Royal Oven Mlalakuwa wanauza chakula lala

Royal Oven Mlalakuwa wanauza chakula lala

Mkuu huwezi kula Chakula kibaya chenye Food Poisoning bacteria na uumwe siku Hiyo Hiyo.

Kabla ya kuituhumu Royal Oven hakikisha umepimwa na daktari na amethibitisha kuwa ni hizo bites zimekudhuru.

Bila kipimo Ni makosa kufungua Uzi kushutumu biashara ya watu.

Food Hygiene and Safety rules on Food Poisoning cases.
Tumbo langu liko very very sensitive.
Kama chakula kina matatizo napata majibu hapo hapo ndani ya 1-2hrs.
Ndivyo nilivyo Na najielewa.

NINA UHAKIKA kuwa tumbo langu la kuhara lilisababishwa na hizo bites maana toka kuamka asubuhi ni chai ya rangi tu hadi huo mchana.

Kama wewe uko Royal Oven chukua tahadhari na products zako maana mimi nimteja wa siku nyingi hapo na hii iliyotokea leo imenishangaza.
Naturally and phsycologically sitakiamini chakula chenu hapo kwa muda Mrefu.
 
Tumbo langu liko very very sensitive.
Kama chakula kina matatizo napata majibu hapo hapo ndani ya 1-2hrs.
Ndivyo nilivyo Na najielewa.

NINA UHAKIKA kuwa tumbo langu la kuhara lilisababishwa na hizo bites maana toka kuamka asubuhi ni chai ya rangi tu hadi huo mchana.

Kama wewe uko Royal Oven chukua tahadhari na products zako maana mimi nimteja wa siku nyingi hapo na hii iliyotokea leo imenishangaza.
Naturally and phsycologically sitakiamini chakula chenu hapo kwa muda Mrefu.
mi nikila chakula kibovu dkk kumi ni nyingi hali inaharibika kabisaaaa!!pole sana mangi tumbo likikushika ni hatari sana raha na amani zinakuisha kabisaaa
 
Mwanaume unakula kacholi.


Wanaume wa Dar tofauti yenu na wake zenu ni kuwa na papuchi, nyonyo na tako.
Hiyo ndo Dar mkuu, huku ming’oko na samaki nchanga hakuna!
Huko kwenu hakuna tofauti ya umbo kati ya mwanaume au mwanamke , watu wanakuja kama wanakwenda!
 
Back
Top Bottom