ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Tanzania imeshika namba 5 Kwa Utalii Afrika mwaka 2024 kutoka namba 7 mwaka 2023.
Mafanikio haya yametokana na juhudi za Serikali ya Samia kutangaza Utalii Kwa njia mbalimbali lakini njia mojawapo ni Filamu za Royal tour sanjali na Amazing Tanzania alizorekodi.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DFhajv-N47p/?igsh=dDV4YjEzM2lxMWV6
My Take
Wale waliobeza Sasa wanaona aibu.
View: https://x.com/AfricaFactsZone/status/1896283186604179543?t=QhMtz4harL55vMWr5KyaNQ&s=19
Nawakumbusha tuu hakuna kitu ambacho Samia amewahi kigusa kikafeli,ana nyota Kali sana.
View: https://x.com/AfricaFactsZone/status/1896282573523083712?t=xFN9vbhu41Y9a0UdpAqD4A&s=19
Pia soma hapa Tanzania yavunja rekodi ya kuvutia watalii milioni 5 mwaka 2024. Huu ni ushindi mwingine wa kwa Sera ya kufungua nchi
View: https://x.com/AfricaFactsZone/status/1775548980346204221?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1775548980346204221%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=
Mafanikio haya yametokana na juhudi za Serikali ya Samia kutangaza Utalii Kwa njia mbalimbali lakini njia mojawapo ni Filamu za Royal tour sanjali na Amazing Tanzania alizorekodi.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DFhajv-N47p/?igsh=dDV4YjEzM2lxMWV6
My Take
Wale waliobeza Sasa wanaona aibu.
View: https://x.com/AfricaFactsZone/status/1896283186604179543?t=QhMtz4harL55vMWr5KyaNQ&s=19
Nawakumbusha tuu hakuna kitu ambacho Samia amewahi kigusa kikafeli,ana nyota Kali sana.
View: https://x.com/AfricaFactsZone/status/1896282573523083712?t=xFN9vbhu41Y9a0UdpAqD4A&s=19
Pia soma hapa Tanzania yavunja rekodi ya kuvutia watalii milioni 5 mwaka 2024. Huu ni ushindi mwingine wa kwa Sera ya kufungua nchi
View: https://x.com/AfricaFactsZone/status/1775548980346204221?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1775548980346204221%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=