Rotation ya kikosi sio kwa kila timu, inategemea na ubora wa wachezaji wako

Rotation ya kikosi sio kwa kila timu, inategemea na ubora wa wachezaji wako

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Simba msije mkajaribu tena kuiga kunya kwa tembo mtapasuka msamba, Ni ngumu kwa kikosi cha simba kukifanyia rotation kwa baadhi ya mechi vinginevyo inakuwa inatafutwa lawama tu,

Timu pekee yenye uwezo wa kufanya rotation ni yanga pekee ambayo ina kikosi bora kuanzia wanaoanza mpaka wakaa benchi na wakapata matokeo wanayotaka. Sasa simba unakuwa nao kina kapama, nyoni, okrah,banda ndio wachezaji wanaokuwa wanategemewa kufanyiwa rotation unategemea nini? Leo namungo ilikuwa waondoke na point 3 muhimu kama wangekuwa makini

Yanga njia nyeupe kuelekea kutetea ubingwa wake kwa mara nyingine endapo wataweka kibindoni point za kesho dhidi ya singida
 
Simba msije mkajaribu tena kuiga kunya kwa tembo mtapasuka msamba, Ni ngumu kwa kikosi cha simba kukifanyia rotation kwa baadhi ya mechi vinginevyo inakuwa inatafutwa lawama tu...
Kama hayo unayotaka kuwaaminisha watu ni ya kweli msingeweza kuomba TFF iarishe mechi yenu ya tarehe 7 na singida big stars, mngechezesha tu kikosi B!

Eti kikosi kipana unafahamuaana ya kuwa na kikosi kipana wewe?!!!mbadala wa mayele ni nani?

Aucho, Golie, Dickson, Bangala na wengine!!
 
Sasa kikosi kimetoa Drooo mnaleta ngengaa?? Halafu na hilo goli la Namungo ni la bahati kwa upumbavu wa kipa Aly..na refa katunyima penalt ya wazi....kikosi hicho kinawafumua vzr tuu nyie na first eleven yenu 😛 😛 😛
 
Kama hayo unayotaka kuwaaminisha watu ni ya kweli msingeweza kuomba TFF iarishe mechi yenu ya tarehe 7 na singida big stars, mngechezesha tu kikosi B!

Eti kikosi kipana unafahamuaana ya kuwa na kikosi kipana wewe?!!!mbadala wa mayele ni nani?

Aucho, Golie, Dickson, Bangala na wengine!!
Yanga anacheza tarehe 7 na mda huo huo ana mechi tarehe 10 kuomba kuhairisha ni kwa sababu mechi zinafuatana
 
Sasa kikosi kimetoa Drooo mnaleta ngengaa?? Halafu na hilo goli la Namungo ni la bahati kwa upumbavu wa kipa Aly..na refa katunyima penalt ya wazi....kikosi hicho kinawafumua vzr tuu nyie na first eleven yenu 😛 😛 😛
aliskika zuwena mmoja aliyekufa kiume
 
Sasa kikosi kimetoa Drooo mnaleta ngengaa?? Halafu na hilo goli la Namungo ni la bahati kwa upumbavu wa kipa Aly..na refa katunyima penalt ya wazi....kikosi hicho kinawafumua vzr tuu nyie na first eleven yenu 😛 😛 😛
Amkosagi visababu aisee,,wazee wa kufa kiume stress zitawaua na mkipigwa na azam mtakuwa mmefanya kazi bure
 
Back
Top Bottom