Royal Family wadhibitiwe, watavunja NDOA za watu!

Now you are talking !!!!
 
Waache huku kumeundwa kikundi kingine antiroyal familywanajiita The Puppet hawa wanatembbea na mafuta ya Mgando sikio la kushoto.w
Wakikutana kitawakaπŸ”₯πŸ”₯
 
Tutafute hela mwaya
Last month kuna boutique niliingia kila nguo pale laki Saba.
Kama nilitoka usingizini.kumbe nchini hapa mtu kununua gauni Tu ya kawaida laki Saba inawezekana
Ngoja nitafute hela shoga yangu .nikipata nakushtua

Usiende mbali, hapo Myfair Plaza yuko mama Beuty Point.... kipindi niko na mshuferi akiwa amekalia kiti nilikuwa navaa nguo za huyo mama hela analeta dereva na STK....
Alikiwa akilipa roho inaniuma, gauni la mtoko milioni na laki 2, mengine hadi milioni 2, laalekiii.

Japo kama imekatika kutokana na mambo flaniflani nyeti, baada ya mshuferi kutumbuliwa ila hadi leo nguo ninazo siku nikijiskia natupiamo utasema mtu wa maana kuumbeee.....πŸ™„πŸ™„πŸ™„.

Nilikuwa nachoka bleza tuu laki 3....!! Kuna watu wanajua kutengeneza pesa.

Ndo hivo wakati ukuta....

Wacha tutafute pesa ndugu yangu, maana iliandikwa ukiwa nayo utaongezewa ukiwa huna hata kiakiba ulichokuwa nacho unapokonywa....!
 
Hongera dear.huyo Mzee unamkumbuka lakini au baada ya kufulia umemrudisha kwa mkewe for better for worse?? Ahaaa.ila michepuko sometimes Raha Sana .sema mwaka huu nataka nimpende mtu Hadi ndugu zake wanitafute
 
Hongera dear.huyo Mzee unamkumbuka lakini au baada ya kufulia umemrudisha kwa mkewe for better for worse?? Ahaaa.ila michepuko sometimes Raha Sana .sema mwaka huu nataka nimpende mtu Hadi ndugu zake wanitafute

Mwenyewe alijirejesha ili walau zilizobakia waweze kuchemsha mihogo wasilale njaa nami nikasema hewala shea yangu ilishaisha.

Kila la kheri shoga mapenzi yana run dunia 😜.
 
Mwenyewe alijirejesha ili walau zilizobakia waweze kuchemsha mihogo wasilale njaa nami nikasema hewala shea yangu ilishaisha.

Kila la kheri shoga mapenzi yana run dunia 😜.
Ahaaaa ila wanaume wapuuzi kweli.sasa hivi utakuta anampenda mkewe Hadi 60yrs anniversary anafanya sherehe.kumbe alikuwa kitombi aliechokwa na dunia
 
Ahaaaa ila wanaume wapuuzi kweli.sasa hivi utakuta anampenda mkewe Hadi 60yrs anniversary anafanya sherehe.kumbe alikuwa kitombi aliechokwa na dunia

Ndo wanaume walivyo shoga, walifanya hivyo miaka hiyonna wanaendelea kufanya haya.

That's how their ego run, to have chunk of women and take care of them. Mbaya ni wale wanaotelekeza familia au kushindwa kuhudumia familia. Na kikubwa asiwe vayolenti tuu, wakizeeka wanakuwa wapoleeee, hawana nguvu zote mbili.....πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ.

Naomba wakipita hapa wasinipopoe, mnisamehe bure wanaume nimelewa wanzuki πŸ˜….
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…