Rostam ni Mfalme na mwamba hapa Tanzania

Hatujui tunachotaka, akiwa masikini kwanini na akiwa tajiri pia?akikosa kwanini, akipata pia?
 
Safari ya USA alikuwepo, Ya Kenya alikuwepo
, Oman pia.

He is almost every where .ana nguvu sana awamu hii.

Kila anachotaka kinafanyika with no compromise.
This is deliberately !
 
Ndo tujifunze kwao.Rostam kafanyaje mpaka kushawishi serikali nzima?
Hakuna maajabu anayofanya zaidi ya rushwa kwa viongozi!
Naam, sasa ni enzi za viongozi kuwekwa mfukoni na matajiri!.
Si unamuona Waziri kawa wakala wa Taifa gesi.
 
Safari ya USA alikuwepo, Ya Kenya alikuwepo
, Oman pia.

He is almost every where .ana nguvu sana awamu hii.

Kila anachotaka kinafanyika with no compromise.
Hata kuliko Bashite na njeree mwenzako Sabaya
 
Dah basi na Bibi zangu wakambo dongobeshi, Mbauda na Nyarugusu watafaiduka sana.
 
Uandishi wako km nimeanza kuuelewa hivi..umekaa kipascal Pascal...ile tabia ya kupenda kueleza kitu kinyume na ukweli..
 
Siasa za maji taka ndio zinazoliangamiza hili Taifa.
 
Kiuhalisia Eddo alipata kura nyingi kumshinda magufuli huo ndio ukweli na magufuli anajua uhalisia ndio maana hadi dakika ya mwisho ikabidi awe humble kwa eddo, na Rostam ndio akamrudisha Eddo kundini au umesahau?
Unapaswa kupimwa km hujatumia kilevi ulipokuwa unacomment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…