Royal Tour ndo ishasahaulika?

Royal Tour ndo ishasahaulika?

Billion Saba imepotea kinyemela mam afikishwe mahakama za kifisadi kujibu tuhuma zianzomkabili za kusababishia hasara wananchi ya billion Saba huku akijuwa kuwa kufanya hvyo Ni ufisadi na Ni kutojali pesa za wafuja jasho la taifa hili

Ikiwa atadhibitika atakwenda jela moja kwa moja na kwa kifungo Cha miaka 27 bila dhamana
Jamaa ndiyo maana wamejiwekea kinga wasishitakiwe
 
Either ni ushamba au kutokuwa na elimu kuhusu sekta ya utalii inavyofanya kazi.
Watu wengi haswa huyo ulie mjibu walitarajia instant impact wakati wageni wanakuja kwa msimu maalum.
Halaf wanakuja kulalama humu as if wao ndio wanajua sekta ya utalii kuliko wengine
Instant impacts tayari ila mafuriko sasa ni coming years,wasikie hapa wadau wa Utalii wenyewe wakiongea 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220614-110828.png
    Screenshot_20220614-110828.png
    191.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220614-111144.png
    Screenshot_20220614-111144.png
    70.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220614-110900.png
    Screenshot_20220614-110900.png
    101.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220614-111129.png
    Screenshot_20220614-111129.png
    112.8 KB · Views: 4
We mpuuzi unajua nini juu ya utalii? Unapiga kelele tu. Msimu ukianza kwa mtalii mwenye pesa lazima atembelee Vivutio vyote Tanzania bila hata ya Royal your.
Naona umeanza na kejeli halaf ukaandika basic shit ambayo ilikuwepo toka 1960.

Hiyo ni biashara man, watalii hawaongezeki kwa kutokufanya lolote. Yaani unakaa tu waongezeke aoutomatic?
Kuja watakuja ila watakuja wachache.

Zile nchi ambazo zinapata wageni wengi kuliko tz? Wao wamefanyaje au wamekaa tu watalii wanakuja bila kufanya chochote?
 
We mpuuzi unajua nini juu ya utalii? Unapiga kelele tu. Msimu ukianza kwa mtalii mwenye pesa lazima atembelee Vivutio vyote Tanzania bila hata ya Royal your.
Jitu hata haliko kwenye sekta ya Utalii linajifanya kujua mambo ya utalii kuzidi wahusika..

Sababu tuu ni chuki binafsi za kisenge 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220613-113438.png
    Screenshot_20220613-113438.png
    90.1 KB · Views: 5
Kama upepo ulivyo, habari za Royal Tour zishaanza kupita.

Watanzania tushahamia kwenye habari za Lengai Sabaya.

Toka mwanzo, mimi nilikuwa na shaka sana juu ya hiyo filamu.

Kama lengo lake lilikuwa ni kuitangaza Tanzania, mbona wahusika wake hawajafanya yale yanayopaswa kufanywa ili kuitangaza filamu hiyo pamoja na Tanzania?

1. Kwa nini Hangaya na waigizaji wenzake hawajaenda na kwenye nchi zingine? Kwa nini wameenda Marekani tu?

2. Na huko Marekani walikoenda, ni nani hasa mwenye habari na hiyo filamu?

3. Matangazo ya hiyo filamu yako wapi? Sasa hivi kuna playoffs za ligi mbili kubwa, NBA na NHL, mbona matangazo ya hiyo filamu hayapo kwenye chaneli za TNT, TBS, ABC, wala ESPN?

Michezo hii ya playoffs huangaliwa na watu wengi sana. Hapo ndo ilikuwa pazuri pa kuitangaza Tanzania na vivutio vyake.

Lakini hamna kitu. Sasa Mmarekani atajuaje kuhusu hiyo filamu?

4. Hiyo filamu ina kipi kipya ambacho hakijulikani kuhusu Tanzania hadi kumshawishi Mmarekani aje?

Documentaries zote kuhusu vivutio vya Tanzania ambazo zimewahi kuonyeshwa na PBS, National Geographic, A&E, YouTube, n.k., zina tofauti gani na Royal Tour?

5. Hii Royal Tour sidhani kama italeta chochote kipya na zaidi. Watu wamepata tu fursa ya kupiga hela.

Na kama ilivyo jadi yetu Watanzania, tushaanza kuisahau na ndani ya muda mfupi tutaisahau kabisa na hakuna hata mmoja wetu atayekuja kuuliza mafanikio yake huko mbeleni.

