Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Huyo jamaa RA ni mafia kupindukia, watanzania tusipoungana kumshughulikia huyu mtu ataifikisha nchi hii kubaya, manake amewakamata viongozi wote wa JK nasikia yeye ndo anapendekeza wateule wake
 
The King Maker huwa hafanyi press conference za kuzungumza na media direct bali huitisha press conference na kusoma statement yake baada ya hapo ndio basi, hakuna maswali.
Ni kweli utajiri wake ni wa familia, walifika Tabora kwa biashara ya watumwa. Iliposimamishwa walianza biashara ya meno ya tembo mpaka kesho. Hivyo jamaa ni jangili, mzingo hupakiwa kwenye ndege toka Tabora mpaka Nairobi. Pale hutumia passport yake nyingine kwenda aendako na hurudia Nairobi na kuja na ndege yake tabora.
Hata Bungeni ni yeye na Nimrodi Mkono ndio wanaotumia ndege zao kwenda bungeni wanapojisikia.
Akiwa Bungeni, haulizi swali lolote wala hachangii majadiliano yoyote.
Kitu kizuri kuhusu huyu jamaa, wananchi wa jimbo lake wakiwa na shida yoyote, huimaliza mwenyewe.
Ndiye aliyetoa fungu la kampeni ya JK ziwe za Kagoda au la, haijalishi, pesa katoa yeye na JK kaingia Ikulu. RA akianguka, mzee atakuwa hana pa kuegemea.

Ni kweli kabisa, jamaa akianguka na JK ameanguka..ndio maana kuiba ataiba na mahakamani hatutamwona.

Kwanza hata huko Bungeni kwenyewe ukimwona ujue kwamba kuna soo linalomhusu yeye anataka kwenda kulizima kwa kuwahonga wabunge...
 
Huyo jamaa RA ni mafia kupindukia, watanzania tusipoungana kumshughulikia huyu mtu ataifikisha nchi hii kubaya, manake amewakamata viongozi wote wa JK nasikia yeye ndo anapendekeza wateule wake

Uzushi tu, hamfikiri hata kidogo ndio maana mtu kama RA anaonekana super intelligent. Jee huyo Raisi alipochaguliwa ulifanyika uchaguzi haukufanyika? Na RA ndio aliwatia mkononi wa Tanzania wote waliomchaguwa? Na hao viongozi wote unaosema ''amewakamata'' na yeye ''anapendekeza'' wametoka wapi? hawakuchaguliwa na wananchi?

Huyu RA ni mfanya biashara na kikubwa kinachowasumbuwa wengi ni wivu na chuki na ''agenda za siri'' si tu kwa RA bali hata kwa JK.

Hakuna chochote, tumeona madudu mangapi yaliyofanywa na Mkapa na viongozi waliokuwa wakati wake, nani anayasema hayo? na haya madudu yote yanayoibuliwa wakati huu wa JK hamuyaoni? mlikuwa mnathubutu hata kusema wakati wa mchonga? labda wengi wenu hamkuwepo wakati huo. Wachache waliokuwepo watakuwa mashahidi wa hili.

RA ni mfanya biashara kabla ya kuwa kiongozi na alikuwa na fedha kabla hajaingia kwenye uongozi, cha kujiuliza, jee, hawa waliopata fedha baada ya kuwa viongozi, wamezitowa wapi? na kweli wameingia uongozi kwa maslahi ya wananchi? leo unamkuta mtu kama Tibaigana, polisi tu, amestaafu tu ana kijiji kizima, fedha za upolisi ndio zilizomwezesha hilo? au na yeye wazee wake walikuwa matajiri, karithi?

Hebu tuwe wakweli kama hatuwezi basi tujaribu tu, kuwa wa kweli na kuyaona mambo kama yalivyo na si kwa chuki zetu binafsi. Sidhani kama RA au mwingine yeyote atakuwa juu ya sheria kwa anayoyafanya na kama kuna kosa lolote mnaloliona na kuwa na ushahidi nalo, si mnampeleka tu mahakamani? au?
 
Ndiyo,

Aliongea siku moja kuhusu suala la kutoa misaada katika kanisa la Kinondoni na ndo siku hiyo alimuumbua Mtikila kuwa alimpatia posho. Kubwa ninalokumbuka katia ya yale aliyoyasema ni kuwa yeye ni msafi sana na kwamba pesa zake amezipata kutoka kwenye biashara halali ya familia yake tangu miaka ya 1800 (sijui kama hiyo inahusisha na biashara ya utumwa)!!!

