Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao jamaa wangekuwa wanatokea Msoga hata mimi ningeogopa.., hao walevi hawana effect..Wao mara nyingi wanawaza kuichangia tbl tu
Kwa mtaji WA k pale hupati kitu yaaniWao mara nyingi wanawaza kuichangia tbl tu
Unajua wanaume hawajui kwamba wanaume wenye hela kama hivyo huwa sio wahongaji kivile kwanza wana viburi nadharauKwa mtaji WA k pale hupati kitu yaani
UKiona watu wanakugongea mkeo, ujue hao ni wale wenye masalio ya shilingi 700,000 hadi 10,000,000 bank. Juu ya hapo hawana muda wa kuwaza hayo au aina hiyo ya wanawake. Wanakuwa na fantacy zao tofati1. Kipo kikundi kinajiita Royal Family.
2. Jamaa Wana ukwasi sio poa. Kwa namna wake zetu walivyo macho juu na tamaa aisee hii ni hatari tupu - WADHIBITIWE
View attachment 3191230
View attachment 3191231
usiwaogope mkuu!! hizo ni maiti!!!1. Kipo kikundi kinajiita Royal Family.
2. Jamaa Wana ukwasi sio poa. Kwa namna wake zetu walivyo macho juu na tamaa aisee hii ni hatari tupu - WADHIBITIWE
View attachment 3191230
View attachment 3191231
Kijana usiogope hao hawadili na wake za watu ndiyo maana umeona wanatambulisha hadi wake zao. Na hata mazingira ya kukutana nao si rahisi maeneo wanayo kaa mke wako hawezi kaa. Labda wafikirie Bodaboda wanaombeba mkeo kwenye safari zake." TAFUTA FEDHA PUNGUZA WASIWASI"1. Kipo kikundi kinajiita Royal Family.
2. Jamaa Wana ukwasi sio poa. Kwa namna wake zetu walivyo macho juu na tamaa aisee hii ni hatari tupu - WADHIBITIWE
View attachment 3191230
View attachment 3191231
Naunga hoja mkonoWewe omba sana usioe malaya sugu.Hayo mengine utayadhibiti tu.
Ongezea na Nyancheche na nyamazugo road hayo hayatuhusu ni wanaume legelege wa huko daresaladeMkuu sisi wa huku ibhisa bhageni hatukijui hicho kikundi kinahusika na kutongoza wake zetu sisi masikini au kina dili na nini huko daslam?
Swali Muhimu!Mkuu sisi wa huku ibhisa bhageni hatukijui hicho kikundi kinahusika na kutongoza wake zetu sisi masikini au kina dili na nini huko daslam?
Unafikiria vitu vya chini sana. Yaani ukwasi wa hao jamaa kilichokujia akilini ni kukut@£~~@ mkeo.
Kuna mmoja hapo na mimi namfahamu sikujua kama ana ukwasi wa kutoa fee ya 500mEehehehee Baba Bataringaya, muache mwenzio ameekripresi hisia za kutoombeewaaa mke, kunauma...😅😅😅.
Walau hapo namfahamu mwana Royo Famili mmoja yuko vizuri hata kwenye uzee wa kanisa halafu very humble. Huwezi jua hata kama ana ukwasi hivyo.
Mke wake sasa, very low profile 😊.
NB: Pesa hazitaki Kelele.
Ila jiulize, Chibu juzi kamtunza Bimkubwa wake na madolari ya mwakampya.... ila pesa haimkimbii au sababu ni supastaa.....
Samutaimu Iti izi Konfyuzingi...🤔🤔🤔.
Tafuta tu hela la sivyo utakuwa mchawiLakini Wanadamu sometimes wana maisha ya sifa.
Kuna watu wanakosa chakulq, mavazi, na makazi ila kuna wengine wapo busy kujiunga na vyama visivyo na maana yoyote.
Dadeq, wanakera. Bora Tsunami ije itumalize dunia iishe kabisa
lakini somehow unakuta ameshenyenta Ke 100+ na karekodi video zaidi ya 400 kaweka kwa laptop yakeUnajua wanaume hawajui kwamba wanaume wenye hela kama hivyo huwa sio wahongaji kivile kwanza wana viburi nadharau