Royal Tour ndo ishasahaulika?

Royal Tour ndo ishasahaulika?

Mkuu na wewe umesahau kuwa Rais wa Tanzania huwa hahojiwi?
Wapi pameandikwa Rais wa JMT, hahojiwi?. Kilichopo ni Rais wa JMT, wakati akiwa ni Rais, hawezi kushitakiwa mahakamani, ila anaweza kushitakiwa Bunge.

Na hilo la rais kuhojiwa, kila siku tunakutana na rais na kumhoji.
P
 
Kama upepo ulivyo, habari za Royal Tour zishaanza kupita.

Watanzania tushahamia kwenye habari za Lengai Sabaya.

Toka mwanzo, mimi nilikuwa na shaka sana juu ya hiyo filamu.

Kama lengo lake lilikuwa ni kuitangaza Tanzania, mbona wahusika wake hawajafanya yale yanayopaswa kufanywa ili kuitangaza filamu hiyo pamoja na Tanzania?

1. Kwa nini Hangaya na waigizaji wenzake hawajaenda na kwenye nchi zingine? Kwa nini wameenda Marekani tu?

2. Na huko Marekani walikoenda, ni nani hasa mwenye habari na hiyo filamu?

3. Matangazo ya hiyo filamu yako wapi? Sasa hivi kuna playoffs za ligi mbili kubwa, NBA na NHL, mbona matangazo ya hiyo filamu hayapo kwenye chaneli za TNT, TBS, ABC, wala ESPN?

Michezo hii ya playoffs huangaliwa na watu wengi sana. Hapo ndo ilikuwa pazuri pa kuitangaza Tanzania na vivutio vyake.

Lakini hamna kitu. Sasa Mmarekani atajuaje kuhusu hiyo filamu?

4. Hiyo filamu ina kipi kipya ambacho hakijulikani kuhusu Tanzania hadi kumshawishi Mmarekani aje?

Documentaries zote kuhusu vivutio vya Tanzania ambazo zimewahi kuonyeshwa na PBS, National Geographic, A&E, YouTube, n.k., zina tofauti gani na Royal Tour?

5. Hii Royal Tour sidhani kama italeta chochote kipya na zaidi. Watu wamepata tu fursa ya kupiga hela.

Na kama ilivyo jadi yetu Watanzania, tushaanza kuisahau na ndani ya muda mfupi tutaisahau kabisa na hakuna hata mmoja wetu atayekuja kuuliza mafanikio yake huko mbeleni.

6. Ni nani atayekuja kumhoji Samia juu ya mafanikio ya hiyo filamu ifikapo 2024, kwa mfano?

Sisi ni watu wa ajabu kweli.
Royal Tour ni kitu kipya kwa waigizaji wenyewe kwani ufahamu kuhusu hii nchi mdogo sana. Kutokana na ufahamu finyu walishawishika kirahisi na bila kupata ushauri wa kitaalam wa kutosha. Kazi yenyewe ikiwa ni pamoja na uzinduzi wake imefanyika kizimamoto. Ndiyo maana kuna kauli tata na za kuudhi.
 
07 May 2022

Tanzania Royal Tour Zanzibar leo Mwijaku aruka kwa parashuti

 
Kama upepo ulivyo, habari za Royal Tour zishaanza kupita.

Watanzania tushahamia kwenye habari za Lengai Sabaya.

Toka mwanzo, mimi nilikuwa na shaka sana juu ya hiyo filamu.

Kama lengo lake lilikuwa ni kuitangaza Tanzania, mbona wahusika wake hawajafanya yale yanayopaswa kufanywa ili kuitangaza filamu hiyo pamoja na Tanzania?

1. Kwa nini Hangaya na waigizaji wenzake hawajaenda na kwenye nchi zingine? Kwa nini wameenda Marekani tu?

2. Na huko Marekani walikoenda, ni nani hasa mwenye habari na hiyo filamu?

3. Matangazo ya hiyo filamu yako wapi? Sasa hivi kuna playoffs za ligi mbili kubwa, NBA na NHL, mbona matangazo ya hiyo filamu hayapo kwenye chaneli za TNT, TBS, ABC, wala ESPN?

