Royal Tour: Rais Samia asimama Jimbo la Kawe na kusikiliza wananchi kupitia Mbunge wao, Askofu Gwajima

Usiamini Sana inawezekana ni picha ya nje tu kumbe ndani mtima nyongo.🤣🤣🤣🤣
 
Kwahiyo Mama ni dhahiri kuishi Dodoma hawezi...

Sasa lile liikulu Dodoma La nini. !!!! lingejenga madarasa mangapi!!?

Hivi ku run two state house in a year.. Ni vyumba vingapi vya madarasa..!!?

Nchi hii kmmmk..!!!
 
Hiyo mizigo yake sisi ni madai ya Tume mpya ya Uchaguzi maneno 2025,itakuwa pengine aliweka naziri akiukwaa uraisi fanye siara hinchi nzima
 
Ni aibu Mganga njaa Mollel na Bibie Dr gwajima kuendelea kung'ang'ania ofisi
 
SIKU HIZI UMEISHIWA SANA MKUU MWANZO BADALA MSAPOTI SERIKALI MLIKUWA MNASAPOTI MTU MKASAHAU SERIKALI ILIPASWA KUWA TAASISI NA SIO MTU
 
Kwahiyo Mama ni dhahiri kuishi Dodoma hawezi...

Sasa lile liikulu Dodoma La nini. !!!! lingejenga madarasa mangapi!!?

Hivi ku run two state house in a year.. Ni vyumba vingapi vya madarasa..!!?

Nchi hii kmmmk..!!!
Nakazia ...KUMMKEE
HII NCHI HII MMKEEEE
 

nichi yetu inapitia kipindi cha hovyo hovyo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…