Router za TTCL

Router za TTCL

Usichanganye fiber na 5G mkuu, nchi hizo unazozitaja mobile data kama 5G ni ghali sana ila wana Fiber network nzuri. Fiber ni rahisi kusambaza eneo dogo ila nchi kubwa kama yetu ngumu, ila mobile network kama 5G it's possible ku cover maeneo mengi.

India ndio hao 6,000-9000 unapata unlimited, Indonesia Around $6 unapata Unlimited, Ufilipino na nchi nyingi za Asia zenye watu wengi 5G unlimited ni bei rahisi.

Jinsi tutakavyoongezeka kwenye 5G ndio jinsi bei itakavyoshuka, miundombinu tayari ipo na mkonga upo under utilised, mfano Airtel backbone yao ya 5G ni 180 terabytes per second, hapo inahitaji watu kama milioni 18 kwa speed ya 10mbps kujaza hio capacity, wanachaji 70,000 kwa capacity ya sasa ila watu wakiongezeka gharama ya backbone ni ile ile na wao watashusha bei.
Unauhakika hizo nchi mobile data ni ghali? Au unataka kudanganya watu hapa?? Unajuwa kama kuna watu wengi humu wanaishi hizo nchi,mambo ya ghali walishaachana nayo labda huko India sijawahi fika.
 
Kuna muda hii router huwa natamani niipige ngumi vifurushi ghali afu internet connection ina sua sua,kazi ya kufanya dakika sifuri unatumia nusu saa. Hiyo mitandao ya simu wanafikiri kila mtu anaishi city center.Hapa najichanga niagize zangu star link kit hapo nairobee.
 
Kwani inafungwaje mkuu? Inafungwa kama nyaya za simu ya upepo?
Fiber ni miundombinu mingine, sometime inakuja kama mashimo ya maji ya Ardhini, sometime inakuja na nguzo etc. Ukiangalia nje kwako unaweza jua kama wamepita ama La kwenye nguzo za kawaida ama za umeme utaona waya Extra.
 
Ila hao halotel huduma zao mbovu sana mkuu. Sitaki hata kuwasikia.
5G sasa advantage yake ndio hio, ina uwezo hata wa kuhudumia uwanja kama Taifa ukiwa umejaa, unless huo ubovu wa Halotel sio wa Kimtandao.
 
TTCL Ni ipo slow sana na Kuna muda inakata kabisa nimeitoa inazingua...kwanza hadi waje kukufungia umeimba nyimbo zote...kama upo mbweni na maeneo ya jirani bora uchukue fiber ya tigo au ufunge dedicated japo ni expensive kidogo ila it's worthy
 
GB 50 kwa Mwaka? Mbona hilo bando la siku moja tu na kama likizidi siku ya pili halimalizi.
Mimi natumia Voda 5G unlimited kwa gharama ya 120 kwa mwezi. Natumia zaidi ya 1TB kwa mwezi. Sasa hivi nina mwaka nimeangalia matumizi yangu ni 14TB tangu nijiunge
Inategemea, kila mtu anaangalia matumiz yake na gharama.

Mfan kuna mtu anawz jiunga unlimited lakin mwez mzima hamalizi hata gb 10.. na analipa sawa na mtu anaetumia TB 2.
 
Ndio lipi hili bundle la unlimited la mwaka.
Sio Unlimited in terms of matumizi.. ni unlimited interms of expiration.. kingine unaweza topup ina jirenew kulingana na tarehe ya mwisho ya kujiunga.

Hii nzuri kwa wale wanaosurf kawaida mtandaoni kwa ishu za kawaida kama kuingia YouTube, Jf, IG etc..

Ila kwa wale wanaodownload movie na games si rafiki.
 
KaKa huku nchi za watu internet ni kama maji ya kunywa. Natumia kifurushi cha makadiri ya 9k per month.

Simu ni unlimired
100sms per day
2gb of data per day
Nikiwq sehemu yenye 5g natumia unlimited bureee

Kwa siku 28

Bongo tunafeli wapi?
View attachment 2994831
Sisi bongo internet serikali yetu imetuminya aisee toka walivyotoa unlimited data za usiku nili walaani sana
 
Alianza Vodacom 115,000 kwa 20mbps, akaja 120,000 kwa 30mbps, Airtel akashusha hadi 110,000 30mbps na akatoa 70,000 kwa 10mbps, Tigo nao wakajibu 70,000 10mbps. Tetesi Halotel naye anakuja na 5G soon na wao wanakuja Kuvunja bei.
Leo watu wa halotel wamenitembelea nyumbani(kigamboni/mjimwema) wamenitangazia huduma hii, 20MBPS ni 79k, 40mbps ni 95k kwa mwezi.
 
KaKa huku nchi za watu internet ni kama maji ya kunywa. Natumia kifurushi cha makadiri ya 9k per month.

Simu ni unlimired
100sms per day
2gb of data per day
Nikiwq sehemu yenye 5g natumia unlimited bureee

Kwa siku 28

Bongo tunafeli wapi?
View attachment 2994831
India huwezi compare na bongo, daah nilikuwa pande hizo nina unlimited calls na watu wa kupigia sina🤣🤣
 
Coverage yao unaifahamu hawa mkuu?
Almost Nchi nzima Halotel ana fiber, walipokuja walitandaza fiber kote, lakini wakawa wanazitumia tu na minara yao. Jumla wana km 18,000 za fiber kwa wakati huo wanaweka nafkiri hata TTCL alikua hawafikii. Naona wanaanza kuuza sasa hivi sijajua eneo gani na eneo gani wanauza.
 
Back
Top Bottom