Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Kama amekufa amefia wapi.Hajafa kweli?
Yuko wapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama amekufa amefia wapi.Hajafa kweli?
Yuko wapi.
Kwa hiyo dereva anajua wale wauaji kuliko zile camera za cctv mlizoondoa na kuficha?!!!....suala la Tundu Lissu kupigwa risasi,Tundu Lissu anamficha dereva hadi leo na kaambiwa mlete dereva tutakutajia aliyekupiga risasi mahakamani lakini Lissu hataki
Endelea kukaririshwaManeno kama haya akiyasoma ndugu wa karibu wa ben saa 8 anaweza akakushangaa sana.
Alizikwa na kivuli chake, hata chawa wake mlipaswa kujitolea mzikwe naye. The ridiculous energy you're using to 'cleanse' the dictatorial regime will never work.Wanapambana na marehemu ila hawatoshinda...KIVULI KINAISHI.
Mnatulazimisha tuandike maneno ya kuchukiza kwenu na tuonekane wabaya kwa ndugu wa saa nane...Kama alikufa kweli RIP saa nane!
Wanapambana na marehemu ila hawatoshinda...KIVULI KINAISHI.
Kweli kabisa. Na inaonekana kama kuna misheni inaratibiwa ya kumchafua Mwamba Magufuli. Na hawataweza!Wanapambana na marehemu ila hawatoshinda...KIVULI KINAISHI.
Hilda Newton aliwahi kuandika msaidizi wa Mbowe yupo South Africa katumwa na Mbowe,mara tukasikia kapotea mara Kubenea akaandika kwenye gazeti la Mwana halisi,Msaidizi wa Mbowe kuibuka ni Saanane,sasa nashindwa kuelewa kwa nini wanamwangushia jumba bovu Hayati,hata suala la Tundu Lissu kupigwa risasi,Tundu Lissu anamficha dereva hadi leo na kaambiwa mlete dereva tutakutajia aliyekupiga risasi mahakamani lakini Lissu hataki,hapo ndipo ninapoitilia shaka Chadema sijui wakichukua nchi itakuwaje!?
Kwa tathmini ya Tar 17 March naamini kuna wanachama Ila hawana chama na ni wengi kuliko CCM na Chadema.
Ben Saanane ni nani huko Dar es Salaam?
Ben sanane ndo katuni gani
Nakumbuka kama nliangslia katuni utoyon tulikuwa tunaiita ben sansne
Endelea kukaririshwa
Kweli kabisa. Na inaonekana kama kuna misheni inaratibiwa ya kumchafua Mwamba Magufuli. Na hawataweza!
Wengi huwa wanaenda kumtukana roho zao ziridhike
Ni kweli hata mi nilienda kimya kimya. Ukitaka kufika kuhiji pitia ofisi ya mkuu wa wilaya upate security clearance (maana wale vichaa wa humu JF hawapaswi kabisa kufika huko). Hakika kaburi lake limejengewa vizuri sana na ndani kuna makaburi ya baba yake na dada yake nadhani na mtoto wake. Pia kukamilika kwa nyumba yake ya kumbu kumbu ni vizuri mno.Kinachoendelea sasa ni kuongezeka wimbi la mahujaji wanaoenda kuzuru kaburi la Hayati Magufuli kule Chato tena wanaenda kimyakimya hawataki camera wala media coverage.
Siku ya leo Chato imejaa wageni na haitopita mida kutskuwa na ongezeko la watalii wa ndani na nje kufika Chato kimyakimya na kuondoka.
Uchaguzi 2025 utakuwa ni pande mbili za Hayati Magufuli. Hivyo mnapoona Upinzani unaunganisha nguvu na mbogamboga fc ndo mjue kuwa imani ya walio jikoni imetetereka.
Kama tunavyofahamu mashujaa wanaofia vitani wanaenziwa sana na kumbukumbu zao kuwekwa vizazi na vizazi. Aliyefariki alikuwa Amiri Jeshi Mkuu ambaye alikuwa anaongoza mapambano ya kiuchumi kwa taifa lake.
Hivyo as Nation inayojinasibu kupiga vita ubaguzi inapaswa kusimama kwenye kauli na msimamo wake kuhusu shujaa aliyefia vitani.
Huyo NI mbeba maono au mbeba MAOVU??Mbeba maono. Ni kama alijua atakufa na chato airport itawakutanisha watu kutoka pande mbalimbali za dunia.
Kwani sasa hivi ni raia wa wapi? Amefanya nini hadi amekuwa maarufu?Alikuwa raia wa Tanzania. Mpunguze dharau.