Wachape kazi tu soko lipoAlmost Nchi nzima Halotel ana fiber, walipokuja walitandaza fiber kote, lakini wakawa wanazitumia tu na minara yao. Jumla wana km 18,000 za fiber kwa wakati huo wanaweka nafkiri hata TTCL alikua hawafikii. Naona wanaanza kuuza sasa hivi sijajua eneo gani na eneo gani wanauza.
Scars ameshea experience yake na hawa jamaa, aisee shikamoo.Kama unaipata na uhakika wa support, fiber ni bora kuliko 5G, TTCL fiber kwa 55K unapata 20mbps ambayo ni speed nzuri,
Issue ya TTCL ni kuipata hadi kuja kukufungia kwako, ama umeshafungiwa then lipite gari la takataka likate waya huko support yao ni mbovu.
Hela yako na bado unawabembeleza utafikiri unaomba njia ya peponiScars ameshea experience yake na hawa jamaa, aisee shikamoo.
Du! Hii sasa ndio maaana ya Competitor.Leo watu wa halotel wamenitembelea nyumbani(kigamboni/mjimwema) wamenitangazia huduma hii, 20MBPS ni 79k, 40mbps ni 95k kwa mwezi.
Nani kakwambia urongo huo ndugu yangu?!Mkuu hata sisi tutafika hapa kadri watu watakavyo adapt 5G, faida ya 5G over technology nyengine za wireless ni capacity, ndio maana unaona hata hapa Tz 5G zimezinduliwa na unlimited moja kwa moja.
Gharama za mwanzo kwa mitandao ya simu ni Fixed, ila sababu capacity ni kubwa kadri mnavyoongezeka ndio gharama zinashuka kwa mtu, India wapo wengi sana ndio maana wameweza kupunguza hizo gharama.
Huku walijishaua kuweka hizo free WiFi kwenye vituo vya mwendokasi... Kiko wapi? 😂Vijana wenzentu huko kenya angalau serikali yao inawaza mbali,serikali inajipanga kusambaza fiber optic cables km laki moja na kutakuwa na free wi-fi installation sehemu mbalimbali View attachment 2997582
Hivi si waliwekaga coca cola au?Huku walijishaua kuweka hizo free WiFi kwenye vituo vya mwendokasi... Kiko wapi? 😂
Hii nchi ina laana!
Sio laana tuna viongozi ambao sio proactive bado wanaishi zama za mawe, na kwasababu wana uhakika watoto wao wanasoma feza basi hawajali kuhusu watoto wengine wasiokuwa na uwezo. Kenya pamoja na kuwa na internet provider wa kila aina lakini serikali yao bado inapambana vijana wapate internet ya uhakika na bei nafuu ili wasiachwe na technology, Wanajua technology inaweza kuajiri vijana wengi sana.Huku walijishaua kuweka hizo free WiFi kwenye vituo vya mwendokasi... Kiko wapi? 😂
Hii nchi ina laana!
Kwani hapa hawayajui hayo au ujeuri na ubinafsi wa kipumbavu tuSio laana tuna viongozi ambao sio proactive bado wanaishi zama za mawe, na kwasababu wana uhakika watoto wao wanasoma feza basi hawajali kuhusu watoto wengine wasiokuwa na uwezo. Kenya pamoja na kuwa na internet provider wa kila aina lakini serikali yao bado inapambana vijana wapate internet ya uhakika na bei nafuu ili wasiachwe na technology, Wanajua technology inaweza kuajiri vijana wengi sana.
Mkuu.. hii ni UNLIMITED?Leo watu wa halotel wamenitembelea nyumbani(kigamboni/mjimwema) wamenitangazia huduma hii, 20MBPS ni 79k, 40mbps ni 95k kwa mwezi.
Ndio.Mkuu.. hii ni UNLIMITED?
Hakunaga kinachowekwa kwa waafrika kikadumu kaka... Sisi tuna laana 😂Hivi si waliwekaga coca cola au?
Wamedai kwa mita 500 ni free, ila kwangu ni mita 900, so nilipe 50k, bila shaka hiki ni kifuta jasho chao nje ya ofisi.Installation costs?
Au ni free?
Mwaka jana niliwacheki Halotel nikaweka mrejesho kwenye uzi maalumu wa vifurushiWamedai kwa mita 500 ni free, ila kwangu ni mita 900, so nilipe 50k, bila shaka hiki ni kifuta jasho chao nje ya ofisi.
Vifaa vingine vyote ni free kabisa.
Ngoja niwe chambo mkuu, nitakupa mrejesho, kesho wanakuja kumfungia jamaa jirani ana hospitali, kisha na mimi nitakupa mrejesho mzee.Mwaka jana niliwacheki Halotel nikaweka mrejesho kwenye uzi maalumu wa vifurushiView attachment 2998257
Niliwacheki pia kuhusu hizo mita 500 namimi walisema hivyoWamedai kwa mita 500 ni free, ila kwangu ni mita 900, so nilipe 50k, bila shaka hiki ni kifuta jasho chao nje ya ofisi.
Vifaa vingine vyote ni free kabisa.