Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
farkhina weekend hii nataka nipike hii kitu...
Kwa kuongeza ladha katika hiyo roast ya viazi kwa wale waliopo TZ unaweza ukaongeza Onga Mchuzi Mix katika rojo la roast na wale wa mamtoni basi mnaweza kutumia chengachenga za Beef au Chicken bouillon(sina uhakika km s'markets za TZ wanayo hii)...
Shukraan ukipika ulete mrejesho bila ya kusahau kutukaribisha lol
Hahah...ntakutumia weye na gorgeousmimi kadi za mwaliko
Usimualike juzi kataka kuntoa roho kapika bonge la pweza ata kunigaia kijipande kimoja jinsi alivyo mchoyo lol nialike peke yangu hahahahaha lol
Hahaha...kumbe eeenh!!!
Basi ataishia kuona kwenye pichaaaa tutazompigia...
she is somewhere. killing me for missing her
Usimualike juzi kataka kuntoa roho kapika bonge la pweza ata kunigaia kijipande kimoja jinsi alivyo mchoyo lol nialike peke yangu hahahahaha lol
Hahaha...kumbe eeenh!!!
Basi ataishia kuona kwenye pichaaaa tutazompigia...
We mtoto mbaya ww lol pweza wangu wote ulimdoea....
Haswa tumekutana wapenda vitoweo wawili lol ha ha haHahahah naona anunue markiti nzima lol