Mkuu hili nakataa sio kweli wameanza biashara huko
Kama ni kweli Jee hao wazazi wake mbona hawapo kwenye list ya kuisaidia Tanzania kupata uhuru.
Kama hawakutaka kusaidia mbona hawakuwemo kweny list ya wahujumu uchumi.
Sasa kama huku hwapo na kule hawapo ninakataa kabisa labda aseme lingine
 
mimi binafsi nafkiri hizi data za RA wanazo post wana JF zikusanywe zote na kufanyiwa kazi, naamini ziko mbazo ni kweli na ziko ambazo ni uzushi. kuanzia hapo tunaweza kuyatumia makosa ambayo ameyafanya na sisi tuna ushahidi nayo ili kujenga hoja ya kumuangusha au hata kumshitaki. naamini wapo watu madhubuti kabisa wanachohitaji ni ushahidi na siyo bla bla.
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania, DDP pekee ndiye mwenye mamlaka ya kuendesha kesi za jinai. Ushahidi wote huo na zaidi ya huo, uko mezani kwa DPP kitambo. Ni uamuzi wa DPP kuamua kuna kesi au la. Mamlaka hii ya DDP haihojiwa na mamlaka yoyote, hata rais hawezi.
Pia tuna shria ya Private Prosecution ambayo nayo lazima
DPP atoe kibali.
Hiyo hakuna cha kumfanya the king maker, tuendelee tuu kupiga kelele za mlango ambazo hazimyimi mwenyenyumba usingizi.
 
Kwa mujibu wa mtandao wa bunge

GENERAL
Salutation Honourable Member picture

First Name: Rostam
Middle Name: Abdulrasul
Last Name: Azizi
Member Type: Constituency Member
Constituent: Igunga
Political Party: CHAMA CHA MAPINDUZI
Office Location: P.O. Box 11, Igunga
Office Phone: +255 754 555555
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: raziz@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Start Date: 28 December 2005
End Date: 30 August 2010
Date of Birth 31 December 1969
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
- BA (Economics) GRADUATE
CERTIFICATIONS
Certification Name or Type Certification No. Issued Expires
No items on list

EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
Research on Business Managing Director
Africa Trade Development Director
Africa Tanneries Ltd. Director
Tanzania Leather Industries Ltd Director
Caspian Construction Ltd Director
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
No items on list

PUBLICATIONS
Description Published Date
No items on list

SPECIAL SKILLS
Skill Name or Description Years Experience Acquired Through Skill Level
No items on list

RECOGNITIONS
Recognition Type Recognition Date Reason Action Taken Issued by
No items on list
 
1.there is no wisdom,no insight,no plan that can continually succeed in evil.
2. You can fool some people for sometimes, but you can not fool all people all the time.
3. Time will tell
4.historically evil doers have always ended in tragedy.
 
1.there is no wisdom,no insight,no plan that can continually succeed in evil.
2. You can fool some people for sometimes, but you can not fool all people all the time.
3. Time will tell
4.historically evil doers have always ended in tragedy.

Umeandika kichungaji, kifalsafa!

umekata tamaa hujui la kufanya,

Kutaka nature iamue ni kutotaka kuwajibika,

lazima watu wafanye kitu fulani, kuzuia haya yote, kwa hiyo jela zisingekuwepo?? for so called time will tell, na kuwa mwisho wake utakuwa mbaya??

pole sana kwa maneno ya kukata tamaa!!! hujui ufanye nini??
 
Hii thread ukiisoma unaona kabisa kuna ubaguzi wa Rangi hapa....

Rostam ni mzalendo kama mzalendo yeyote... ni miongoni mwa mtu mwenye ngozi ya namna hiyo lakini anayejichanganya... dhambi yake kama ilivyo kwa wengi ni kuwa tajiri... Watanzania wanapenda maskini mwenzao kuliko tajiri.
 
Hii thread ukiisoma unaona kabisa kuna ubaguzi wa Rangi hapa....

Rostam ni mzalendo kama mzalendo yeyote... ni miongoni mwa mtu mwenye ngozi ya namna hiyo lakini anayejichanganya... dhambi yake kama ilivyo kwa wengi ni kuwa tajiri... Watanzania wanapenda maskini mwenzao kuliko tajiri.


Mtu anayekuibia wewe unamchukuliaje mkuu ndo uendelee kulamba viatu vyake?
 
Unajua nillikuwa napitia hii listi ya wala rushwa Kenya na mapesa waliyoiba naona sisi bado mwendo wetu ni mdogo mno...na itatuchukua miaka labda 20 kuwafikia hawa jirani zetu

hebu tazama hii hapa chini:

KTM report - Wikileaks

Kila nisomapo mambo ya hawa jamaa huwa namshukuru sana Mwalimu kwa urithi aliotuachia japo alikuwa mdini lakini kwa hili nampa 100

duh!

Huyu BIWOT ana ranchi ya hecta 100 AUSTRALIA! inamaan rift valley yote waliwauzia ma setla wa kiingereza au?
The looting of Kenya under President Moi - Wikileaks
intro ni:
400px-Guardian_font_page_2007-8-31.jpg

Gideon_Moi_2.jpg

Gideon Moi, son of ex-President Daniel arap Moi and a current (2007) member of the Kenyan parliament.[13]


Philip_Moi.jpg

Philip Moi, son of ex-President Daniel arap Moi.