6. Ni nani atayekuja kumhoji Samia juu ya mafanikio ya hiyo filamu ifikapo 2024, kwa mfano?

Sisi ni watu wa ajabu kweli.

Wanasiasa walivyo wa ajabu, Hangaya ukimuuliza baadaye kuhusu mafanikio ya Royal Tour atakutajia idadi ya tourists ambao watakuwa wamekuja Tanzania tangu Royal Tour izinduliwe as if hakuna mtalii ambaye alikuwa anakuja kabla ya hapo!
 
Data zipi za nyuma? Huoni kila kwenye data unaonyeshwa na za nyuma?

Unataka data zipi za nyuma uwekewe
Hebu Rudi nyuma kuanzia 2020 ili tujie hiyo royo tua yako kama imeleta mafanikio Kwa mwezi mmoja unafikiri huku wako mandezi kama wewe? Hizo kazi za utalii wengine ndio ajira zetu tunazifahamu vizuri msipende kufanya watanzania mazuzu
 
Hebu Rudi nyuma kuanzia 2020 ili tujie hiyo royo tua yako kama imeleta mafanikio Kwa mwezi mmoja unafikiri huku wako mandezi kama wewe? Hizo kazi za utalii wengine ndio ajira zetu tunazifahamu vizuri msipende kufanya watanzania mazuzu
Royal imezinduliwa mwaka upi hadi nokupe Takwimu za nyuma ya 2020?

Impacts ya Royal tour itakuaje miaka ya nyuma?

Kama unajua kusoma soma ila kama chuki binafsi zinakusumbua sina jinsi ya kukusaidia zaidi ya kuzidi kukukera kwa Takwimu zaidi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220612-163931.png
    Screenshot_20220612-163931.png
    126.4 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220612-163951.png
    Screenshot_20220612-163951.png
    131.6 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220612-164000.png
    Screenshot_20220612-164000.png
    134.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220613-113438.png
    Screenshot_20220613-113438.png
    90.1 KB · Views: 5
Royal imezinduliwa mwaka upi hadi nokupe Takwimu za nyuma ya 2020?

Impacts ya Royal tour itakuaje miaka ya nyuma?

Kama unajua kusoma soma ila kama chuki binafsi zinakusumbua sina jinsi ya kukusaidia zaidi ya kuzidi kukukera kwa Takwimu zaidi [emoji116]
Kwa hiyo wewe hilo gazeti la habari Leo na msemaji wa serikali ulitaka waandike ukweli? Ndio maana nimekupa mtihani mdogo tu leta hapa takwimu za 2020 ili tuone hao watalii wa royo tua yako wamevunja rekodi za nyuma? Halafu Kwa akili yako hiyo imeweza kusahau lockdown? Nakukumbusha Tena watanzania sio mazuzu
 
Kwa hiyo wewe hilo gazeti la habari Leo na msemaji wa serikali ulitaka waandike ukweli? Ndio maana nimekupa mtihani mdogo tu leta hapa takwimu za 2020 ili tuone hao watalii wa royo tua yako wamevunja rekodi za nyuma? Halafu Kwa akili yako hiyo imeweza kusahau lockdown? Nakukumbusha Tena watanzania sio mazuzu
Kwa hiyo hizo Takwimu waandishi wanazitunga au? Hizo Takwimu utazikita uhamiaji na kwenye mamlaka za uhifadhi ndiko wamenukuu..

Mwisho Royal tour na Takwimu za kabla ya 2020 wapi na wapi?

Nikajua una Takwimu tofauti kutoka vyanzo vyako kumbe huna ila unaropoka 😂😂
 
Siku hizi kila mzungu anapigwa picha tunaambiwa matunda ya royo tuwa [emoji1]
 
Kama upepo ulivyo, habari za Royal Tour zishaanza kupita.

Watanzania tushahamia kwenye habari za Lengai Sabaya.

Toka mwanzo, mimi nilikuwa na shaka sana juu ya hiyo filamu.

Kama lengo lake lilikuwa ni kuitangaza Tanzania, mbona wahusika wake hawajafanya yale yanayopaswa kufanywa ili kuitangaza filamu hiyo pamoja na Tanzania?

1. Kwa nini Hangaya na waigizaji wenzake hawajaenda na kwenye nchi zingine? Kwa nini wameenda Marekani tu?

2. Na huko Marekani walikoenda, ni nani hasa mwenye habari na hiyo filamu?

3. Matangazo ya hiyo filamu yako wapi? Sasa hivi kuna playoffs za ligi mbili kubwa, NBA na NHL, mbona matangazo ya hiyo filamu hayapo kwenye chaneli za TNT, TBS, ABC, wala ESPN?

