- Thread starter
- #41
na samaki mwenyewe anafaa awe tasi au changu, nitamuje?
Changu ndio ananoga zaidi
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na samaki mwenyewe anafaa awe tasi au changu, nitamuje?
Changu ndio ananoga zaidi
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Yummy yummy, we dada farkhina upo juu saana!Mahitaji
***kwa ajili ya roast***
Viazi 4 vikubwa katakata round
Nyanya 2 kubwa katakata
Kitunguu maji 1 kikubwa
Kitunguu saumu 1 tablespoon...
Tangawizi 1 tablespoon..
Bizar ya pilau 1/2 teaspoon
Mdalasini 1/2 teaspoon
Curry powder 1/2 teaspoon (sio lazima)
Nyanya ya kopo 1..
Pilipili mboga 1
Karot 1
Chumvi kiasi
Limau 1
Namna ya kutaarisha
Kaanga viazi vikiwiva weka pembeni..
Katika sufuria kaanga kitunguu maji
Kwa dakika 10
Weka pilipili mboga na karot
Kaanga vikivaribia kuwiva weka nyanya kaanga vizuri
Weka nyanya ya kopo na limau
Ikiwiva weka viazi vichanganyike na rosti...taratibu viazi visivurugike
Epua
***Samaki wa kukaanga ***
Mahitaji
Samaki wa vipande
Pilipili ya kuasha kiasi upendacho
Pilipili manga 1 teaspoon
Tangawizi 1 teaspoon
Kitunguu saumu 1 teaspoon
Chumvi kiasi
Namna ya kutaarisha
Safisha vizur samaki wako
Mueke viungo vyote...muaxhe 30 min _-1 hour ili akolee viungo
Weka pan yako mafuta
Kaanga samaki
Akiwiva weka kwenye bakuli lako la mchuzi mimina roasti ya viazi juu yake...
Tayar kwa kuliwa
Nipo dada farkhina nilikuwa napitia recipe, hapo nimeelewa badala ya viazi
Asante sana ngoja nianze kuandaa sasa
Mahitaji
***kwa ajili ya roast***
Viazi 4 vikubwa katakata round
Nyanya 2 kubwa katakata
Kitunguu maji 1 kikubwa
Kitunguu saumu 1 tablespoon...
Tangawizi 1 tablespoon..
Bizar ya pilau 1/2 teaspoon
Mdalasini 1/2 teaspoon
Curry powder 1/2 teaspoon (sio lazima)
Nyanya ya kopo 1..
Pilipili mboga 1
Karot 1
Chumvi kiasi
Limau 1
Namna ya kutaarisha
Kaanga viazi vikiwiva weka pembeni..
Katika sufuria kaanga kitunguu maji
Kwa dakika 10
Weka pilipili mboga na karot
Kaanga vikivaribia kuwiva weka nyanya kaanga vizuri
Weka nyanya ya kopo na limau
Ikiwiva weka viazi vichanganyike na rosti...taratibu viazi visivurugike
Epua
***Samaki wa kukaanga ***
Mahitaji
Samaki wa vipande
Pilipili ya kuasha kiasi upendacho
Pilipili manga 1 teaspoon
Tangawizi 1 teaspoon
Kitunguu saumu 1 teaspoon
Chumvi kiasi
Namna ya kutaarisha
Safisha vizur samaki wako
Mueke viungo vyote...muaxhe 30 min _-1 hour ili akolee viungo
Weka pan yako mafuta
Kaanga samaki
Akiwiva weka kwenye bakuli lako la mchuzi mimina roasti ya viazi juu yake...
Tayar kwa kuliwa
Msaada tafadhari..
Pili pili mboga ndio pili pili gani hiyo.?!
Asante sana
Naandikaje...kazi kwangu kurejea kwenye hii note...
Leo taandaa hili pishi
Karibuni
Karibu da fa na wapishi wengine. Kwa chapati na chai ya maziwa
Wow nami nakaribishwa??rosti limenogajeee.....Karibu da fa na wapishi wengine. Kwa chapati na chai ya maziwa
Wow nami nakaribishwa??rosti limenogajeee.....