Royal Tour: Rais Samia asimama Jimbo la Kawe na kusikiliza wananchi kupitia Mbunge wao, Askofu Gwajima

Hata hiyo 20% nazo bado zinatafunwa
 
Ni kweli na pia uchepushaji/rushwa. Inabidi alikemee na hilo. Pia amtaje Mungu kuwa ndiye muweza wa yote. Ajikite kuwa mtoa matumaini maana watanzania wanahitaji kiongozi anayebeba maono. Mama anafaa sana kuendelea kwa jinsi nilivyomsikiliza leo.
Hafai hata kidogo ni mtu wa hovyo sn
 
mkuu usijihangaishe. ni ishara ya kukwepa majukumu mazito, na ni wazi anakimbilia mambo mepesi mepesi.
kweli kabisa. Maana kwa fikra za kawaida hii nchi inavyokwenda ni kama haina mwenyewe. Leo linaamuliwa jambo na kutangazwa, kesho linafutwa na mbaya zaidi anaepaswa kutoa kauli hata hajui kinachoendelea. Ni kama vile na yeye anagundua mambo mengi baada ya kutangazwa. Ni wazi hayupo sehemu ya maamuzi aidha kwa kuogopa majukumu ama kwa kusudio la waliomuweka.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…