Royal Family wadhibitiwe, watavunja NDOA za watu!

1. Kipo kikundi kinajiita Royal Family.

2. Jamaa Wana ukwasi sio poa. Kwa namna wake zetu walivyo macho juu na tamaa aisee hii ni hatari tupu - WADHIBITIWE

View attachment 3191230

View attachment 3191231
UKiona watu wanakugongea mkeo, ujue hao ni wale wenye masalio ya shilingi 700,000 hadi 10,000,000 bank. Juu ya hapo hawana muda wa kuwaza hayo au aina hiyo ya wanawake. Wanakuwa na fantacy zao tofati
 
1. Kipo kikundi kinajiita Royal Family.

2. Jamaa Wana ukwasi sio poa. Kwa namna wake zetu walivyo macho juu na tamaa aisee hii ni hatari tupu - WADHIBITIWE

View attachment 3191230

View attachment 3191231
Kijana usiogope hao hawadili na wake za watu ndiyo maana umeona wanatambulisha hadi wake zao. Na hata mazingira ya kukutana nao si rahisi maeneo wanayo kaa mke wako hawezi kaa. Labda wafikirie Bodaboda wanaombeba mkeo kwenye safari zake." TAFUTA FEDHA PUNGUZA WASIWASI"
 
Unafikiria vitu vya chini sana. Yaani ukwasi wa hao jamaa kilichokujia akilini ni kukut@Β£~~@ mkeo.

Eehehehee Baba Bataringaya, muache mwenzio ameekripresi hisia za kutoombeewaaa mke, kunauma...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….

Walau hapo namfahamu mwana Royo Famili mmoja yuko vizuri hata kwenye uzee wa kanisa halafu very humble. Huwezi jua hata kama ana ukwasi hivyo.

Mke wake sasa, very low profile 😊.

NB: Pesa hazitaki Kelele.

Ila jiulize, Chibu juzi kamtunza Bimkubwa wake na madolari ya mwakampya.... ila pesa haimkimbii au sababu ni supastaa.....

Samutaimu Iti izi Konfyuzingi...πŸ€”πŸ€”πŸ€”.
 
Kuna mmoja hapo na mimi namfahamu sikujua kama ana ukwasi wa kutoa fee ya 500m
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…