kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
hi jf members,,,,,
Niende direct kwenye mada, ieleweke mimi napenda muziki mzuri haijalishi nani kaimba, kwa maana hiyo sina team Naseeb(diamond) ni msanii mzuri sana vivyo hivyo kwa Ali kiba.
Ni takribani wiki moja imeshapita tangia diamond aachie wimbo wake mpya aliefanya na mwanamuziki wa hip hop anaetokea Miami(USA) Rick Ross, binafsi nilifarijika sana kama mtanzania kwani muziki wetu unapiga hatua kila siku, haikua kazi ndogo kufanya colabo na wasanii wakubwa duniani.
kwanza management zao wanaangalia vitu vingi sana mpaka wakubali kufanya kazi na wewe. baadhi ya vitu wanavyoangalia ni fun base yako kuanzia nchini kwako na nje ya nchi, pia wanaangalia kazi zako ulizotoa na zilivyopokewa, hapa wataangalia pia viewers (u tube/vevo nk).
Pia wanaweza kuangalia baadhi ya tuzo kubwa ulizowahi kushiriki ama kushinda na mwisho kabisa watazingatia kama uliwahi kufanya kolabo na msanii mwingine mkubwa, wakijihirisha yote hayo watakaa na wewe msanii (management yako) na kutangaza dau lao, ukifikia mnafanya kazi.
Kuhusu diamond na rozay nadhani haikua na ugumu mkubwa sana kufanya yote haya, kampuni kubwa na maarufu ya kifaransa (BELAIRE) ambayo wote wana mkataba wa kuitangaza, imeplay part kubwa sana kufanikisha hii collaboration.
Swali, mbona huyu black america hajawahi kupost chochote kuhusiana na hii nyimbo ?walau hata kipande kimoja cha video yao tu, hii kazi imebakia kufanywa na timu ya wcb pekee, jamaa hajatoa sapoti kabisa,kwa nini nasema haya ? au kwa nn pengine rozay alihitaji kupost ? hakuna ubishi jamaa ni mwanamziki mkubwa world wide.
Na anafatiliwa sana kutoka pande tofauti za dunia, kitendo cha kupost kuwa amefanya nyimbo na diamond na kumtag pale ili watu wafatilie link na kuona nyimbo yenyewe kungemwongezea kitu huyu kijana wetu wa tandale hii ni tafsiri gani ?dharau? wamebaki kina babu tale salam raymond na harmo wanapost na tag kibao richforever lakini wapi poleni sana wcb.
Kuna mshirika na mdau mkubwa wa rozay anaefahamika kama black bomaybach alifariki hapa majuzi, fasta diamond naona kapost r.i.p bro, hivi kweli kulikua na ukaribu wa dai na blackbomay kiasi kwamba angempost ? Au jamaa anatafuta ujiko ?
wenye timu yao mnatakuja kuniattack, sina team just nmeamua kushare tu
Niende direct kwenye mada, ieleweke mimi napenda muziki mzuri haijalishi nani kaimba, kwa maana hiyo sina team Naseeb(diamond) ni msanii mzuri sana vivyo hivyo kwa Ali kiba.
Ni takribani wiki moja imeshapita tangia diamond aachie wimbo wake mpya aliefanya na mwanamuziki wa hip hop anaetokea Miami(USA) Rick Ross, binafsi nilifarijika sana kama mtanzania kwani muziki wetu unapiga hatua kila siku, haikua kazi ndogo kufanya colabo na wasanii wakubwa duniani.
kwanza management zao wanaangalia vitu vingi sana mpaka wakubali kufanya kazi na wewe. baadhi ya vitu wanavyoangalia ni fun base yako kuanzia nchini kwako na nje ya nchi, pia wanaangalia kazi zako ulizotoa na zilivyopokewa, hapa wataangalia pia viewers (u tube/vevo nk).
Pia wanaweza kuangalia baadhi ya tuzo kubwa ulizowahi kushiriki ama kushinda na mwisho kabisa watazingatia kama uliwahi kufanya kolabo na msanii mwingine mkubwa, wakijihirisha yote hayo watakaa na wewe msanii (management yako) na kutangaza dau lao, ukifikia mnafanya kazi.
Kuhusu diamond na rozay nadhani haikua na ugumu mkubwa sana kufanya yote haya, kampuni kubwa na maarufu ya kifaransa (BELAIRE) ambayo wote wana mkataba wa kuitangaza, imeplay part kubwa sana kufanikisha hii collaboration.
Swali, mbona huyu black america hajawahi kupost chochote kuhusiana na hii nyimbo ?walau hata kipande kimoja cha video yao tu, hii kazi imebakia kufanywa na timu ya wcb pekee, jamaa hajatoa sapoti kabisa,kwa nini nasema haya ? au kwa nn pengine rozay alihitaji kupost ? hakuna ubishi jamaa ni mwanamziki mkubwa world wide.
Na anafatiliwa sana kutoka pande tofauti za dunia, kitendo cha kupost kuwa amefanya nyimbo na diamond na kumtag pale ili watu wafatilie link na kuona nyimbo yenyewe kungemwongezea kitu huyu kijana wetu wa tandale hii ni tafsiri gani ?dharau? wamebaki kina babu tale salam raymond na harmo wanapost na tag kibao richforever lakini wapi poleni sana wcb.
Kuna mshirika na mdau mkubwa wa rozay anaefahamika kama black bomaybach alifariki hapa majuzi, fasta diamond naona kapost r.i.p bro, hivi kweli kulikua na ukaribu wa dai na blackbomay kiasi kwamba angempost ? Au jamaa anatafuta ujiko ?
wenye timu yao mnatakuja kuniattack, sina team just nmeamua kushare tu