Royal Tour pamoja na kutumia mabilioni ya pesa haikumulika utalii wa mali kale na historia

Royal Tour pamoja na kutumia mabilioni ya pesa haikumulika utalii wa mali kale na historia

Nimefanikiwa kuhudhuria mojawapo ya high-level delegate meetings... Kwa watu wenye uelewa wajipange, kuna fursa zitamiminika sana kwenye tourism value chain.
Fursa zipi fafanua. Hazikuwepo? Hazipo?
 
Ni mtalii gani wa dunia hii asiyejua habari za Serengeti, Ngorongoro Kilimanjari na Zanzibar mpaka mpoteze pesa kipuuzi namna hiyo?

Hujui unachozungumza we kima.

Kwa nini usipromote kwa nguvu eneo ambalo lipo chini sana kimasoko? Acha ujinga we kima
Wewe pumbu wa Chato hujawahi kwenda nje ya Tanzania ndiyo maana mtazamo wako ni finyu. Kwa miaka yote watalii wengi wamedanganywa kuwa Mt Kilimanjaro iko Kenya. Kama unabisha na hili nenda ukafe uzikwe karibu na Magufuli
 
Kazi ya kufanya promotion ya tourism ni ya Tanzania tourism board sio ya Dk Abas na wahuni wachache. Muelewe Mshana Kabla kukurupuka kama uharao. Fuatilia Royal tour za hizo nchi kama kuna ubwege kama huu.
Nyankurungu2020 utakufa kwa stress?! Rais anaweza kubadili activity yoyote kutoka sekta moja kwenda nyingine. Ila watu mnakosa cha kumkosoa Samia mpaka mna dwell na trivialities
 
Wewe pumbu wa Chato hujawahi kwenda nje ya Tanzania ndiyo maana mtazamo wako ni finyu. Kwa miaka yote watalii wengi wamedanganywa kuwa Mt Kilimanjaro iko Kenya. Kama unabisha na hili nenda ukafe uzikwe karibu na Magufuli
We kenge unatumia makalio kufikiri huna akili. Dunia ya leo hii utamdanganya nani na watu wanaenda shule kila siku. Umdanganya nani mlima Kilimanjaro upo Kenya na Geographia ni hii hii dunia nzima. We ni mpuuzi.
 
We kenge unatumia makalio kufikiri huna akili. Dunia ya leo hii utamdanganya nani na watu wanaenda shule kila siku. Umdanganya nani mlima Kilimanjaro upo Kenya na Geographia ni hii hii dunia nzima. We ni mpuuzi.
Wewe pumbu ni WA Chato na Kolomije tu hujatembea popote, hatutaki washamba tena
 
Wewe jamaa una kichwa ANALOGUE kabisa sijui kama ulivuka beyond O-Level, maana uelewa wako ni shida
Wewe ndio mpuuzi hujui lolote kuhusu tourism. Hapa tulipo kuna makampuni kibao ya watanzania yanaleta makundi ya watalii kuja nchini na yalifanya hata kabla ya Royal tour. Hujui hilo?
 
Nchi kama misri na Southa Afrivca zina pata pesa nyingi kupitia utalii wa mali kale historia.

Angalia senema ya Royal tour haijakuwa na nia tjabiti kupromote utalii bali usanii wa kutafuna pesa za wananchi.

Inaonyesha viongozi wanavua samaki na wachimba migodi wanazama mgodini for what?

Mtalii gani hajui habari za mlima kilimanjaro na wanyama wa Serengeti.

Kwa nini msiandae makala maalumu ajili ya utalii wa mali kale na historia?

Au ndio kutwanga watu na vyuma vizito bila huruma?
👇
Tanzania inavyopoteza mapato utalii wa malikale, historia Tanzania inavyopoteza mapato utalii wa malikale, historia
Wewe ni wastage sperm kabisa 👇
 

Attachments

  • 20220527_205754.jpg
    20220527_205754.jpg
    55.9 KB · Views: 5
Mshindi katika Royal Tour ni Pira amekuja na idea na ametengeneza hela kwa resources zetu.
 
Nyankurungu2020 utakufa kwa stress?! Rais anaweza kubadili activity yoyote kutoka sekta moja kwenda nyingine. Ila watu mnakosa cha kumkosoa Samia mpaka mna dwell na trivialities
Watapata wapi saizi wanatafutiza pa kutokea..

Mama amepiga chini majizi ya Mwendazake..

Mama ametoa maelfu ya ajira.

Mama anakimbiza miradi iliyokuwa inasuasua..

Mama kaongeza salary,kapandisha madaraja na posho juu..

Mama anaupiga mwingi kwenye Royal tour 👇
 

Attachments

  • 20220527_205754.jpg
    20220527_205754.jpg
    55.9 KB · Views: 5
Nchi kama misri na Southa Afrivca zina pata pesa nyingi kupitia utalii wa mali kale historia.

Angalia senema ya Royal tour haijakuwa na nia tjabiti kupromote utalii bali usanii wa kutafuna pesa za wananchi.

Inaonyesha viongozi wanavua samaki na wachimba migodi wanazama mgodini for what?

Mtalii gani hajui habari za mlima kilimanjaro na wanyama wa Serengeti.

Kwa nini msiandae makala maalumu ajili ya utalii wa mali kale na historia?

Au ndio kutwanga watu na vyuma vizito bila huruma?
[emoji116]
Tanzania inavyopoteza mapato utalii wa malikale, historia Tanzania inavyopoteza mapato utalii wa malikale, historia
Mtoa mada ni Sukuma gang, Yuko kinyume na mama.
 
Msoga Jazz Band-walamba asali,leo tupo hapa!
 
Mbona kuna mwanasayansi mmoja alidanganywa na akatudanya kwamba MAPAPAI YANA CORONA? Unajua ni watu wangapi walikufa kwa UONGO na upumbavu wake yule shetani
Ulikufa wewe, baba yako, mama yako na mme wako anayekuvua chupi na shanga.
 
Wewe ndio mpuuzi hujui lolote kuhusu tourism. Hapa tulipo kuna makampuni kibao ya watanzania yanaleta makundi ya watalii kuja nchini na yalifanya hata kabla ya Royal tour. Hujui hilo?
They are only doing peanut!!
 
Tujipe muda ila tusijisahaulishe....tukumbushane habari za royal tour every now and then. Lazima pesa ya mtanzania inavyotumika basi itumike kwa manufaa ya taifa sio kikundi cha watu wachache
 
Back
Top Bottom