Kuna mtu mmoja muhimu ambaye angeweza kutusaidia sana kwenye hili jambo na sina hakika sana kama alihojiwa na Kamati ya Mwakyembe. Huyu ni aliyekuwa Balozi wetu Marekani naye si mwingine ila ni Balozi Andrew Daraja. Nakumbuka jinsi nyakati hizo mkurugenzi wa RDC alijitapa sana kwenye tovuti yake alivyoweza kum'host' Balozi wetu ikiwa ni pamoja na kumtembeza, kumtambulisha na kumfanyia tafrija ya mwaka.
Kama sijakosea sana baadaye Mzee wa Kaya alitembelea Marekani na sehemu mojawapo aliyohakikisha amefika ni Houston, Texas. Haukupita sana muda na RDC wakapewa tenda. Sikumbuki vizuri mtiririko wa mambo na niko kwenye harakati kuzitafuta data lakini sidhani niko mbali na ukweli hata kidogo.
Hata hivyo kwenye tovuti ya RDC mpaka elo wanasema hivi:
RECENT PROJECTS
In 2006, we completed the Ubungo Emergency Supply Power Plant Project in Dar es Salaam, Tanzania. We provided full project development and engineering, procurement and commissioning (EPC) for the first 25MW, and all preparatory work for the second phase, of a 100MW ISO gas-based generation plant.
Sasa, kuliko wakati wowote ule, kuna ulazima mkubwa wa kumbebesha mzigo wa RDC mhusika mkuu na sio mabungusilo.
EVENTS
Richmond Development Company of Houston (RDEVCO) which is developing several projects in the East African nation of Tanzania hosted The Tanzanian Ambassador to USA, The Honorable Andrew M. Daraja to Houston, Texas, from July 20 through to July 22, 2003.
During his visit, Ambassador Daraja was introduced to the leaders of the business community of Houston, which also included alliance partner companies of RDEVCO.
Ambassador Daraja acknowledged that the African region is becoming prominent with regard to the economic and strategic interests of United States as evidenced by President Bush's recent trip to the region.
"With some of our Tanzanian projects approaching financial close, RDEVCO will add new high caliber jobs in Houston" said Dr. Huque, a principal at RDEVCO.
"The fact that Ambassador Daraja came to Houston demonstrates the commitment of The Government of Tanzania to extend business cooperation of Houston based companies" added Mr. Gire, another principal at RDEVCO.
The highlight of The Ambassador's visit to Houston was a Gala Dinner attended by Dr. Lee P. Brown, Mayor of Houston.
The Mayor awarded an honoree citizenship to The Ambassador.
Je,na mkono wa Mkapa upo hapa