Now you are talking !!!!Wabongo tunawaza shallow sana. Hili kundi ni kundi lakibishara na kijamii watu wamechanga hela zao wanafanya uwekezaji wa pamoja na pia kusaidiana kibiashara bila kuwepo urasimu wa kibenki halina tafauti na yale ya wahindi msikitini na ndio kitu waafrika tumekosa. Kuna moja la kina Anselem Minja namuona hapo pia ni member wa Royal family lilikuwa Arusha linaitwa Arusha club nafikiri mpaka sasa lipo . member anakopa 200m bila dhamana yeyote ni watu walio shibana na kuaminiana. sio kundi la wahuni.
Swala ni heshima katika jamii kifupi waache waishi maisha yao binafsi natamani kuwa member sijui tu nawapatejeSawa. Benefits za wanachama za kikatiba ni zipi? Maana kama ni kusaidiana kwenye shida sioni mantiki sana ukizingatia wana pesa tayari
Tumia neno kiingilio.Ml 500 ni kujiunga tu aisee
Tutafute hela mwaya
Last month kuna boutique niliingia kila nguo pale laki Saba.
Kama nilitoka usingizini.kumbe nchini hapa mtu kununua gauni Tu ya kawaida laki Saba inawezekana
Ngoja nitafute hela shoga yangu .nikipata nakushtua
Hongera dear.huyo Mzee unamkumbuka lakini au baada ya kufulia umemrudisha kwa mkewe for better for worse?? Ahaaa.ila michepuko sometimes Raha Sana .sema mwaka huu nataka nimpende mtu Hadi ndugu zake wanitafuteUsiende mbali, hapo Myfair Plaza yuko mama Beuty Point.... kipindi niko na mshuferi akiwa amekalia kiti nilikuwa navaa nguo za huyo mama hela analeta dereva na STK....
Alikiwa akilipa roho inaniuma, gauni la mtoko milioni na laki 2, mengine hadi milioni 2, laalekiii.
Japo kama imekatika kutokana na mambo flaniflani nyeti, baada ya mshuferi kutumbuliwa ila hadi leo nguo ninazo siku nikijiskia natupiamo utasema mtu wa maana kuumbeee.....πππ.
Nilikuwa nachoka bleza tuu laki 3....!! Kuna watu wanajua kutengeneza pesa.
Ndo hivo wakati ukuta....
Wacha tutafute pesa ndugu yangu, maana iliandikwa ukiwa nayo utaongezewa ukiwa huna hata kiakiba ulichokuwa nacho unapokonywa....!
Taco unalo?Hongera dear.huyo Mzee unamkumbuka lakini au baada ya kufulia umemrudisha kwa mkewe for better for worse?? Ahaaa.ila michepuko sometimes Raha Sana .sema mwaka huu nataka nimpende mtu Hadi ndugu zake wanitafute
Hongera dear.huyo Mzee unamkumbuka lakini au baada ya kufulia umemrudisha kwa mkewe for better for worse?? Ahaaa.ila michepuko sometimes Raha Sana .sema mwaka huu nataka nimpende mtu Hadi ndugu zake wanitafute
Ibisabhageni, nkola, bhusekeseke,Mkuu sisi wa huku ibhisa bhageni hatukijui hicho kikundi kinahusika na kutongoza wake zetu sisi masikini au kina dili na nini huko daslam?
Wee hata kujitambulisha wangekuwa porini hukoEnzi za Mwendazake haya mambo yalipoteaπΌ
Ahaaaa ila wanaume wapuuzi kweli.sasa hivi utakuta anampenda mkewe Hadi 60yrs anniversary anafanya sherehe.kumbe alikuwa kitombi aliechokwa na duniaMwenyewe alijirejesha ili walau zilizobakia waweze kuchemsha mihogo wasilale njaa nami nikasema hewala shea yangu ilishaisha.
Kila la kheri shoga mapenzi yana run dunia π.
Ahaaaa ila wanaume wapuuzi kweli.sasa hivi utakuta anampenda mkewe Hadi 60yrs anniversary anafanya sherehe.kumbe alikuwa kitombi aliechokwa na dunia
Nje mada; Nikifa MkeWangu Asiolewe Na wewe mkeo akifa,hutooa? Au unamwonea mkeo tu kuwa asiolewe ukifa?Mkuu sisi wa huku ibhisa bhageni hatukijui hicho kikundi kinahusika na kutongoza wake zetu sisi masikini au kina dili na nini huko daslam?
Jamaa kaoa kahaba anaogopa atanyang'anywa!Mkuu sisi wa huku ibhisa bhageni hatukijui hicho kikundi kinahusika na kutongoza wake zetu sisi masikini au kina dili na nini huko daslam?