pale kesi yake itakapofikishwa mahakamani. Huyu bwana anaombwa tu kuprove uraia wake maana kuna maswali mengi sana yanahitaji kujibiwa namna alivyopata passport ya Tanzania

Naheshimu Maoni Na Mawazo Yako Lakini Kama Mawazo Hayo Huna Udhibitisho Nayo Kwa Kawaida Nitakopy Na Kuweka Katika Archieve Kwa Sababu Huwezi Kufanyia Kazi Kitu Ambacho Hakina Ushahidi Hata Chembe

Sasa Na Wewe Tuambie Kuhusu Uraia Wako

Unahitaji kujua uraia na jina langu ili ukaniseme kwa polisi kama ulivyofanya kwa wale watoto Mike na mwenzake? ulipata nini kwa kushirikiana na polisi kuwashika wana JF kwa masaa yote bila kosa lolote?

Wewe Shy kwanza unazidi kuchafua hili baraza, watu kama wewe masnitch inabidi mufunguliwe gereza maalumu. Tena ukome kabisa kunifuatilia na bado nakusubiria uende mahakani kama ulivyotishia kufanya....

Kesi yako inabidi iwe sambamba na kesi ya Rostam ya kufoji uraia wa Tanzania!
 
Hii sio case hapa maana Rostam anadai kuwa ana passport ya Tanzania. Swali je alipataje passport kama hana kumbukumbu ya alikozaliwa?

Ina maana passport yake haina aliko zaliwa hata kama hana uhakiki. Mimi nafikiri imeandikwa either tabora au dar es salaam. Vinginevyo hasingiweza kupewa bila passport kukamilika.
 
Sasa Unavyosema Hivyo Wewe Kama Nani ?

Kama Raia Kamili Wa Tanzania Mzalendo ? Naamini Ungekuwa Mzalendo Na Una Uhakika Wa Uraia Wako Hata Wewe Usidhihata Dhubutu Kuficha Jina Lako Na Kuleta Vitu Vya Uwongo Ambavyo Havina Ushahidi Wowote

Naomba Kumaliza Hapa Kwa Leo

Naheshimu Maoni Na Mawazo Yako Lakini Kama Mawazo Hayo Huna Udhibitisho Nayo Kwa Kawaida Nitakopy Na Kuweka Katika Archieve Kwa Sababu Huwezi Kufanyia Kazi Kitu Ambacho Hakina Ushahidi Hata Chembe

Sasa Na Wewe Tuambie Kuhusu Uraia Wako

Mkuu Shy

Habari Mkuu kumbe tanzania tuna kazi maana kumaliza MAFISADI tunahitaji magreda/Matrekta na siyo kawaida.

Baada ya wimbi la UFISADI kuingia tumeona mengi ikiwa na analysity wa Internet kugeukia upande wao.

Je ni kweli mkuu kuwa nawe huko kundini?
 
Ina maana passport yake haina aliko zaliwa hata kama hana uhakiki. Mimi nafikiri imeandikwa either tabora au dar es salaam. Vinginevyo hasingiweza kupewa bila passport kukamilika.

Hiyo passport yenyewe kaipata kwa mbinde... kuna report za kijasusi zinasema kuwa akienda nje anapitia nairobi na kutoka nairobi anatumia passport nyingine (ya nchi nyingine).


Hii case ya Rostam Azizi ni kubwa na inabidi serikali ichukue hatua haraka sana ili kuclear mambo hapa!
 
Hiyo passport yenyewe kaipata kwa mbinde... kuna report za kijasusi zinasema kuwa akienda nje anapitia nairobi na kutoka nairobi anatumia passport nyingine (ya nchi nyingine).


Hii case ya Rostam Azizi ni kubwa na inabidi serikali ichukue hatua haraka sana ili kuclear mambo hapa!

Huyo ndiye Swahiba wa Kikwete au ni mwingine? kama mambo ndo hayo ina maana rafiki yake hana taarifa au ndo kuingiliwa kwenyewe.
 
Ibambasi hili ni swali gumu sana!

Kampeni ya kuchafua watu iliongozwa na Membe na Lowasa, kisha Rostam akatumia vyombo vyake vya habari - magazeti ya Mtanzania, Rai na mengineyo kuwachafua wana ccm kuanzia Malecela, Sumaye na kikubwa zaidi kumchafua Dr Salim ambaye alionekana kuwa ni tishio kwenye uteuzi wa Kikwete!

The guy amevuruga watu wengi sana kisiasa ndani na nje ya ccm. Huu mchezo ameucheza sana na kisha kutumia nafasi yake ccm kuiba mabilioni ya pesa za watanzania (kumbuka Kagoda imeachwa kabisa na Kikwete).

Leo anaanza kulia baada ya kuona kuwa JF haongwi mtu na kuna watu kwenye magazeti kama Thisday wamekataa kabisa kununuliwa na pesa zake za wizi.

