Royal Tour yahamia Chato

Royal Tour yahamia Chato

....suala la Tundu Lissu kupigwa risasi,Tundu Lissu anamficha dereva hadi leo na kaambiwa mlete dereva tutakutajia aliyekupiga risasi mahakamani lakini Lissu hataki
Kwa hiyo dereva anajua wale wauaji kuliko zile camera za cctv mlizoondoa na kuficha?!!!
Acheni unafiki..
Hizo stori za Ben Saanane kuonekana ni uongo mtupu.

Na wale wengi wa kwenye viroba je?

Na Azory Gwanda je?
 
Hilda Newton aliwahi kuandika msaidizi wa Mbowe yupo South Africa katumwa na Mbowe,mara tukasikia kapotea mara Kubenea akaandika kwenye gazeti la Mwana halisi,Msaidizi wa Mbowe kuibuka ni Saanane,sasa nashindwa kuelewa kwa nini wanamwangushia jumba bovu Hayati,hata suala la Tundu Lissu kupigwa risasi,Tundu Lissu anamficha dereva hadi leo na kaambiwa mlete dereva tutakutajia aliyekupiga risasi mahakamani lakini Lissu hataki,hapo ndipo ninapoitilia shaka Chadema sijui wakichukua nchi itakuwaje!?

Dereva ndio afanyeje?. Yani siku hizi mhanga ndio mwenye kufanya upelelezi?. Sheria gani inasema hivyo. Uzuri mhusika mkuu naye aliondoka kwa aibu, damu ya mtu ni nzito. Nyie endeleeni na porojo.
 
Kinachoendelea sasa ni kuongezeka wimbi la mahujaji wanaoenda kuzuru kaburi la Hayati Magufuli kule Chato tena wanaenda kimyakimya hawataki camera wala media coverage.

Siku ya leo Chato imejaa wageni na haitopita mida kutskuwa na ongezeko la watalii wa ndani na nje kufika Chato kimyakimya na kuondoka.

Uchaguzi 2025 utakuwa ni pande mbili za Hayati Magufuli. Hivyo mnapoona Upinzani unaunganisha nguvu na mbogamboga fc ndo mjue kuwa imani ya walio jikoni imetetereka.

Kama tunavyofahamu mashujaa wanaofia vitani wanaenziwa sana na kumbukumbu zao kuwekwa vizazi na vizazi. Aliyefariki alikuwa Amiri Jeshi Mkuu ambaye alikuwa anaongoza mapambano ya kiuchumi kwa taifa lake.

Hivyo as Nation inayojinasibu kupiga vita ubaguzi inapaswa kusimama kwenye kauli na msimamo wake kuhusu shujaa aliyefia vitani.
Ni kweli hata mi nilienda kimya kimya. Ukitaka kufika kuhiji pitia ofisi ya mkuu wa wilaya upate security clearance (maana wale vichaa wa humu JF hawapaswi kabisa kufika huko). Hakika kaburi lake limejengewa vizuri sana na ndani kuna makaburi ya baba yake na dada yake nadhani na mtoto wake. Pia kukamilika kwa nyumba yake ya kumbu kumbu ni vizuri mno.
 
Semeni mna hasira watu wapo busy na Simba na Yanga hizi siku mbili na kusahau Kama ni miaka miwili ya Magufuli kufa.
 
Kristo alitukanwa, alikashifiwa, alidhalilishwa (fikiria mpaka kuvuliwa nguo), alitemewa mate, na mwishowe aliuawa,lakini ndiye mkombozi wetu,Naamini Rais Magufuli alikufa akiwa na hakika anakwenda na Bwana Yesu,maana aliimba nyimbo kabla ya kifo chake,,aliwaita Mkuu wa Wakatoliki Kadrinali Pengo,na Mkuu wa Waislam,Mufti alikaa nao kwa ajili ya utakaso wa kiroho,hii ni neema wanaipata wachache na ukiipata basi jua kwamba Mungu alikufanya kuwa mwana na alishakuhesabia haki,hivyo basi atahahakikisha unatakasika kabla ya kwenda kwake.
 
Back
Top Bottom