Royal Tour ndo ishasahaulika?

Baada ya Dhiki ni faraja....

But sometimes baada ya dhiki yanaweza kuja Mauti,, na faraja ikabaki historia..

Waswahili tutunze muda
 
Inasikitisha sana bora zile hela tungempa kabhi lame tu na Kili paul watutangazie nchi tena na chenji ingebaki!
 
Royal tour iko live daraja la salander bure kabisa ,huku Royal tour kule UEFA finalπŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220529-082839.png
    148.3 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220529-082855.png
    47.5 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220529-082917.png
    48.6 KB · Views: 13
Ukweli mchungu na Watalii naona kawaida tu
 
π•«π•šπ•π•šπ•œπ•¦π•¨π•’ π•œπ•šπ•œπ•š 𝕫𝕒 π•žπ•€π•šπ•žπ•¦ π•«π•šπ•π•– π•žπ•’π•₯π• π•œπ•£π•  𝕫𝕖𝕣𝕠
 
Matokeo yake hayawezi kuwa hivi kwa sasa,acheni propaganda mfu zenu vilaza.
Ungeandika haya baada ya miezi 6 ungekuwa ukweli.
Vilaza msiojua hata jinsi ya kufanya propaganda.
Ndo yamekuwa sasa na bado..

Wewe Unataka yaweje? Mbona unateseka Sana ndugu 😬😬
 
Hii royo toa haina faida yeyote kwa watz.tulidanganywa italeta wawekezaji lakini hadi sasa hakuna mwekezaji wa maana zaidi ya wawekezaji uchwara wanaojichotea tu madini yetu.Makaa ya mawe yameanza kuchotwa tu kwa pesa ndogo kabisa.Makinikia yetu yameanza kugawiwa kwa vigogo kama zawadi.Ninyi viongozi mafisadi ipo siku yenu mtamalizia maisha yenu gerezani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…