Rostam Azizi tulia tuli kabisa.... kesi yako ya wizi ikiisha jua kuwa tunapanga kuchunguza uraia wako... maana report zote zaonesha jamaa hakuzaliwa Tanzania na alipata uraia kwa udanganyifu. Hata ukijaribu kufoji hapa jua tu siku yoyote Pal wako Kikwete akitoka madarakani mimi nitakuandamana hadi nikuone ukiwa Keko kwa wizi na kujipatia uraia wa Tanzania kwa udanganyifu!
MAMA unatumia vibaya uhuru wa kuandika,wakati wa uchaguzi RA hakuwa mmiliki wa magazeti ya Rai wala mtanzania bali alikuwa ni Jenerali Ulimwengu ambae ni rafiki wa karibu wa Salim.acha kuongea husiyoyajua.
 
Nafikiri tuachane na Rostamu Aziz alishachafuka.Kwa nini kila jambo ni yeye? Wanaaomutetea mwaka huu mtatajirika maana hawezi kutakata. Nafikiri anahitaji atulie tu dunia itaanza kumuhukumu muda ukifika.
 
Haya Kumekucha, ufisadi wa Rostam Aziz wazidi kufichuliwa. Jisomee mwenyewe habari hii kutoka gazeti la uchunguzi la mwanahalisi.


MBUNGE wa Igunga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rostam Aziz, ni miongoni mwa wafanyabiashara kadhaa wanaotajwa kufilisi Mfuko wa Chakula (FACF) baada ya kuchotewa na serikali zaidi ya Sh. 200 bilioni.

Taarifa za ukakika zilizothibitishwa na Serikali, zinasema Rostam alichotewa mabilioni hayo ya shilingi kupitia kampuni yake ya African Trade Development.

Mfuko huo unaoendeshwa kwa pamoja kati ya Serikali ya Tanzania na Japan.

MwanaHALISI imeelezwa kwamba Rostam, pamoja na wafanyabiashara wenzake kadhaa wameshindwa kurejesha fedha hizo kama walivyotakiwa na serikali.

Kampuni ya Rostam ilichotewa zaidi ya Sh. 2.012 bilioni Novemba 1999, lakini hadi mwishoni mwa mwaka jana, fedha hizo hazikufanya kazi iliyokusudiwa.

Aliyekuwa Waziri wa Kilimo na Chakula katika serikali ya rais mstaafu Benjamin Mkapa, Charles Keenja, ameithibitishia gazeti hili kutolewa fedha hizo.

Alisema, “ni kweli wapo wafanyabiashara ambao walipewa fedha kutoka katika mifuko hiyo. Na hadi naondoka ofisini (mwaka 2005), nyingi ya fedha hizo zilikuwa hazirudishwa.”

Hata hivyo, Keenja aliongeza kwamba “fedha za Mfuko wa Chakula huwa hazikopeshwi, bali mhitaji hutakiwa aandae mradi wa maendeleo wenye manufaa kwa jamii. Akishindwa kuendesha mradi, anatakiwa kurudisha fedha mara moja.”

Mbali na Rostam, wakurugenzi wengine wa African Trade Development, ni Gulam A. Chakaar na Bahram A. Chakaar.

Makampuni mengine yaliyochotewa fedha, ni Tanganyika Farmers Association Limited (TFA) ambayo wakurugenzi wake ni Ndesario K. Shangali, Elia R.K. Mshiu, C.J Bannister, Elisamia I. Swai, Eric Jorgensen na Charles D.J. Mungai.

Mengine ni Ramwigema General Suppl ambayo inamilikiwa na G. Mwinuka na wenzake na Sales Point Company Limited, inayomilikiwa na Matunda Abdulrahman na Abdallah S. Hassan.

Makampuni mengine yaliyochotewa fedha ni VIP Engineering inayomilikiwa na James B. Rugemalira, Mathias Mutabirwa, Suleiman A. Abubakar, Gwalugano Mwamukonda na Mohamed B. Somji.

Mengine ni TANTI Co. Ltd., inayomilikiwa na Nuru A. Kihiyo na Twaha Y. Kaujanja; BCS Limited ikimilikiwa na Jackson V. Kaale, Kandaga J. Muhangwa, Edmund Mkwawa, Flavian I. Gowele, Judith M. Juma, Abdul Nuru Suleiman, Fatuma B. Mikidadi na Salome J. Mbatia.

Ipo pia Agro – Impex inayomilikiwa na Parvez Vira na Azmina Vira.

Wakurugenzi wengine ni makampuni yao kwenye mabano, ni Juma Ngalema na wenzake (Kiswele Salt Works Ltd); Bupen S. Tank na wenzake (Shivlal Tank & Co) na W.C. Marwa na wenzake (Tanzania Fertilizer Company).

Mbali na Mfuko wa Chakula, pia fedha hizo zilitolewa katika Mfuko wa Pembejeo.

Mifuko hiyo ilianzishwa kwa lengo la kuiwezesha Serikali kupata uhakika wa chakula kwa wananchi wake pamoja na kusukuma mbele miradi ya maendeleo katika sekta ya afya, elimu na maji.

Mfuko wa Chakula ulikuwa ukitoa ruzuku kwa wafanyabiashara wakati Mfuko wa Pembejeo ulitoa mikopo ya pembejeo za kilimo ambayo ililazimu mkopaji kurejesha.

