Round 1 siku 1: Why?

Round 1 siku 1: Why?

Wanaume tunapitia mengi sana,Mimi nilikuaga miezi6 bila kugusa utamu,Hali ilikua mbaya mnoo Kila mwenye nyonyoo akipita karibu natamani nikamatee kwa nguvu, nikajisemea huku ninakoenda nitaishia Butimba.

Siku Moja nikasema ngoja nikapoze Engine Bar Moja Ina pisi Kali balaa,nimetulia zangu akaja mrembo Tako wastani pigo zangu kabisa nikamwambia akasema ni wewe tu,basi nikampa ramani anikute lodge flani.

Nikawahi site dk 10 huyu hapaa,akaingia ndani nikachomekaa machine akaniambia unaipa ngapii nikasema 20,wee akaichomoa machine 🤣🤣🖤 anataka 50,Dah! Niliahidi 60 chapuu tukapiganshow kibabee...badaeee nilijutaa sana kwanini nidate na Malaya Mimi Nzagamba Dah! Upwiru Bangi serikalini hajagundua tu.
 
Nipo na mchumba, mwezi wa 4 sasa. Anadai yeye hapendi hard sex, akifika kileleni, analegea na kuishiwa nguvu. Hataki umguse kabisa mpaka kesho yake. Hata kama mimi sijafika, nalazimika kuvumilia na kushinda au kulala hivyo. Romance na pesa vyote nampa vizuri. Tatizo lake kuchoka na kukinai tendo just baada ya round 1 tu.

Je, mchumba huyu ana tatizo la kiafya au nini naweza kufanya ili awe na hamu wakati wote? Naomba ushauri wenu kabla sijafanya maamuzi ya kuachana naye.
Muombe akuache.Mnakoelekea si kwema peponi.
 
Wanaume tunapitia mengi sana,Mimi nilikuaga miezi6 bila kugusa utamu,Hali ilikua mbaya mnoo Kila mwenye nyonyoo akipita karibu natamani nikamatee kwa nguvu, nikajisemea huku ninakoenda nitaishia Butimba.

Siku Moja nikasema ngoja nikapoze Engine Bar Moja Ina pisi Kali balaa,nimetulia zangu akaja mrembo Tako wastani pigo zangu kabisa nikamwambia akasema ni wewe tu,basi nikampa ramani anikute lodge flani.

Nikawahi site dk 10 huyu hapaa,akaingia ndani nikachomekaa machine akaniambia unaipa ngapii nikasema 20,wee akaichomoa machine 🤣🤣🖤 anataka 50,Dah! Niliahidi 60 chapuu tukapiganshow kibabee...badaeee nilijutaa sana kwanini nidate na Malaya Mimi Nzagamba Dah! Upwiru Bangi serikalini hajagundua tu.
Alishakusoma akili yako na kujua kwa siku hiyo ungekufa bila kula kitumbua.
 
Nipo na mchumba, mwezi wa 4 sasa. Anadai yeye hapendi hard sex, akifika kileleni, analegea na kuishiwa nguvu. Hataki umguse kabisa mpaka kesho yake. Hata kama mimi sijafika, nalazimika kuvumilia na kushinda au kulala hivyo. Romance na pesa vyote nampa vizuri. Tatizo lake kuchoka na kukinai tendo just baada ya round 1 tu.

Je, mchumba huyu ana tatizo la kiafya au nini naweza kufanya ili awe na hamu wakati wote? Naomba ushauri wenu kabla sijafanya maamuzi ya kuachana naye.
Kwani ni lazima mbususu! Vijana hamna mchango katika taifa ili kazi ngono!
 
Thanks. Huyu dada ana mtoto mmoja, nilikutana naye akiwa kwenye majonzi ya kuachika kwa aliyempachika mimba akagoma kumuoa. Sasa nikajipachika hapo na she is pretty girl lakini ndio hivo, mapenzi tunafanya and she is so romantic like me, lakini akifika tu, anagomea mchezo mpaka next day. Nawaza labda bado anawaza ex wake, ndiyo maana nahisi labda nimuache arudi kwa mzazi mwenzio japokuwa alimfukuza. Au nikahisi labda ni mgonjwa ili nimpeleke hospital tuishi maisha ya furaha, tufunge ndoa but kikwazo ni sex ya masharti. Cha asubuhi sijawahi kupata....
We jamaa, nimecheka kwa sauti😆😆
 
Nipo na mchumba, mwezi wa 4 sasa. Anadai yeye hapendi hard sex, akifika kileleni, analegea na kuishiwa nguvu. Hataki umguse kabisa mpaka kesho yake. Hata kama mimi sijafika, nalazimika kuvumilia na kushinda au kulala hivyo. Romance na pesa vyote nampa vizuri. Tatizo lake kuchoka na kukinai tendo just baada ya round 1 tu.

