Ya masikio labda !!Hivi vee money, wema,amber lulu n.k wanaweza kuwa na bikira [emoji18]
Mwenzio Leo nina furaha isiyo kifani, yaan naona mwaka mpya umeanza vema kwangu.
AiseeeMwenzio Leo nina furaha isiyo kifani, yaan naona mwaka mpya umeanza vema kwangu.
Full burudaniiiiiii. [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Pete ndo nn? Sisi tunataka binti Vee aanze kutema mateMwanamuziki Rotimi amemvisha pete ya uchumba our very own Vanessa Mdee. Hongera kwao!!
View attachment 1663513
View attachment 1663512
Yaan acha tyuuuh, Leo naona km na slay iv angani uwiiiiiih.Aiseee
Aisee!Yaan acha tyuuuh, Leo naona km na slay iv angani uwiiiiiih.
AhahahHongera Vee.
Mwanaume akikuvarisha Pete ya uchumba mnunulie saa kumkumbusha kuhusu muda
Huyu mnigeria alieishi na kusoma America. Hata kingereza chake sio kama cha kinaija ingawa anaweza kukiigiza. Maybe m Nigeria huyu kidogo ni tofauti.hongera zake Vanessa. Wameishi wote wametambuana cha kutoshaHivi shemeji yetu n raia wa Africa ya magharibi? Kama n Nigeria tusiongee mengi mnakumbuka ya lady Jay Dee aka komando na yule mnigeria?
Jux si muoaji, yule ni mwanamme wa Dar tu....anamsubiri muuza madawa mwenzake (Jacky) atoke jela huko China amfanyie party na kujibandika Instagram ili atrend.....si unajuwa wanaume wa Dar wala chips za mafuta ya transformer walivyo na akili za kijinga. Mtu yuko in his late 20s bado anawaza kutrend Instagram,Wataachana tu sio😂
mbona hamna jema jmn
Jux angemvisha hilo jiwe?
Mkuu mbona hii ni Kama ramli chonganishi hivi?Vee Money atakuwa mke mkubwa maana yeye ndiye aliyechumbiwa first. Nigerians kuwa na mke mmoja si rahisi hapa LAZIMA huyu dogo Rotimi atampiga tukio lingine Vee Money kwa kumletea msaidizi ndani ya nyumba
Hapana, it's true.....Nigerians kuwa na mke mmoja si rahisi. Kwao wanaruhusiwa kuwa na wake zaidi ya mmoja uwe Mkristu au Muislam si ishu kwao. Wakati naishi Uingereza, kuna rafiki yangu Mnaija....pale Uingereza alikuwa na mke na watoto 3 na kwao Nigeria alikuwa na wake wengine 2 na watoto kadhaa. Nikamuuliza kwa nini anafanya vile, bila kusita akasema kwao Nigeria ndivyo walivyo na wake zake wote wanajuana. Akasema baba yake mzazi alikuwa na wake 7, kaka yake mkubwa ana 5. Tumsubiri Rotimi sasa.Mkuu mbona hii ni Kama ramli chonganishi hivi?
Lakini nasikia Rotimi amekulia US. So nadhan atakuwa ameadopt tamaduni za kimarekani zaidi.....sijui lakini, Muda utaongeaHapana, it's true.....Nigerians kuwa na mke mmoja si rahisi. Kwao wanaruhusiwa kuwa na wake zaidi ya mmoja uwe Mkristu au Muislam si ishu kwao. Wakati naishi Uingereza, kuna rafiki yangu Mnaija....pale Uingereza alikuwa na mke na watoto 3 na kwao Nigeria alikuwa na wake wengine 2 na watoto kadhaa. Nikamuuliza kwa nini anafanya vile, bila kusita akasema kwao Nigeria ndivyo walivyo na wake zake wote wanajuana. Akasema baba yake mzazi alikuwa na wake 7, kaka yake mkubwa ana 5. Tumsubiri Rotimi sasa.