HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kama katoa pesa yako shida iko wapi?Imagine ameishinikiza Serikali iandae kongamano la kitaifa ya nishati ya kupikia huku kukiwa na mgao mkali wa maji na umeme nchi nzima lakini hakuna anayeongelea.