It is understood that Philip has an estimated wealth of approximately $ 770 million and controls more hidden cash than Gideon, even though significant attention has been directed at the latter. (page 55).
Business links
Gateway Properties Inc—1992 documentary evidence (page 55)
Paradise Holdings (page 55)
Sheraton Holdings (page 55)
Hahuru Investors (page 55)
General Commodity Dealers (page 55)
Kiharu Investors (page 55)
Concord Holdings—Connected to Goldenberg (page 55)
Panafcon Engineering (page 55)
Tiger Farm Limited (page 55)
Ecta Kenya Limited (page 55)
Finance
He operates accounts in London’s Branch of HSBC and Standard Chartered Plc.
Barclays Bank (page 57)
The details of the account Philip Moi holds at Barclays bank are as follows:

Name of Bank: Barclays Bank Plc.
Address: Barclays Business Centre Hampstead High Street Branch, 28 Hampstead,London NW3 1 QB
Sort Code: 203616

Account Number: 90391158
As this information dates back ten years ago, it is possibly connected to Goldenberg
Credit Suisse Zurich, Switzerland. (page 57)
Rosanna Moi indicated that in October 2002, Philip Moi lost US Dollrs 15 million to an Italian family on a deal that failed to deliver. This money was paid to his family through Philip’s Sandhurst Matrix Inc account held at Credit Suisse, Zurich
Sultanate of Brunei (page 57)
Philip is a close friend of Prince Hamid of Brunei. Moi’s family has invested heavily through Prince Hamid.The precise details of Philip’s investments through these investments are not known. Philip’s wife was planning to spend a vacation of Christmas 2003 in Brunei with their children.
Business Associates
Zara/Rosanna Moi (page 57)
Dr. Clemente (page 58)
Akasha Family (page 59)
Muzahim (page 59)


ripoti nzima ya Kroll hii hapa:

KTM report - Wikileaks


na hii ndio website yao ya rushwa:
Mars Group Kenya - Watching Out For You
 
Well, Lowassa and family are not too far behind.


Thanks Jasusi;

Nasikitika kusema kwamba naona utumbo mtupu toka kwa mtoa hoja!!! na kama vile anasema achana na rostam kaua wanane tu lakini kuna moi na wenzake wameua hamsini........ upuzi mtupu!!! kuuua ni kuua na ufisadi ni ufisadi

hakuna dhambi kubwa na yenye nafuuu


HIZI DSA NA OTHER BENEFITS ZITATUUA JAMANI, MH

CHINESE.....
 
Nyerere hakuwa mdini.Na Rostam hatumuachi kwa upambavu wa wengine.Ya kenya ni ya kenya na Tanzania ni tanzania hata kama tumeibiwa thumni ni nyingi. USA senator anafungwa kwa dola elfu hamsini au laki. na anaonekana ni bonge ya mwizi na hawataki kabisa kufananishwa na wengine ila na katiba yao. hivyo kama katiba inasema mwizi ni mwizi hata wa senti moja ni mwizi. Copy and Paste ndio inaiiua tanzania.
 
Umenishtua hiyo title GT , i tyhought unataka usalama wa taifa wam-kill jamaa, ili apumzike, in other words unaweza ukawa umesema jambo linaloendelea, Kuwa Mkuu anaweza kuamuru jamaa auliwe ili afunike kila baya walilofanya pamoja!
 
Nyerere hakuwa mdini.Na Rostam hatumuachi kwa upambavu wa wengine.Ya kenya ni ya kenya na Tanzania ni tanzania hata kama tumeibiwa thumni ni nyingi. USA senator anafungwa kwa dola elfu hamsini au laki. na anaonekana ni bonge ya mwizi na hawataki kabisa kufananishwa na wengine ila na katiba yao. hivyo kama katiba inasema mwizi ni mwizi hata wa senti moja ni mwizi. Copy and Paste ndio inaiiua tanzania.

Kudos! Yaani tuache kushughulikia wezi wetu kwa sababu nchi nyingine nako wanaiba? Sasa tunashughulikia DECI ya nini wakati tuhela twenyewe tudogo kulinganisha na za Madoff!?

Kenya waibiane hadi wachoke! Wa kwetu wakichota hata thumuni tunao! Hawa wa kwetu mpaka pingu!
 
Hii ni KUFURU au KAFARA, people wanakwiba kama vile wana PEPO la wizi, wakati mwingine vitu vingine ni vigumu hata kuvifikiria.
Asanre kwa taarifa lete nyingine but kumbuka RA tunaye tu mpaka kieleweke.
 
Mkuu GT unakotupeleka sasa siko... yaani papa mkubwa papa, na papa mdogo kipapa!!!! Hapana, papa ni papa tu
 
Back
Top Bottom