Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi huku Runzewe plan yangu ni kuvuna hii hii methane iliyoko chooni kwa kupikia.
Ndugu yako katika imaniRostam sio fisadi kwao Mwisi mbele ya Nkinga.
Umegeneralize, vijijini asilimia kubwa hajafika. Unafika sehemu ikiwa mahitaji napo ni makubwaAnaewahi ndio hupata, deal hizo haziji kwa bahati mbaya watu wameandika wamelobby zimefiki na fursa waliiona wakaona gap lipo sasa unataka iweje zaidi? Msianze kulialia tu maana Taifa Gas alijipanga mapema kila wilaya anakituo cha kujazia Gas sasa aliplan muda mrefu afike vijijini na kweli kafika wale uliokua ukisafiri unaona depot za mihan gas na sasa zimebadilishwa zinaitwa Taifa Gas ndio hao hao, cha kufanya serikali imuondolee kodi na imuwezeshe kusambaza nchi nzima na zimamoto kila mkoa na wilaya wajipange kuwaelekeza watanzania jinsi ya kutumia kwa ufasaha Gas ili isilete shida, ili hata Bibi yetu wa kule kigonsera au hanga mwanasteri au mputa au kwenda na kaisho au nyambiti au dareda atumie nishati salama kwa ufasaha na kuokoa muda wake
Hata akipewa Monopoly bado siwaoni watanzania wa kununua gesi. Mm na kipato changu hiki home kwa wazazi tu tumeshindwa kuwaondoa kwenye mkaa kuwapeleka kwenye gesiHilo haliwezekani hawezi akapewa u-monopoly hilo haliwezekani.
Huijui hii serikali ndugu yangu. Je kwa makampuni ya asimu imekuwaje? Je kuna ushindani? Anayetaka kupunguza bei anaitwa TCRA aeleze kwa nini anataka bei ndogo!Ninachojua mimi serikali sio wajinga hawawezi kuifanya Taifa Gas kuwa sole distributor wa gas nchi nzima.
Competition Tanzania ni ndoto. CCM iko macho kuvuna kwa kampuni yoyote ile na itahakikisha hakuna ushindani. Ni kama vile anayeamua bei iwe ipi yuko Lumumba ambako tayari anapiga hesabu ya mavuno.Tunahitaji competition kwenye utoaji wa huduma ili kuongeza ubora wa huduma na price stability
Umegeneralize, vijijini asilimia kubwa hajafika. Unafika sehemu ikiwa mahitaji napo ni makubwa
Huwezi kuuza mitungi ya gesi kule mliyabibi nguruka.
Ni sawa na ukafungue duka la spare za magari kule pangamawe rukwa
Wewe ni mfanyakazi wa moja ya miradi yake?Sasa Taifa gesi wanakwenda kuwa provider wa energy kwa kila mtanzania masikini na Tajiri. Ila tuwe positive jamani Rostam ni mwamba yeye anafit kwa kila Rais.
Sasa wizara nzima ya Nishati ni Rostam. Rostam oyee. Tujifunze kwa huyu mwamba.
Tuna kitu cha kujifunza kwa Rostam Aziz. Binafsi nimejifunza kwake unyenyekevu as long as mtu unakuwa na objectives zako. Tuache lawama jamani.
Kama tumeshindwa mpaka tunawapa Nchi machizi wacha atuchagulie.Tunakoelekea atakuwa na maamuzi ya nani awe Rais nchi hii na nani asiwe.
Alishindwa tu kumfanya Lowassa awe presidaa wa Bongo
Kushinda ni jambo Moja na kuingia madarakani ni jambo lingine KabisaMbona Lowassa alishinda, wewe unadhani chanzo Cha kuzuia mikutano ya hadhara kwa vyama pinzani ilikuja kwa ajali?.
Imagine ameishinikiza Serikali iandae kongamano la kitaifa ya nishati ya kupikia huku kukiwa na mgao mkali wa maji na umeme nchi nzima lakini hakuna anayeongelea.Safari ya USA alikuwepo, Ya Kenya alikuwepo
, Oman pia.
He is almost every where .ana nguvu sana awamu hii.
Kila anachotaka kinafanyika with no compromise.
Rostum alitakiwa kuwa Waziri mkuu.
Gas ni kwa kundi flani la wa tz. Walio wengi Mkaa wa 1500 inatosha kwa siku.Sasa Taifa gesi wanakwenda kuwa provider wa energy kwa kila mtanzania masikini na Tajiri. Ila tuwe positive jamani Rostam ni mwamba yeye anafit kwa kila Rais.
Sasa wizara nzima ya Nishati ni Rostam. Rostam oyee. Tujifunze kwa huyu mwamba.
Tuna kitu cha kujifunza kwa Rostam Aziz. Binafsi nimejifunza kwake unyenyekevu as long as mtu unakuwa na objectives zako. Tuache lawama jamani.
Hubby no way. Inabidi tu sasa tujifunze kwa Rostam. Kwani baby wewe hautaki kumiliki vitalu vya gas ?Na kuwa king maker kwa kila utawala ?Inabidi tufanye biashara sasa hadi vitukuu wa vilembwe wetu waikute. Positive vibes tu leo honey ❤Wife umeanza kujiangusha kwenye 18 za matajiri nini?!
Hubby no way. Inabidi tu sasa tujifunze kwa Rostam. Kwani baby wewe hautaki kumiliki vitalu vya gas ?Na kuwa king maker kwa kila utawala ?Inabidi tufanye biashara sasa hadi vitukuu wa vilembwe wetu waikute. Positive vibes tu leo honey ❤