Royal Tour: Serikali itoe mchanganuo wa gharama

Royal Tour: Serikali itoe mchanganuo wa gharama

Nimefuatilia kwa mamlaka zote wanipe mchanganuo wa wa gharama za Royal Tour sijafanikiwa?

Naambiwa uko ngazi za juu. Nafikiri hili jambo lifanyike kwa uwazi na uwajibikaji isije kuwa kichaka cha kupiga kodi za wananchi.

Rais asituambie tu anafanya tour, atuambie bajeti ya tour ni pesa ngapi anategemea mapato/impacts ya kiasi gani kutokana na tour yake.

Kingine ni bunge lipi limepitisha matumizi ya hii tour, maana wakati wa bunge hatukusikia, tunakuja kusikia tu kama jambo la dharura? Tour ni dharura?

Walipa kodi tunahitaji kujua
Ikitoa mchanganuo Ili iwaje? Umewahi pewa lini mchanganuo wa gharama za Ziara za Rais ? Acha ujinga.
 
Nimefuatilia kwa mamlaka zote wanipe mchanganuo wa wa gharama za Royal Tour sijafanikiwa?

Naambiwa uko ngazi za juu. Nafikiri hili jambo lifanyike kwa uwazi na uwajibikaji isije kuwa kichaka cha kupiga kodi za wananchi.

Rais asituambie tu anafanya tour, atuambie bajeti ya tour ni pesa ngapi anategemea mapato/impacts ya kiasi gani kutokana na tour yake.

Kingine ni bunge lipi limepitisha matumizi ya hii tour, maana wakati wa bunge hatukusikia, tunakuja kusikia tu kama jambo la dharura? Tour ni dharura?

Walipa kodi tunahitaji kujua
Tunakusanya kwa jasho watu wanakula kiulaini tu bila jasho [emoji23] [emoji23] [emoji23]
IMG-20210904-WA0034.jpg
 
Royal Tour imekua Photo shop Tour.
Kwa picha hizi wanazotumia ni wazi TZ tumepigwa tena
1631107325408.png


Wadau wa kimataifa wanatucheka
1631107426114.png


Taifa linazalilika
1631107475522.png
 

Nimefuatilia kwa mamlaka zote wanipe mchanganuo wa wa gharama za Royal Tour sijafanikiwa?


Naambiwa uko ngazi za juu. Nafikiri hili jambo lifanyike kwa uwazi na uwajibikaji isije kuwa kichaka cha kupiga kodi za wananchi.

Rais asituambie tu anafanya tour, atuambie bajeti ya tour ni pesa ngapi anategemea mapato/impacts ya kiasi gani kutokana na tour yake.

Kingine ni bunge lipi limepitisha matumizi ya hii tour, maana wakati wa bunge hatukusikia, tunakuja kusikia tu kama jambo la dharura? Tour ni dharura?

Walipa kodi tunahitaji kujua
 
Kwa taarifa nilizo nazo (sijazithibitisha bado), ni kuwa, nje ya bajeti ya Ikulu inayojulikana na Samia mwenyewe, Utalii huu umebomoa mifuko ya Taasisi na Mashirika ya Umma....yapo yaliyochanga hadi Sh. Milioni 400 kurekodi Movie hii ya Samia
Aisee
 
Nimefuatilia kwa mamlaka zote wanipe mchanganuo wa wa gharama za Royal Tour sijafanikiwa?

Naambiwa uko ngazi za juu. Nafikiri hili jambo lifanyike kwa uwazi na uwajibikaji isije kuwa kichaka cha kupiga kodi za wananchi.

Rais asituambie tu anafanya tour, atuambie bajeti ya tour ni pesa ngapi anategemea mapato/impacts ya kiasi gani kutokana na tour yake.

Kingine ni bunge lipi limepitisha matumizi ya hii tour, maana wakati wa bunge hatukusikia, tunakuja kusikia tu kama jambo la dharura? Tour ni dharura?

Walipa kodi tunahitaji kujua

Hivi ile miradi ya chato tulijua gharama?
 
Back
Top Bottom