Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
- Thread starter
- #21
Chanzo ni mimi mwenyewe. Jifunze kutoka kwa Rostam Aziz. ACHA MAKASIRIKO.leo serikali nzima ipo ukumbi wa Nyerere kwa ajili yake.Umeandika kama unakimbizwa. Hebu kaa chini tulia andika habari yako kwa kina na ieleweke.
Au kama una chanzo ni vizuri ukakiweka tujisomee wenyewe
Pia punguza uchawa/uteam sikuzote unaporipoti