Michezo hii ya playoffs huangaliwa na watu wengi sana. Hapo ndo ilikuwa pazuri pa kuitangaza Tanzania na vivutio vyake.

Lakini hamna kitu. Sasa Mmarekani atajuaje kuhusu hiyo filamu?

4. Hiyo filamu ina kipi kipya ambacho hakijulikani kuhusu Tanzania hadi kumshawishi Mmarekani aje?

Documentaries zote kuhusu vivutio vya Tanzania ambazo zimewahi kuonyeshwa na PBS, National Geographic, A&E, YouTube, n.k., zina tofauti gani na Royal Tour?

5. Hii Royal Tour sidhani kama italeta chochote kipya na zaidi. Watu wamepata tu fursa ya kupiga hela.

Na kama ilivyo jadi yetu Watanzania, tushaanza kuisahau na ndani ya muda mfupi tutaisahau kabisa na hakuna hata mmoja wetu atayekuja kuuliza mafanikio yake huko mbeleni.

6. Ni nani atayekuja kumhoji Samia juu ya mafanikio ya hiyo filamu ifikapo 2024, kwa mfano?

Sisi ni watu wa ajabu kweli.
Wee jamaa una shida gani?
Ulifikiri royal tour promo ni ya kudumu.??
Leo ilikuwa kuwatangazia watalii juu ya vivutio tulivonavyo. Pamoja nq kuwaambiq anaetaka kujua ategemee nini Bongo basi aangalie Royal Tour. Kazi imeshakamilika. Sasa tunaangalia Returns tu.
Je watalii wameashaanza kuja au tutegemee matokeo kuanza kuyapata lini?


Kwa sasa hatuzungumzii Royal Tour bali tunazungumzia Watalii wanaoletwa na Royal Tour!!
 
Kuna mdau anasema eti ukimuoneesha mzungu vivutio vyako hawezi kuja maana si keshaona kwenye filamu sasa aje kufanya nini?
 
Kama upepo ulivyo, habari za Royal Tour zishaanza kupita.

Watanzania tushahamia kwenye habari za Lengai Sabaya.

Toka mwanzo, mimi nilikuwa na shaka sana juu ya hiyo filamu.

Kama lengo lake lilikuwa ni kuitangaza Tanzania, mbona wahusika wake hawajafanya yale yanayopaswa kufanywa ili kuitangaza filamu hiyo pamoja na Tanzania?

1. Kwa nini Hangaya na waigizaji wenzake hawajaenda na kwenye nchi zingine? Kwa nini wameenda Marekani tu?

2. Na huko Marekani walikoenda, ni nani hasa mwenye habari na hiyo filamu?

3. Matangazo ya hiyo filamu yako wapi? Sasa hivi kuna playoffs za ligi mbili kubwa, NBA na NHL, mbona matangazo ya hiyo filamu hayapo kwenye chaneli za TNT, TBS, ABC, wala ESPN?

Michezo hii ya playoffs huangaliwa na watu wengi sana. Hapo ndo ilikuwa pazuri pa kuitangaza Tanzania na vivutio vyake.

Lakini hamna kitu. Sasa Mmarekani atajuaje kuhusu hiyo filamu?

4. Hiyo filamu ina kipi kipya ambacho hakijulikani kuhusu Tanzania hadi kumshawishi Mmarekani aje?

Documentaries zote kuhusu vivutio vya Tanzania ambazo zimewahi kuonyeshwa na PBS, National Geographic, A&E, YouTube, n.k., zina tofauti gani na Royal Tour?

5. Hii Royal Tour sidhani kama italeta chochote kipya na zaidi. Watu wamepata tu fursa ya kupiga hela.
Nchi ya wadanganyika wenye kumbukumbu ndogo kama bata ambaye hufakamia hata damu ya bata mweziye na kukaa kwenye machinjio ya mabata hadi achinjwe yeye!
 
Siku hizi kila mzungu anapigwa picha tunaambiwa matunda ya royo tuwa [emoji1]
Unafiki mtupu.

Kabla ya Corona Dk Kigwangala alivunja rekodi za kuleta watalii tangu nchi hii iundwe.

Akina Ombama, Beckam walikuja kutalii bila ya hiyo royal tour
 
Back
Top Bottom