Babeeeh we acha tyuuh yaan lolAjabu wanaochukia mahusiano ya Vee na Rotie ni Wanaume, lol
Kuna shida kwenye jamii
Vepeeeeeh?Aisee!
Mkuu hii kauli umeitoa uko swalama,piga supu mining'inio itoke.
Ukumbuke na wazazi wetu ni wanawake na hatukuwepo pindi wanaolewa.
HahahaJapo hatuombi ila wataachana tu
Tunaojua kupenda mbona tupo wengi hta hpa tzIla jamani rotimi anajua kupenda. Yaan anavyo mu handle vee utadhan mtoto.muda wote maneno yake ni matamu kuliko sukari.kwakweli kuna wanaume wanajua kupenda.
Muwe mnafikiria kauli kabla ya kuandika. Huna dada zako mama zako wadogo kwa wakubwa? Ifike wakati tuwe na busara kabla ya kuyaandika tunayoyawaza.Mwanamke yeyote bila kujali nafasi yake kama hakuolewa na bikra na aliyemtoa bikra ni malaya
Muwe mnafikiria kauli kabla ya kuandika. Huna dada zako mama zako wadogo kwa wakubwa? Ifike wakati tuwe na busara kabla ya kuyaandika tunayoyawaza.
Hata kwa kutizama kwa macho inaondoa stress.Umeyaonja ,,au ni vile unahisi tuu
Mmmmmh wapi wewe nani aoneshwe mahaba kama yale awe na kiburi?Tunaojua kupenda mbona tupo wengi hta hpa tz
Tatizo tukiwaonyesha upendo km shemeji yetu, mnaanza kutuona mafala.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Acha gubu, yule msanii afu mnyamwezi usijicompareJux si muoaji, yule ni mwanamme wa Dar tu....anamsubiri muuza madawa mwenzake (Jacky) atoke jela huko China amfanyie party na kujibandika Instagram ili atrend.....si unajuwa wanaume wa Dar wala chips za mafuta ya transformer walivyo na akili za kijinga. Mtu yuko in his late 20s bado anawaza kutrend Instagram,
Afu ajabu la mwanamke sasa unakuta vee pale upo mwili tu akili yote haipo [emoji3]Ila jamani rotimi anajua kupenda. Yaan anavyo mu handle vee utadhan mtoto.muda wote maneno yake ni matamu kuliko sukari.kwakweli kuna wanaume wanajua kupenda.
Neno la joka linatakiwa liwe sheria ya nchi, ifundishwe mashuleni[emoji3][emoji3]Mwanamke yeyote bila kujali nafasi yake kama hakuolewa na bikra na aliyemtoa bikra ni malaya
Njoo nikuvalishe pete ya utotoniHongera veee
Mvalishe yule demu wakoNjoo nikuvalishe pete ya utotoni
Wewe shindwa ndo kafa kaozaAfu ajabu la mwanamke sasa unakuta vee pale upo mwili tu akili yote haipo [emoji3]
Najua wako marekani nawajua vzrWako Marekani huko sio TZ![emoji276]