Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hata hiyo 20% nazo bado zinatafunwaNa hili huwasikii wakiligusia, ni matumizi ya ma viieite kwa kwenda mbele kwa waheshimiwa wateuliwa.........bajeti ya matumizi ya kawaida 80%, bajeti ya maendeleo 20% eti utarajie maendeleo, hapo ndo umbumbu wa ngozi nyeusi ulipo na bila shaka wazungu wanatuona vima......
AnajitoleaSasa J J Mnyika anatoa wapi mshahara wake na wasaidizi wake?
Hovyo kbs, mwenyewe sielewi kbsnichi yetu inapitia kipindi cha hovyo hovyo sana
NDO UNALIJUA HILI LEO???MBONA MWANZO ULIKUWA UNAMUABUDU MTU??Taasisi ni watu sio hewa!!!
Siyo poa kbs....Hata hiyo 20% nazo bado zinatafunwa
Hafai hata kidogo ni mtu wa hovyo snNi kweli na pia uchepushaji/rushwa. Inabidi alikemee na hilo. Pia amtaje Mungu kuwa ndiye muweza wa yote. Ajikite kuwa mtoa matumaini maana watanzania wanahitaji kiongozi anayebeba maono. Mama anafaa sana kuendelea kwa jinsi nilivyomsikiliza leo.
jibu kalipata wananchi hawataki chanjoWananchi wamesema hawachanji. Mama ana akili sana ni mwanasiasa aliyekomaa. Kapita kapima upepo.
Uwe unampelekea na vidumu vya mbege!Anajitolea
Sababu taasis ni mtu sio hewaNDO UNALIJUA HILI LEO???MBONA MWANZO ULIKUWA UNAMUABUDU MTU??
Unawaza pombe tu we mzeeUwe unampelekea na vidumu vya mbege!
kweli kabisa. Maana kwa fikra za kawaida hii nchi inavyokwenda ni kama haina mwenyewe. Leo linaamuliwa jambo na kutangazwa, kesho linafutwa na mbaya zaidi anaepaswa kutoa kauli hata hajui kinachoendelea. Ni kama vile na yeye anagundua mambo mengi baada ya kutangazwa. Ni wazi hayupo sehemu ya maamuzi aidha kwa kuogopa majukumu ama kwa kusudio la waliomuweka.mkuu usijihangaishe. ni ishara ya kukwepa majukumu mazito, na ni wazi anakimbilia mambo mepesi mepesi.
hata hizo V8 zao tunashangilia tupuSiyo poa kbs....
Macitizens Tunachukuliwa kama mazuzu flani hivi....
Msife moyo Ufipa!Hata hiyo 20% nazo bado zinatafunwa
Tukio liko mubashara ITV
Rais Samia akiwa na mbunge wa Kawe wanahutubia wananchi wa jimbo la Kawe eneo la Tegeta manispaa ya Kinondoni.
Kwa sasa askofu Gwajima amepanda kwenye gari ya Ikulu na anatoa salamu za shukrani kwa Rais Samia kwa niaba ya wananchi.
Gwajima anasema wananchi wa Kawe siyo tu Wanampenda mama Samia bali wana mahaba naye.
Helicopter za polisi zinavinjari juu ya anga kuulinda mkutano huu mtakatifu.
Rais Samia amewataka wananchi waendelee kulipa kodi kwani kodi ni kwa maendeleo ya taifa.
Rais Samia amesema anaelekea Bagamoyo katika mtiririko wa uchukuaji picha ya filamu ya vivutio vya utalii wa Tanzania itakayozinduliwa nchini Marekani na kuonyeshwa dunia nzima.
Karibu
Magu alimwaga upupu mbaya sana......
wananchi walimuelewa......
ukienda tofauti nae unakwama
🤣🤣🤣 mama hapa amefanya vizuri.Wananchi wamesema hawachanji. Mama ana akili sana ni mwanasiasa aliyekomaa. Kapita kapima upepo.
Revolution of mind is what matter most.......hata hizo V8 zao tunashangilia tupu
Vipi upepo KatoroMsife moyo Ufipa!