Royal tour imekuja ku boost utaliii kwa 60% watalii wengi walianza kukimbilia kenya kutokana na misururu ya kodi za hotel zilizoongezeka ki holela, baada ya Royal tour watalii wameanźa kurudi wote ..Mama ameupiga mwingi na anaendelea kuhupiga mwingi mnaoendelea kuteseka endeleeni...Viva samia..