Je, mchumba huyu ana tatizo la kiafya au nini naweza kufanya ili awe na hamu wakati wote? Naomba ushauri wenu kabla sijafanya maamuzi ya kuachana naye.
ndio sex au kutian ni kupoteza nguvu mwanaume anapomwaga iyo ndio nguvu inamtoka Mungu ndani yake ivyo anakuwa kama kopo tu ndio kama mnapendana kwa nini msifanye emotion sex hata akiingiza hatakiw kumwaga maji kwa sababu anamwaga mbegu atajikuta shimoni haraka sana emotion sex is best than ....
 
Nipo na mchumba, mwezi wa 4 sasa. Anadai yeye hapendi hard sex, akifika kileleni, analegea na kuishiwa nguvu. Hataki umguse kabisa mpaka kesho yake. Hata kama mimi sijafika, nalazimika kuvumilia na kushinda au kulala hivyo. Romance na pesa vyote nampa vizuri. Tatizo lake kuchoka na kukinai tendo just baada ya round 1 tu.

Je, mchumba huyu ana tatizo la kiafya au nini naweza kufanya ili awe na hamu wakati wote? Naomba ushauri wenu kabla sijafanya maamuzi ya kuachana naye.
Mdogo wangu nakushauri utumie nguvu kujenga maisha yako. Acha kupoteza muda wako.

Utaikumbuka hii Post yangu ukifikisha miaka 45
 
Huyu dada ana mtoto mmoja, nilikutana naye akiwa kwenye majonzi ya kuachika kwa aliyempachika mimba akagoma kumuoa.
SIkio la kufa, kila siku tunaimba hapa Single maza ni Scam bado umeangukia huko huko?
We ni mwanaume wa ajabu sana.
 
Wanawake wanatofautiana kama sisi tunavyotofautiana. Inategemea mwanaume wake wa kwanza alimzoeza vipi.

Kuna Wanaume wanaconnect na wengine hatuwezi kuconnect lazima kuwepo na pause kati yake. Wale wanawake waliozoezwa kuconnect huwa hawakubali uitoe ukishaitoa tu na hamu yake inakata. Hii huleta usumbufu hasa. Kama unavyotaka yeye abadilike, lazima ukubali pia nawe kubadilika pia.
Upo sahihi kuna mademu ili uende nae sawa inabidi uunganishe bao,,yaan ukimwaga hakuna kupoa[emoji3] unaendeleza libeneke bila kuchomoa dushe....Miaka ya nyuma kidogo nilikutana na demu wa hvyo yaan ukianza kumkaza inabid ukaze kiuno within 20 minutes akishakojoa ni rahisi kumshawishi mpige raundi ya pili...na ndiye alinifundisha kuunganisha bao maana nilikuwa nikimwaga cha kwanza napumzika[emoji2] cha kwanza chenyewe sasa ndani ya dkk 3 wazungu waleee[emoji12]...nakumbuka mara ya kwanza kuunganisha ilikua noma sana nilimwaga ndani ya dkk 1 wazee[emoji1787]sasa baada ya kumwaga halafu yeye ndo kakolea anazidi kunivuta na kunigandamiza(nadhani wanaume wenzangu mnaelewa hii moment huwa ipoje) basi nikaendelea kusukuma hvyo hvyo bora liende kama dkk moja hv nikaona dushe linaanza kukaza na kuwa gumu,asalalaleee nikasema dj waleteeee[emoji12] nikaanza na madoido sasa mara nimgeuze hv mara vile ili mradi fujo tu...na cha pili kinavyochelewa daaa aisee nilipiga sana mbupu wazee...toka siku hyo nikaweza kuunganisha hadi bao 3 bila kuchomoa dushe...kwahyo huyo demu inawezekana raundi ya kwanza kuwa unamaliza yeye hajakojoa kwahyo anaona kero kuendelea raundi ya pili
 
Muombe akuache.Mnakoelekea si kwema peponi.
Nilijaribu kumwambia akasema atazoea tu maana hajawahi kufanya sex zaidi ya mara 1 kwa siku. Hata aliyemzalisha alikuwa anampiga bao moja wanalala. Sasa mimi nataka show walau bao 2, 3 ndio nilale na asubuhi nataka game, yeye hataki kabisa mchezo asubuhi anadai atasinzia kazini.
 
Back
Top Bottom