Taarifa kutoka Ubalozi wa Japan nchini, zimesema kwamba hatua ya serikali kutoa fedha hizo bila ya kufanyiwa kazi iliyokusudiwa, imechangia kuzorotesha madhumuni ya mifuko hiyo.

MwanaHALISI lilipowasiliana na Afisa Mtendaji Mkuu wa mifuko hiyo, Dk. Lorri Willibald, alithibitisha kuwapo kwa wafanyabiashara waliochotewa fedha hizo lakini wakashindwa kuzitumia kama ilivyotarajiwa.

Hata hivyo, Dk. Lorri alisema kwa sasa hayuko katika nafasi nzuri ya kuzungumzia suala hilo kwa vile yuko nje ya ofisi.

Juhudi za kumpata Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Profesa Peter Msolla, hazikuzaa matunda kwani simu yake haikupatikana kwa muda mrefu.

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Kilimo na Chakula ambaye sasa ni Naibu wa Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Christopher Chiza, alisema ingawa walifanya jitihada kubwa kuhakikisha fedha hizo zinarudishwa, hadi anaondoka, kiasi kikubwa kilikuwa bado hakijapatikana.

Tukio hilo linaendelea kuthibitisha namna fedha za umma, zikiwemo zile zinazotolewa na washirika wa maendeleo, zinavyotafunwa na wajanja wachache kwa maslahi yao binafsi.

Aidha, taarifa hizi zinakuja wakati Watanzania wakisubiri hatma ya wakwapuaji wengine waliotafuna mabilioni ya shilingi katika Akaunti ya Malipo ya Nje (EPA).

Wajanja wametafuna zaidi ya Sh. 133 bilioni za fedha hizo zilizochotewa makampuni kadhaa kupitia Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Wizara ya Fedha katika kipindi cha mwaka 2005/06.

Wizi wa fedha hizo uligunduliwa na maodita, kampuni ya Ernst & Young walioelekezwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini (CAG) baada ya kubainika upotevu wa fedha katika akaunti hiyo.

Vilevile, sakata hili linaibuka sasa wakati ambapo haijajulikana hatma ya watendaji serikalini waliongiza nchi katika mkataba wa kinyonyaji wa Richmond.

Katika mkataba huo, shirika la umeme Tanesco linailipa kampuni hiyo kupitia dada yake Dowans, Sh. 152 milioni kwa siku.


Source: Mwanahalisi (26/03/2008)
http://www.halihalisi.co.tz/08/03/26/
 
Lol..so how much of the 100billion is yours??..wewe sio mzalendo kabisaaa..eti mahakamani..kama serikali yako unayo itetea imeshindwa kupeleka wezi wa EPA mahakamani ndo sisi tuweze??Sisi tutakaa hapa na kusema ambayo wewe unaogopa kusema!! Ndugu zako wanasota kijijini kwenu (elimu duni,hakuna kazi, hakuna maendeleo), umeme sasa hivi utakatika hapo kwako!! (kataaa kama unaweza??) and here you are defending people like Rostam....pole sana..

Kusema ni haki ya kila mtu lakini ni vyema kusema lile lililo na uhakika.
Serikali haijashindwa kuwapeleka waliolipwa pesa za EPA na hawa huwezi kuwaita WEZI WA PESA ZA EPA kwani hakuvunja makufuri ya BOT bali walilipwa kwa makubaliano ya kibiashara na BOT. Kwa sasa suala hilo linashughulikiwa na vyombo husika vya sheria.

Tatizo kubwa hapa ni jaziba ya upotevu wa hayo mabilioni, lakini jaziba haitusaidii ndugu zangu, kwanini tusisubiri mpaka miezi sita tuone tume ya Raisi inafanya nini?.

Ingekuwa enzi ya Mwl Nyerere sijui hata kama mngeweza kuandika na kupiga kelele kama hizi. Kikwete pamoja na kuwapa demokrasia yote hii na kuweka mambo wazi lakini bado vijana hamtaki kuridhika bali ni kuendeleza matusi na kejeli. BOT iliungua moto kipindi cha nyuma ama wakati wa Nyerere mbona hakuna aliohoji kwamba ni kiasi gani cha pesa kilipotea na nini kilikuwa chanzo cha moto huo?.

Mtambo Juma Mtambo (Jitu la mahasira)
 
nyie vijakazi wa mafisadi msidhani huu mziki ni size yenu angalieni na mje kwa step JF ni soo haina ubaguzi. Kama mnajidai ni watetezi wazuri wa RA basi wekeni vithibitisho hapo juu........halafu na sie tunajipanga kuweka mambo hadharani maana ukimwa wa watanzania msiuchukulie ni ujinga ni watu wanaosoma alama za nyakati na wakati huu ni wenu kukimbia nchi au tuwafilisi
 
Wewe Shy kwanza unazidi kuchafua hili baraza, watu kama wewe masnitch inabidi mufunguliwe gereza maalumu. Tena ukome kabisa kunifuatilia na bado nakusubiria uende mahakani kama ulivyotishia kufanya....

Whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat?
 
Back
Top Bottom