Embu ngojea tukaone aisee.Tembelea uzi wa chakula utaona natupiamo huko nikikatakata kachumberi na mihogo..... [emoji39][emoji39][emoji39].
Mwanamke napenda kula mie, ntauzwa gengeni hakyanani...[emoji12].
Sawa tajiriPesa zao, wametafuta kwa jasho lao, msiwapangie matumizi, kama ninyi raha yenu kusaidia masikini, saidieni, hata hivyo matajiri wengi mpaka wanafika hapo washasaidia sana, na ndio wamiliki wa hivyo vituo vya mayatima, mmebaki makapuku kulilia huruma, tafuteni pesa zenu, muache kuona wivu
ππππ€£π€£π€£π€£π€£Sasa watu kama hawa mkeo watakutana naye wapi?
Sasa kama kuna watu wanakosa kula wenyewe inawahusu vipi?Lakini Wanadamu sometimes wana maisha ya sifa.
Kuna watu wanakosa chakulq, mavazi, na makazi ila kuna wengine wapo busy kujiunga na vyama visivyo na maana yoyote.
Dadeq, wanakera. Bora Tsunami ije itumalize dunia iishe kabisa
Tutafute hela mwayaHilo limeisha shosteee, nikipatamo tuu vijisenti nakualika tule, tunywe, halafu tunacheza mziki sebleni hadi tusinzie...π .
Nakuwaga na hekaheka kama dera la mcheza kigodoro π.
Shida nyingine ni ile kuifanya hela ikae, piga tu hesabu hela kiasi gani zimepita mkononi mwako na zimebaki kiasi gani kwako.Tutafute hela mwaya
Last month kuna boutique niliingia kila nguo pale laki Saba.
Kama nilitoka usingizini.kumbe nchini hapa mtu kununua gauni Tu ya kawaida laki Saba inawezekana
Ngoja nitafute hela shoga yangu .nikipata nakushtua
Hata ikipita kununua nguo moja laki Saba bado sijawai kufika my wangu mweeeShida nyingine ni ile kuifanya hela ikae, piga tu hesabu hela kiasi gani zimepita mkononi mwako na zimebaki kiasi gani kwako.
Wenye hela ndefu huwa hawashobokei ujinga huo wa kubadili malaya au kukugongea mke
Yaani niache kupambana zaidi badala yake nitafute wanawake?
Siku ukipata hela utayakumbuka haya maneno
Una utoto,wapindue nchi kwa bilion 50 wakati TRA wanakusanya Tirlion 3 kwa mweziKama kiingilio ni 500m mkiwa kama 100 mnaweza kupindua nchi au hata kumroga RaisπΌ
Nipo pembeni yako blood mpk tuwe na kazi km hizi ππPesa ndefu balaa, Net profit ya mtu hiyo kwao ni kiingilio tu.
Duuh ππ
Mkuu hao jamaa kwanza hawana muda wa kufuatilia wake wa makapuku, Bize bize na uwekezaji.
Inawezekana maskini ndio tunawaza kusaidiana kwenye shida.Sawa. Benefits za wanachama za kikatiba ni zipi? Maana kama ni kusaidiana kwenye shida sioni mantiki sana ukizingatia wana pesa tayari
Omba fomu kujiunga tafuta pesa za buz....acha umama wanazungusha pesa mjini walizaliwa uchi bila hata mia wamepambanaaaaSawa. Benefits za wanachama za kikatiba ni zipi? Maana kama ni kusaidiana kwenye shida sioni mantiki sana ukizingatia wana pesa tayari
Uzuri wa hela na ubaya wake pia kadri inavyo ongezek hutaka kukufanya uonekane una hela, kuna namna itkufanya hio nguo ya laki saba sio hadhi yakoHata ikipita kununua nguo moja laki Saba bado sijawai kufika my wangu mweee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu sisi wa huku ibhisa bhageni hatukijui hicho kikundi kinahusika na kutongoza wake zetu sisi masikini au kina dili na nini huko daslam?
Huu ndio ukweli , ukishakua na pesa kila mwanamke unamuona malaya , utataka kupita naye na kummwaga , mwanamke anahongwa na average Joe , kuna wanawake hujitoa out mahotel makubwa na migahawa mikubwa wengi huishia kuliwa Tu bila pesa au hata namba wasiombwe , kwa sababu perception ya pesa ni kua huyu manzi kafuata pesa so hisia kwenye pesa inakua kubwa kuliko hisia kwa mwanamke, maskini anakua na hisia kwa mwanamke zaidi maana Hana issue nyingine na access ya wanawake Hana , pesa inakupa access ya wanawake aina yoyote dunianiUnajua wanaume hawajui kwamba wanaume wenye hela kama hivyo huwa sio wahongaji kivile kwanza wana viburi nadharau
We jamaa umefanya nicheke saaana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo mkeo asipoliwa na royal family ataliwa na hotpot family ya mtaani kwenu