Michezo hii ya playoffs huangaliwa na watu wengi sana. Hapo ndo ilikuwa pazuri pa kuitangaza Tanzania na vivutio vyake.

Lakini hamna kitu. Sasa Mmarekani atajuaje kuhusu hiyo filamu?

4. Hiyo filamu ina kipi kipya ambacho hakijulikani kuhusu Tanzania hadi kumshawishi Mmarekani aje?

Documentaries zote kuhusu vivutio vya Tanzania ambazo zimewahi kuonyeshwa na PBS, National Geographic, A&E, YouTube, n.k., zina tofauti gani na Royal Tour?

5. Hii Royal Tour sidhani kama italeta chochote kipya na zaidi. Watu wamepata tu fursa ya kupiga hela.

Na kama ilivyo jadi yetu Watanzania, tushaanza kuisahau na ndani ya muda mfupi tutaisahau kabisa na hakuna hata mmoja wetu atayekuja kuuliza mafanikio yake huko mbeleni.

6. Ni nani atayekuja kumhoji Samia juu ya mafanikio ya hiyo filamu ifikapo 2024, kwa mfano?

Sisi ni watu wa ajabu kweli.
Point #4 umewaza nilichowaza, sijaona kipya kwenye royal tour kulinganisha na nilivyowahi kuviona nyuma
 
Documentaries zote kuhusu vivutio vya Tanzania ambazo zimewahi kuonyeshwa na PBS, National Geographic, A&E, YouTube, n.k., zina tofauti gani na Royal Tour?
Ujuaji acha wewe, tofauti ya kwanza hii ina character ambaye ni Rais wa nchi ya ahadi.

Meza wembe
 
Kama upepo ulivyo, habari za Royal Tour zishaanza kupita.

Watanzania tushahamia kwenye habari za Lengai Sabaya.

Toka mwanzo, mimi nilikuwa na shaka sana juu ya hiyo filamu.

Kama lengo lake lilikuwa ni kuitangaza Tanzania, mbona wahusika wake hawajafanya yale yanayopaswa kufanywa ili kuitangaza filamu hiyo pamoja na Tanzania?

1. Kwa nini Hangaya na waigizaji wenzake hawajaenda na kwenye nchi zingine? Kwa nini wameenda Marekani tu?

2. Na huko Marekani walikoenda, ni nani hasa mwenye habari na hiyo filamu?

3. Matangazo ya hiyo filamu yako wapi? Sasa hivi kuna playoffs za ligi mbili kubwa, NBA na NHL, mbona matangazo ya hiyo filamu hayapo kwenye chaneli za TNT, TBS, ABC, wala ESPN?

Michezo hii ya playoffs huangaliwa na watu wengi sana. Hapo ndo ilikuwa pazuri pa kuitangaza Tanzania na vivutio vyake.

Lakini hamna kitu. Sasa Mmarekani atajuaje kuhusu hiyo filamu?

4. Hiyo filamu ina kipi kipya ambacho hakijulikani kuhusu Tanzania hadi kumshawishi Mmarekani aje?

Documentaries zote kuhusu vivutio vya Tanzania ambazo zimewahi kuonyeshwa na PBS, National Geographic, A&E, YouTube, n.k., zina tofauti gani na Royal Tour?

5. Hii Royal Tour sidhani kama italeta chochote kipya na zaidi. Watu wamepata tu fursa ya kupiga hela.

Na kama ilivyo jadi yetu Watanzania, tushaanza kuisahau na ndani ya muda mfupi tutaisahau kabisa na hakuna hata mmoja wetu atayekuja kuuliza mafanikio yake huko mbeleni.

6. Ni nani atayekuja kumhoji Samia juu ya mafanikio ya hiyo filamu ifikapo 2024, kwa mfano?

Sisi ni watu wa ajabu kweli.
Sukuma gang mnaweweseka sana..
 
Uliahidiwa utendaji wa mtaa, mwendazake kafa bila kukupa fursa, kazikwe naye
 
Ngoja kwanza mbona mapema hivyo
Kwanza ina character wangapi ?
 
Back
Top Bottom